Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,926
Sio maombolezo as such. Tutaenda Zanzibar , itapendeza zaidiHuhuhhuhuuh utanpa in4 siku za maombolezo na unipitie tuelekee huko, ingependeza iwe Paris,
Sio maombolezo as such. Tutaenda Zanzibar , itapendeza zaidiHuhuhhuhuuh utanpa in4 siku za maombolezo na unipitie tuelekee huko, ingependeza iwe Paris,
Huko sitakiiiii miee, bora tubaki dar, hapo Hyatt Regency. UwiiiiiiihSio maombolezo as such. Tutaenda Zanzibar , itapendeza zaidi
Hakuna matata. Popote utakapotaka tutakwenda.Huko sitakiiiii miee, bora tubaki dar, hapo Hyatt Regency. Uwiiiiiiih
Eeh tigo tena
Mwanamke pekee ambaye huwezi mpiga ni mchumba na damu maana ni rahisi kumwacha..ila mke lazima achezee kipondo ili kumwwka sawa..huwwzi niletea dharau nikakuchekea
Kwahiyo mwakajana nusura amtoe roho, jinai haizeeki Sher ichukue mkondo wakeUchebe akihojiwa na kituo kimoja cha radio anasema picha zilizopostiwa mtandaoni ni za mwaka jana na kwamba mwaka huu hajampiga Shilole kabisa.
Anasema madai ya Shilole kupigwa siku ya sabasaba si ya kweli, kwa sababu hiyo siku Shilole hakulala nyumbani.
Ili kuthibitisha hilo amesema atafutwe akaguliwe kama ana jeraha lolote la hivi karibuni. Anadai Shilole ni mzima kabisa wa afya na hana jeraha.
Uchebe anaeleza kuwa Shilole amekuwa na desturi ya kutokulala nyumbani hata siku mbili na akirudi hataki kuulizwa alikuwa wapi? Na hio ndio "source" ya ugomvi wao wa mara kwa mara.
Yaani wanaume wa Kinondoni wanapenda umarioo!!!
Yaani kwa staili hyo acha Dada alale nje Tu kutafuta
tobaaaaaaah lol
Ouk basi tutaenda Hyatt Regecy, kwahyo andaa gharama na mahitaji husika, then unipitie tuelekee huko, uwiiiiiiiiiiiiiiiihHakuna matata. Popote utakapotaka tutakwenda.
Send me your addressOuk basi tutaenda Hyatt Regecy, kwahyo andaa gharama na mahitaji husika, then unipitie tuelekee huko, uwiiiiiiiiiiiiiiiih
Ninawashangaa hata watu wanaoshangaa zile picha na wanaosema sijui jinai haizeeki.Nilimuona akihojiwa kipindi cha shilawadu yule mtangazaji alimuuliza habari za Nuhu Mziwanda Shilole alimrushia kiti yule mtangazaji kilimkosa kingempata ilikuwa ni hatari
Ntakupaaaah usijariiiiihSend me your address
Aisee umeongea ukweli tu. Tukiweks sheria kama za uarabuni kuwa mwanamke akibainika anatoka nje ya ndoa akachapwa mawe hadi kufa hautaona hizi kelele sijui za mwanamke hapigwi zinaletwa tena hapa.
Wanawake wanawasababishia wanaume maumivu ya kisaikolojia more than wanaume wanaowapiga wanawake. Imagine mtu unakwenda kutafuta chakula kwaajiri yake na kumhudumia kwa mahitaji ya msingi, halafu huyu mtu anataka akupande kichwani kwa dharau..... Wakati alitakiwa kukuonyesha heshima na upendo.....
Hapo hasira zake lazima umpatie kichapo heavy.......
Hapo ni typing error ilitakiwa iwe "Shithole"Shilole ni nini?
Akilala mwezi mzima atapata wapi pocket money?Huyo Uchebe nae hajui kupiga.
Unapigaje mtu anakuwa na nguvu za kutamba kwenye media.
Alitakiwa apigwe alale ndani mwezi mzima.
Siyo wote Labda vijana wa sasaYaani wanaume wa Kinondoni wanapenda umarioo!!!
Yaani kwa staili hyo acha Dada alale nje Tu kutafuta
Tatizo kulishwa na kuvalishwa kazi sana akimuacha nguo zitachanika na utapia mlo juu lazima awe mpole,ila nimempongeza uchebe hataki kuwa mpole kaonesha uumeSasa mtu halali siku mbili why unaishi nae? Si Bora muachane bila ugomvi?