Uchawi,Ulonzi na ndumba za Babu Tale,Salam na Fela umefanya muziki wa bongo kuwa ngumu sasa wananchi wamegoma kucheza Rhumba

Harmo ameonesha nguvu kubwa sana mwaka huu lakini karibia nyimbo zake zote ni monotomy and boring, mashairi yake ya kiingereza ni yale yale ya kina davido, wizkid na wanaija wengine REPITITION. Beat zao ni zile zile, hakuna creativity tenaaa. Diamond kajitahidi kwa kumshirikisha Fally na kiukweli ule wimbo ni Bomb ila Beat imekosa msisimko na ukitaka kulijua hilo sikiliza beatz za namna hiyo za man walter.

mimi sisikilizi mainstream Music kwa promo maana mimi mziki mzuri sio makelele na soft porns. Napenda nyimbo za Diamond lakini nyingi ni zile za mwanzo.Diamond ni mtunzi na muimbaji mzuri ila kwa sasa yupo commercial, anatoa club bangz za kukaa miez miwili. Yaani hata kiba labda kwenye MBIO, nyingine ni Kama copy ya formular za WCB ila tofauti yeye haimbi SOFT PORN.
Mimi sicomment kishabiki ila naangalia kitu kizuri, hebu sikiliza EXTRAVAGANZA na ulinganishe na hizo nyimbo za kiki au msikilize Ruby kwa melody na kila kitu halafu uje na hizo mainstream music. Fungua macho maana wengine PROMO ndo kazi zetu hivyo, hatuyumbishwi na vinyago tunavyojua kuvitengeneza.
Mkuuu kwani kituo kipi cha redio kinacho fanyiya promo wale wa wcb ??
 
Wenzenu wanapiga hela nyie mnakalia Uchawi Kwanini na nyie msiroge.Kuna aliyewakataza msiroge? Leo mnatafuta mchawi nani? Mkae mjue WCB wajanja wale,Subirini tu muda watakachokifanya na sembuse makiki yao yale!
 
Mkuuu kwani kituo kipi cha redio kinacho fanyiya promo wale wa wcb ??
Wasafi TV
Wasafi FM
Wasafi Media You Tube
Wasafi FM You Tube
Wasafi TV Facebook
Wasafi TV Twitter
Wasafi FM Facebook
Wasafi FM Twitter
Wasafi FM Instagram
Wasafi TV Instagram
Wasafi Fans all the worldwideweb.
 
Nikisikiliza NENDA KAMWAMBIE NA LALA SALAMA namuona diamond halisi wa mashairi Ila kiukweli huyu wa Sasa hapana nashindwa kuelewa sehemu kubwa ya maneno yake na kiuhalisia mengi hayana maana kabisa ukiacha yale matusi....
Ukiangalia nyimbo za karibuni za Wcb zimekua na maneno ya matusi Tena linganifu Rayvany na Diamond wakiongoza.

Hamonize kidogo anajitahidi Sana Ila kwa nyimbo alizoshirikishwa nje na akajaribu kingerezeza Zina ladha moja zote.....

Kwa Sasa ALIKIBA heshima inambeba Sana kuanzia maisha halisi, uimbaji na jukwaani. Namuheshimu kwa sababu mpaka Sasa anaishi muziki pamoja na mabadiliko makubwa Sana yaliyotokea ya kimuziki ambayo wengi wa umri wake hawapo Tena.

Siku psychology ya mziki ikibadilika ghafla Kuna wasanii WCB watapotea kabisaaa.
 
Nikisikiliza NENDA KAMWAMBIE NA LALA SALAMA namuona diamond halisi wa mashairi Ila kiukweli huyu wa Sasa hapana nashindwa kuelewa sehemu kubwa ya maneno yake na kiuhalisia mengi hayana maana kabisa ukiacha yale matusi....
Ukiangalia nyimbo za karibuni za Wcb zimekua na maneno ya matusi Tena linganifu Rayvany na Diamond wakiongoza.

