Uchawi uliong'arisha ulaya ni upi? Tufanyaje?

Kwahiyo tuseme kwamba afrika nzima ipo hivi ilivyo ni kwa sababu waafrika tuna akili mbovu? Najaribu kutafakari bara zima imekuaje hadi ikawa watu wake wawe na akili mbovu?
Yaani tumeumbwa hivyo hivyo. Ukiangalia waafrika karibia wote tukiwatoa wale waarabu wa Kaskazini utaona tunafanana kwenye mambo mengi sana.
 
OK, nimekuelewa kwa kuijua vizuri historia, mimi nilisoma Sayansi; but hujajibu swali kwamba Ethiopia haikutawaliwa kabisa so kama kutawaliwa ndio kumetufanya hivi tulivyo; mbona Ethiopia na yenyewe masikini tu. Moja, mbili ni hili, hivi Ureno (Wazungu) walitawala nchi kadhaa za Kiafrica, mbona na wenyewe sio matajiri kiviile? ( Though still huwezi wafananisha wao na sisi ) TWende pole pole sasa, kama kutawaliwa ni issue, hivi unajua China ilikua kuloni la Japan? Now niambie kati ya China na Japan, unaweza kunambia eti na wao ni masikini kwasababu walitawaliwa? India, Indonesi, Malysia na zenyewe zilitawaliwa kama sisi but angalia wapo wapi sasa hivi? Dubai (UAE ) na yenyewe ilitawaliwa, hivi na wenyewe na masikini kama sisi? Jaribu kuilinganisha Africa Kusini ya Makaburu ( hapa sasa itategemea na umri wako ) na Africa kusini hi inayo ongozwa na weusi, Je is South Africa inakua au inarudi nyuma!? Zimbabwe baada ya kuwafukuza Wazungu (hi nchi ilikua inasafirisha maziwa ya ng'ombe kwenda maeneo mbalimbali ya nchi na hata nje ya nchi kwa kutumia haya magri ya mafuta yaani petro tanks) ikoje sasa hivi? Nchi ambayo ilikua na uwezo wa kulisha bara zima la Africa, sasa hvi na yenyewe inalia njaa!
Labda tujiulize swali la mwisho ( hi kwa wenye mtazamo kama wako kwamba eti tupo hivi kwasababu walitutawala ). Kama tupo sawa nao, kwanini sasa waliweza kututawala? Walitukuta hatuna akili au nini? KWanini sisi ndio hatukwenda kwao kuwatawala? Hilo moja, la pili ni hili, wakati wao wanakuja kututawala, walitukuta tukoje kimaisha compared to/with them? Tusitafute majibu rahisi kwa maswali magumu.

Yan we jamaa sijui nikuite kilaza ama nikuitaje...ethiopia ilikuwa conquered na wa Italy, haikuwa formal colony lakini wa italy waliichukua fanya ku google upate maarifa

Pili kama hujajua ni kuwa unapokuwa karibu na kings hata wewe utakuwa katika level ya elites, kuna nchi ambazo zimeendelea kwa sababu ya maendeleo ya nchi nyingine za jirani ndio maana unaona kuna SADC, AU, EU(Regional integrations) lengo ni kuendelea kwa pamoja, lets say Industrial revolution ilianzia uingereza, nchi zote za jiran zika adopt na maendeleo yakaja, unasema ethiopia awe rich wakati kazungukwa na nchi masikini are you in your right mind?

Kuna hoja niweziweka hapo juu umezikwepa kama siyo wewe uliyezileta now unaniletea japan, japan imeitawala china kama sehemu yake, ikiondeleza na kuwakandamiza wachina, wakati unajua kabisa malighafi zote duniani zilikuwa zinazalishwa africa na america kaskazini na kusini so dumb of you...huwezi kufananisha utawaliwa wa japan na china na ulaya na africa, kumbuka japan alikuwa anaiendesha china kama nchi yake na afrika ilikuwa ni source ya malighafi

Tukiongelea utawala wa south africa na sehemu nyingine za africa ni tofauti utawala wa south africa na what we call now USA ulikuwa sawa, wazungu waliamua ku settle na walitaka hao indigenous people wa perish, you are so poor to think that you ain’t nothing like them

Now africans + americans(south) tuna gap(deni) kubwa sana wataalam u wanaita “black tax” iliyosababisha na hawa wahuni na hii tuna miaka kama 100 ya kulimaliza, nalo ni kusomesha ndugu jamaa na marafiki, imagine sasa hivi ukitoboa wewe ndio kila mtu anakuangalia umsaidie, lini tutafika hukooo?
 
