Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,459
- 4,529
Land cruiser new model Zina diff lock Yaani ni balaa unapita popote.4WD unasema uchawi ,
Ukipata Chuma yenye diff lock utasemaje sasa
Land cruiser new model Zina diff lock Yaani ni balaa unapita popote.4WD unasema uchawi ,
Ukipata Chuma yenye diff lock utasemaje sasa
Land cruiser new model Zina diff lock Yaani ni balaa unapita popote.
Ndio ipo kwenye matairi ya mbele.ukikuta tope unashuka unaweka diff lock kwa kuzungusha kitufe flani hivi,Katikati kila taili,hapo kazi kwisha.Kaka hata baadhi ya land cruiser za zaman zina diff lock mbona
Aisee zile sio diff lock.. Zile ni Hub lock.. Ni vitu viwili tofauti..!Ndio ipo kwenye matairi ya mbele.ukikuta tope unashuka unaweka diff lock kwa kuzungusha kitufe flani hivi,Katatika kila taili,hapo kazi kwisha.
Kaka hata baadhi ya land cruiser za zaman zina diff lock mbona
Anamanisha kila tairi ina kuwa ina engine powered.Vp ikiwa bila 4WD tairi zote hazizunguki?
Diff lock ndo nn?Aisee zile sio diff lock.. Zile ni Hub lock.. Ni vitu viwili tofauti..!
Diff lock kama jina lake.. Inalock matairi ya kwenye diff moja ili power iwe distributed nusu kwa nusu..! Bila kujali lipi lina less resistance..!Diff lock ndo nn?
Umesomeka Mkuu. Tukutane Mawasiliano ParkDiff lock kama jina lake.. Inalock matairi ya kwenye diff moja ili power iwe distributed nusu kwa nusu..! Bila kujali lipi lina less resistance..!
Tofauti na open diff.. Power huwa inakuwa transmitted kwenye tire yenye less resistance..
Kwahiyo incase umepita eneo.. Tairi moja likanyanyuka.. Jiandae kukwama.. Maana power yote itakuwa sent kwenye hilo tairi lililonyanyukana litaishia kuspin tuu..! Wakati tairi lililochini ndio lilitakiwa kupewa power ili utoke..!
Diff locker ndio inasolve hapo sasa..!
Huko Japan mnaagizaga mapya?Mtu mmoja aliwahi Kucomment kuwa Magari mengi Yenye 4WD hayauziki Unapotaka kuliuza....hata Sijui kwanini..! Mwenye ufahamu tafadhari.
Tupe elimu zaidi kuhusu diff lock na inatofautiana vipi na 4WD.Ukipata Chuma yenye diff lock utasemaje sasa
MwambaLand cruiser hii ya 2004 ya muingereza, ni mashine balaa
Hujawah nasa vizuri ww iyo 4w ukinasa ipasavyo ndo utajua hainaga umuhimuWakuu nikiri nilikuaga na Passo Julai 2021 niliagiza ndinga yenye 4WD Sasa nikapata safari Dar - Liwale huko nikakutana na barabara hazieleweki kila nikienda gari inatitia aisee nikaweka 4H mwendo mdundo. Nauliza uchawi wa 4WD ni nn? UNYAMA mwingi
View attachment 2077288
Nina uhakika hujawahi kumilik hata baiskeli achilia mbali FEKONHujawah nasa vizuri ww iyo 4w ukinasa ipasavyo ndo utajua hainaga umuhimu