Hamonize kidogo anajitahidi Sana Ila kwa nyimbo alizoshirikishwa nje na akajaribu kingerezeza Zina ladha moja zote.....

Kwa Sasa ALIKIBA heshima inambeba Sana kuanzia maisha halisi, uimbaji na jukwaani. Namuheshimu kwa sababu mpaka Sasa anaishi muziki pamoja na mabadiliko makubwa Sana yaliyotokea ya kimuziki ambayo wengi wa umri wake hawapo Tena.

Siku psychology ya mziki ikibadilika ghafla Kuna wasanii WCB watapotea kabisaaa.
Hahaha kiba mnafiki Ana gubu mbahiri ...ndo mana hawezi ata aka mtoa yeyote out kwenye gemu kuna siku kaulizwa eti mbona hujapata tuzo akasema eti hazipendi na sasa hivi anaishiya ku copy kwa mondi vitu alivyotakiwa kuvianzisha mwenyew kiba anajaribu kuitembelea nyota ya daimond
 
Nikisikiliza NENDA KAMWAMBIE NA LALA SALAMA namuona diamond halisi wa mashairi Ila kiukweli huyu wa Sasa hapana nashindwa kuelewa sehemu kubwa ya maneno yake na kiuhalisia mengi hayana maana kabisa ukiacha yale matusi....
Ukiangalia nyimbo za karibuni za Wcb zimekua na maneno ya matusi Tena linganifu Rayvany na Diamond wakiongoza.

Hamonize kidogo anajitahidi Sana Ila kwa nyimbo alizoshirikishwa nje na akajaribu kingerezeza Zina ladha moja zote.....

Kwa Sasa ALIKIBA heshima inambeba Sana kuanzia maisha halisi, uimbaji na jukwaani. Namuheshimu kwa sababu mpaka Sasa anaishi muziki pamoja na mabadiliko makubwa Sana yaliyotokea ya kimuziki ambayo wengi wa umri wake hawapo Tena.

Siku psychology ya mziki ikibadilika ghafla Kuna wasanii WCB watapotea kabisaaa.
Sasa mbaya zaidi WCB ndo huwa wanaamua muziki ubadilike au ubaki hivihivi,wanatumia njia nyingi kuwanyamazisha wasanii wengine ili wabaki wao tu wakiongelewa na wamefanikiwa kwa hilo,,ukimtoa SALLAM ambae hadeal sana hapa bongo,,WCB wakitoka tu wale wazee fitna BABUTALE NA FELA basi kazi itakuwa imeisha japo kuna vi fella vingne vinazidi kuzaliwa kama meneja momo,HIVI hakuna mtu anaweza akajitolea kupoteza wale wazee wa fitna jamani??.Maana ishakuwa shida mtaani,kila siku dabliyusibi tu..
 
Muziki umetekwa na philosophy ya WCB. Huo ndio ukweli na Kila msanii Saa hii anaimba SEX SEX NGONO NGONO NGONO !!!!..
Showbiz kwa kiasi kikubwa inaendeshwa kwa DRAMA za watu wa WCB hivyo, ukiniambia WCB inapewa attention kwa muziki mzuri pekee ni uongo mkubwa. Wapo midomoni Kila siku hivyo wakitoa ngoma inakuwa Kama muendelezo wa kupewa attention

WCB ni tawi la pongolo music ya naija inayoendeshwa kwa kuimba soft porn. Nyimbo nyingi ni monotomy na boring kwa wenye akili ila kwa wenye mahaba na u-team wataendelea kuskiiza Kila boko linalopigiwa promo.
Dah, hii "soft porn" kwa nini inashamiri sana siku hizi aisee maana sio hapa TZ tu bali hata international huko ni vile vile. Na kwa nini serikali inaliangalia tu badala ya kuliona kama distraction kwa watu?
 
Wasalaam wana jf...
Pamoja na muziki wa bongo fleva kukuwa kwa kasi kubwa sana tena sana na kuzalisha fursa kila leo lakini kwa sasa umekuwa mgumu sana tena sana.....Wasanii kutoa nyimbo nzuri za ukweli limekuwa jambo la kawaida sana tena sana....