Yan we jamaa sijui nikuite kilaza ama nikuitaje...ethiopia ilikuwa conquered na wa Italy, haikuwa formal colony lakini wa italy waliichukua fanya ku google upate maarifa

Pili kama hujajua ni kuwa unapokuwa karibu na kings hata wewe utakuwa katika level ya elites, kuna nchi ambazo zimeendelea kwa sababu ya maendeleo ya nchi nyingine za jirani ndio maana unaona kuna SADC, AU, EU(Regional integrations) lengo ni kuendelea kwa pamoja, lets say Industrial revolution ilianzia uingereza, nchi zote za jiran zika adopt na maendeleo yakaja, unasema ethiopia awe rich wakati kazungukwa na nchi masikini are you in your right mind?

Kuna hoja niweziweka hapo juu umezikwepa kama siyo wewe uliyezileta now unaniletea japan, japan imeitawala china kama sehemu yake, ikiondeleza na kuwakandamiza wachina, wakati unajua kabisa malighafi zote duniani zilikuwa zinazalishwa africa na america kaskazini na kusini so dumb of you...huwezi kufananisha utawaliwa wa japan na china na ulaya na africa, kumbuka japan alikuwa anaiendesha china kama nchi yake na afrika ilikuwa ni source ya malighafi

Tukiongelea utawala wa south africa na sehemu nyingine za africa ni tofauti utawala wa south africa na what we call now USA ulikuwa sawa, wazungu waliamua ku settle na walitaka hao indigenous people wa perish, you are so poor to think that you ain’t nothing like them

Now africans + americans(south) tuna gap(deni) kubwa sana wataalam u wanaita “black tax” iliyosababisha na hawa wahuni na hii tuna miaka kama 100 ya kulimaliza, nalo ni kusomesha ndugu jamaa na marafiki, imagine sasa hivi ukitoboa wewe ndio kila mtu anakuangalia umsaidie, lini tutafika hukooo?
Mtaacha lini kulaumu wazungu na akili zenu fupi fupi ?
 
Mtaacha lini kulaumu wazungu na akili zenu fupi fupi ?

Akili yako ndefu iko wapi?tumshabikie basi kwa kuwa anatupatia msaada kwenye budget kwa tanzania zaidi ya 40%...fool.

Nnakasirika mnaposhindwa kung’amua tatizo lilipoanzia

Know the root cause leo hii mnaona magufuli anapambana nao mnadhani ni mjinga...nakuita tena fool
 
Akili yako ndefu iko wapi?tumshabikie basi kwa kuwa anatupatia msaada kwenye budget kwa tanzania zaidi ya 40%...fool.

Nnakasirika mnaposhindwa kung’amua tatizo lilipoanzia

Know the root cause leo hii mnaona magufuli anapambana nao mnadhani ni mjinga...nakuita tena fool
Magufuli anapambana nao wapi na wewe. Ebu ficha ujinga wako basi.

Miaka nenda rudi bado kisingizio ni kile eti tulinyonywa na wazungu. Mbona wenzetu tuliokuwa tumetawaliwa nao kwenye bara la Asia wanapiga hatua. Jiulize sisi tunakwama wapi sio kutuletea lame excuse kila siku.
 
Fanya hivi vitu vi 3, ndani ya miaka 50 mtaifikia Ulaya.

1.Kuacha kutoa na kupokea Rushwa.

2. Lipa kodi bila shuruti.

3. Katiba mpya.
 
Matatizo ya mu-Afrika ndio kama wewe unayetumia simu ya mzungu kuandika hapa,gari kusafiri,umeme nyumbani kwako lakini hujui nyumba za tope ni ufukara wa kutupwa.
Kuna shida gani pia ukiendelea kutumia kuni na vibatari badala ya gesi na umeme?
Matatizo ya muafrica ndyo km hya ya kutaka kuishi km mzungu. Kuna shida gani mtu akiishi kwenye nyumba ya tope? Kwani nyumba ya tope haiwezi kuwa bora? Nowdays teknolojia ime advance kuna nyumba za matofali ya kuchoma ni imara tu! Km nyumba nyingine
 
