Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,561
- 217,865
Taarifa za chini kwa chini zinadokeza kwamba Timu mbovu ya Yanga imewasiliana na AFC Leopard ya Kenya kwa lengo la kumnunua kocha wake Patrick Ausem, kocha aliyewahi kuifundisha Simba ya DSM kwa mafanikio ili kuziba pengo la Kaze aliyetimuliwa.
Kiukweli ikiwa kama Uchebe anataka kudhalilika basi athubutu kukubali kujiunga na Yanga, kwanza nitamshangaa!
Kiukweli ikiwa kama Uchebe anataka kudhalilika basi athubutu kukubali kujiunga na Yanga, kwanza nitamshangaa!