KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 3,786
- 4,337
Muda unasonga sana magoli yanakaribia kujaa kikapu.Wengi wanasema Kaizer waliloga kwao hivyo Simba lazima walipize kwa Mkapa.Msemaji wao ameenda mbali zaidi na kusema kesho mtu anakula mkono as is atacheza. Baada ya kipigo kikali wanasimba wote na viongozi wao wameelekeza nguvu zao kwa masangoma (Illusions) kwa kuwaogopesha kisailojia Kaizer.
Naomba mkumbuke kuwa South Africa ina chuo kikuu kinatoa degree (bora) ya uchawi,Yaan kwa tafsiri nyingne wakitaka mganga wanachukua wale waliomaliza na G.P.A kubwa wanakuja nae bongo.Hivyo kama wamekuja nao ni kiama kingne kwa hzo familia za hutwo tuchawi twenu sijui twa Congo.
Usiaminishwe utashinda kwa uchawi,Timu ijipange tu ishanyea kambi ipambane bila kuwa na mentality za hvyo.Wale ni Super wachawi yaan ukute wakati Manara anaenda kulala kambini limoja nimelala na mke wa Manara.
POVU RUKSA ILI TUPATE LA KUFULIA JEZI LA SIMBA KESHOKUTWA.
Naomba mkumbuke kuwa South Africa ina chuo kikuu kinatoa degree (bora) ya uchawi,Yaan kwa tafsiri nyingne wakitaka mganga wanachukua wale waliomaliza na G.P.A kubwa wanakuja nae bongo.Hivyo kama wamekuja nao ni kiama kingne kwa hzo familia za hutwo tuchawi twenu sijui twa Congo.
Usiaminishwe utashinda kwa uchawi,Timu ijipange tu ishanyea kambi ipambane bila kuwa na mentality za hvyo.Wale ni Super wachawi yaan ukute wakati Manara anaenda kulala kambini limoja nimelala na mke wa Manara.
POVU RUKSA ILI TUPATE LA KUFULIA JEZI LA SIMBA KESHOKUTWA.