Si umekwishaambiwa kwamba kitendo tu cha wao kutoka huko kwao maelfu ya kilometa wakiwa wachache na kuja kututawala sisi tulio wengi huku kwetu kinaonyesha wametuzidi uwezo wa kiakili.
Ni nini ambacho hujaelewa hapa kabla hujarukia kuwalaumu kwamba walitufanyia mabaya pia?
Yan we jamaa sijui nikuite kilaza ama nikuitaje...ethiopia ilikuwa conquered na wa Italy, haikuwa formal colony lakini wa italy waliichukua fanya ku google upate maarifa

Pili kama hujajua ni kuwa unapokuwa karibu na kings hata wewe utakuwa katika level ya elites, kuna nchi ambazo zimeendelea kwa sababu ya maendeleo ya nchi nyingine za jirani ndio maana unaona kuna SADC, AU, EU(Regional integrations) lengo ni kuendelea kwa pamoja, lets say Industrial revolution ilianzia uingereza, nchi zote za jiran zika adopt na maendeleo yakaja, unasema ethiopia awe rich wakati kazungukwa na nchi masikini are you in your right mind?

Kuna hoja niweziweka hapo juu umezikwepa kama siyo wewe uliyezileta now unaniletea japan, japan imeitawala china kama sehemu yake, ikiondeleza na kuwakandamiza wachina, wakati unajua kabisa malighafi zote duniani zilikuwa zinazalishwa africa na america kaskazini na kusini so dumb of you...huwezi kufananisha utawaliwa wa japan na china na ulaya na africa, kumbuka japan alikuwa anaiendesha china kama nchi yake na afrika ilikuwa ni source ya malighafi

Tukiongelea utawala wa south africa na sehemu nyingine za africa ni tofauti utawala wa south africa na what we call now USA ulikuwa sawa, wazungu waliamua ku settle na walitaka hao indigenous people wa perish, you are so poor to think that you ain’t nothing like them

Now africans + americans(south) tuna gap(deni) kubwa sana wataalam u wanaita “black tax” iliyosababisha na hawa wahuni na hii tuna miaka kama 100 ya kulimaliza, nalo ni kusomesha ndugu jamaa na marafiki, imagine sasa hivi ukitoboa wewe ndio kila mtu anakuangalia umsaidie, lini tutafika hukooo?
 
Kwa nini anapambana nao badala ya kushirikiana nao?
Nani aliyewahi kupambana nao akafanikiwa?
Akili yako ndefu iko wapi?tumshabikie basi kwa kuwa anatupatia msaada kwenye budget kwa tanzania zaidi ya 40%...fool.

Nnakasirika mnaposhindwa kung’amua tatizo lilipoanzia

Know the root cause leo hii mnaona magufuli anapambana nao mnadhani ni mjinga...nakuita tena fool
 
Huo umasikini unao uona kwa sasa ni afadhali mkuu, ungepita miaka ya tisini asee ni balaa hapo njia ya kati kwenda Mwanza yaani kuona japo nyumba ya bati hadi uwe na tochi. Wazungu walitushinda akili mkuu, tizama akina Isaac Newton, akina Archmedes, akina Stephen Hawking, akina Gregory Mendel..sasa sisi tuna akina pawa Mabula sijui akina Mwana Malundi na akina Msukuma wapi na wapi mzee kutoboa ni ngumuu

Mzungu
Mungu
Ondoa Z kwenye mZungu.

Mkuu, hebu twende taratibu, miaka 60 iliopita you mean 2019-60=1959; siamini kabisa kwamba Wazungu wa Ulaya, Marekani eti mwaka 1959 walikua na Maisha ya shida. Hivi unajua umeme tu waligundua lini hawa watu? Unajua gari liligunduliwa lini na hawa watu? Unajua huo mwaka 1959 tayari hawa jamaa walikua wanapaisha ndege hizi tunazo jivunia leo? Please, give a break; Kama Ikulu hi ya Magogoni ilijengwa na Mrejurma, Mjerumani aliondoka Tanganyika/Tanzania baada tu ya vita kuu ya pili ya dunia, that means 1918 hiyo ni nyuma Zaidi ya miaka 40 ya huo mwaka unao uzungumzia kwamba eti walikua masikini kama sisi; brother.....! Twende pole pole, hivi unajua ile meli ya MV Liemba iliopo ziwa Tanganyika na yenyewe ilitengenezwa Ujerumani na ikaletwa Tanganyika kwa ajili ya matumizi ya serikali hiyo hiyo ya Ujerumani? Reli ya kati, hi ambayo inatumika hadi leo na yenyewe ujenzi wake ulianza mwaka 1907-1915, yaani ndani ya miaka 8 tu walikua wameisha tatanza reli from Dar to Kigoma and Mwanza, sisi hi ya SGR (ambayo of course wala hatujengi sisi, tumeajiri wengine watujengee ) so kama waliweza kufanya hayo kwenye makoloni yao, huko kwao kulikuaje?
Hakuna lolote! Watu weusi ni sifuri tupu! Mwaka 1907 mzungu alikuwa anajenga reli kwenye makoloni yake... imagine!! Leo hii sisi 2019 bado tunaishi kwenye nyumba za tope!

