Mkuuu kwani kituo kipi cha redio kinacho fanyiya promo wale wa wcb ??Harmo ameonesha nguvu kubwa sana mwaka huu lakini karibia nyimbo zake zote ni monotomy and boring, mashairi yake ya kiingereza ni yale yale ya kina davido, wizkid na wanaija wengine REPITITION. Beat zao ni zile zile, hakuna creativity tenaaa. Diamond kajitahidi kwa kumshirikisha Fally na kiukweli ule wimbo ni Bomb ila Beat imekosa msisimko na ukitaka kulijua hilo sikiliza beatz za namna hiyo za man walter.
mimi sisikilizi mainstream Music kwa promo maana mimi mziki mzuri sio makelele na soft porns. Napenda nyimbo za Diamond lakini nyingi ni zile za mwanzo.Diamond ni mtunzi na muimbaji mzuri ila kwa sasa yupo commercial, anatoa club bangz za kukaa miez miwili. Yaani hata kiba labda kwenye MBIO, nyingine ni Kama copy ya formular za WCB ila tofauti yeye haimbi SOFT PORN.
Mimi sicomment kishabiki ila naangalia kitu kizuri, hebu sikiliza EXTRAVAGANZA na ulinganishe na hizo nyimbo za kiki au msikilize Ruby kwa melody na kila kitu halafu uje na hizo mainstream music. Fungua macho maana wengine PROMO ndo kazi zetu hivyo, hatuyumbishwi na vinyago tunavyojua kuvitengeneza.