Wasanii wengi wanatoa nyimbo nzuri sana kila leo lakini lakini wanapata wakati mgumu sana tena sana kupata attentions za watu hasa mashabiki wa muziki huu wa bongo fleva ambao asilimia 80% kwa sasa ni mashabiki wa wasanii wa WCB na hii imetokana na kutekwa na Ndumba na uchawi wa Salam ,Tale na Fela.......

Wasanii wengi pamoja na kutoa nyimbo nzuri lakini wengi wanakosa ubunifu kwenye kufanya promotion ya nyimbo zao kwani wanafikiri wakishatoa wimbo mzuri basi sisi mashabiki tutapokea tuu.....hata video nyingi hazina uwekezaji na hii inatokana na ndumba uchawi wa Tale,Salam na Fela....

Kama sio uchawi hivi inakuwaje watanzania wote hawajali kabisa kabisa kusikiliza kipya kutoka kwa wasanii wengine bali wanataka kusikia kipya kutoka WCB na kinapo toka kipya kutoka huko inakuwa ndio habari as if hakuna wasanii wengine........ni wazi sababu ni uchawi na Ndumba wa Salam,Tale na Mkubwa Fela...

Swala la Babu Tale,Salam na Fela kubeba matunguri na ndumba lina ushahidi kabisa maana haiwezekani wasanii wao peke yao ndio wakawa kila mara wanaongelewa na kufatiliwa ...hii ni wazi ni ndumba na ulonzi wao sio kawaida hii....

Watu wanashawishiwa kucheza Rhumba lakini ndio kwanza wako busy na wakina Mboso,Harmonize,Rayvany na Diamond.......hili si jambo la kawaida bali ni wazi mashabiki wamerogwa na wakina Tale...

Namimi na kubaliana na Rich mavoko kuwa hawa watu ni wachawi maana haiwezekani wasanii wao ndio waongoze kuwa na show kila leo na hii si kawaida bali ni uchawi na ndumba tuuu....

Wasalaam
Mtoa mada unafeli sana mambo ya zamani sana haya ebu angalia uwekezaji unaofanywa na wcb ni mkubwa kuliko wasanii wote mwaka tangu unaanza mpaka sasa msanii mmoja harmonise ana video nne tena ni za gharama
inamana wewe unachotaka mtu anayewekeza shiling laki moja apate faida sawa na alyeweka mil moja ata wewe unaweza ukasaga unga mzuri lakini hauwezi kushindan mauzo na bakhlesa
 
Muziki umetekwa na philosophy ya WCB. Huo ndio ukweli na Kila msanii Saa hii anaimba SEX SEX NGONO NGONO NGONO !!!!..
Showbiz kwa kiasi kikubwa inaendeshwa kwa DRAMA za watu wa WCB hivyo, ukiniambia WCB inapewa attention kwa muziki mzuri pekee ni uongo mkubwa. Wapo midomoni Kila siku hivyo wakitoa ngoma inakuwa Kama muendelezo wa kupewa attention

WCB ni tawi la pongolo music ya naija inayoendeshwa kwa kuimba soft porn. Nyimbo nyingi ni monotomy na boring kwa wenye akili ila kwa wenye mahaba na u-team wataendelea kuskiiza Kila boko linalopigiwa promo.
Umeongea mtazamo wangu.
 
Wasanii wengi pamoja na kutoa nyimbo nzuri lakini wengi wanakosa ubunifu kwenye kufanya promotion ya nyimbo zao kwani wanafikiri wakishatoa wimbo mzuri basi sisi mashabiki tutapokea tuu
Sasa hapo uchawi unaingiaje wakati umeshatoa jibu la kisayansi?
Kumbuka hata diamon alipambana sana
Kama uchawi unafanya kazi mshauri basi mavoko na yeye atumie
 
Pongezi kwa Tale... kazi iliyotukuka imeonekana na kuzaa matunda.. mbuyu chali.
 
Back
Top Bottom