Huoni hiyo brain disease tuliyonayo!??
We jamaa hujafika ulaya au Marekani kuna structure za miaka Zaid ya 200.
We jamaa hujafika ulaya au Marekani kuna structure za miaka Zaid ya 200.
Miaka ya 1960 mzungu alikuwa mbali sana kimaendeleo na umaskini alikwisha usahau
Kajifunze historia vizuri,mapinduzi ya viwanda Ulaya yalianza karne ya 19 (miaka ya 1800)
Screenshot_2019-04-25-19-51-08.png


Screenshot_2019-04-25-19-51-17.png


Screenshot_2019-04-25-19-51-28.png



Screenshot_2019-04-25-19-51-39.png



Screenshot_2019-04-25-19-52-07.png


Hili ni kaburi la farao jipya kabisa kugunduliwa majuzi tuu (bado halija chakachuliwa) lenye umri wa miaka 4400. Utaona hawa wamisri walikuwa na rangi nyeusi hasa. Utaona wenyewe maendelea na akili zilitoka wapi.
 
View attachment 1081391

View attachment 1081392

View attachment 1081393


View attachment 1081394


View attachment 1081395

Hili ni kaburi la farao ni jipya kabisa kugunduliwa majuzi tuu lenye umri wa miaka 4400. Utaona hawa wamisri walikuwa na rangi nyeusi hasa. Utaona wenyewe maendelea na akili zilitoka wapi.
Labda ni kweli inawezekana walikuwa weusi lakini sidhani kama walikuwa wabantu hawa haswa walioko chini ya jangwa la sahara!! Unaona hata nywele zao ni singasinga!
 
Yan we jamaa sijui nikuite kilaza ama nikuitaje...ethiopia ilikuwa conquered na wa Italy, haikuwa formal colony lakini wa italy waliichukua fanya ku google upate maarifa

Pili kama hujajua ni kuwa unapokuwa karibu na kings hata wewe utakuwa katika level ya elites, kuna nchi ambazo zimeendelea kwa sababu ya maendeleo ya nchi nyingine za jirani ndio maana unaona kuna SADC, AU, EU(Regional integrations) lengo ni kuendelea kwa pamoja, lets say Industrial revolution ilianzia uingereza, nchi zote za jiran zika adopt na maendeleo yakaja, unasema ethiopia awe rich wakati kazungukwa na nchi masikini are you in your right mind?

Kuna hoja niweziweka hapo juu umezikwepa kama siyo wewe uliyezileta now unaniletea japan, japan imeitawala china kama sehemu yake, ikiondeleza na kuwakandamiza wachina, wakati unajua kabisa malighafi zote duniani zilikuwa zinazalishwa africa na america kaskazini na kusini so dumb of you...huwezi kufananisha utawaliwa wa japan na china na ulaya na africa, kumbuka japan alikuwa anaiendesha china kama nchi yake na afrika ilikuwa ni source ya malighafi

Tukiongelea utawala wa south africa na sehemu nyingine za africa ni tofauti utawala wa south africa na what we call now USA ulikuwa sawa, wazungu waliamua ku settle na walitaka hao indigenous people wa perish, you are so poor to think that you ain’t nothing like them

Now africans + americans(south) tuna gap(deni) kubwa sana wataalam u wanaita “black tax” iliyosababisha na hawa wahuni na hii tuna miaka kama 100 ya kulimaliza, nalo ni kusomesha ndugu jamaa na marafiki, imagine sasa hivi ukitoboa wewe ndio kila mtu anakuangalia umsaidie, lini tutafika hukooo?
Naona unaandika kinyumenyume!! Waethiopia ndio waliwapiga na kuwashinda waitali katika vita ya ADOWA! [not the other way round]

Leo Ethiopia iko wapi?
 
Back
Top Bottom