Hizbu Sharifu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 449
- 882
Habari ndugu
Binafsi napenda kusema hadharani kua uchawi sio mbaya kama unavyosemwa na baadhi ya watu na kwa bahati mbaya wasioleewa dini vizuri hudhani uchawi ni haram ukweli ni kwamba ushirikina ndio harama ila uchawi sio haram ingawa upo uchawi mwingine hutumika kufanyika kwa njia za kishirikina
Uchawi ni kitu ambacho kinaitaratibu wa kuheshimu utu wa mwanaadamu
Sipendelewi na maneno yanayosemwa kua uchawi ni mbaya
Ni kweli wapo wanaorogwa na uchawi waharibikiwe ila wanaofanya uchawi wakafanikiwa pia wapo na wengi zaidi ya wanaoharibikiwa
Binafsi napenda kusema hadharani kua uchawi sio mbaya kama unavyosemwa na baadhi ya watu na kwa bahati mbaya wasioleewa dini vizuri hudhani uchawi ni haram ukweli ni kwamba ushirikina ndio harama ila uchawi sio haram ingawa upo uchawi mwingine hutumika kufanyika kwa njia za kishirikina
Uchawi ni kitu ambacho kinaitaratibu wa kuheshimu utu wa mwanaadamu
Sipendelewi na maneno yanayosemwa kua uchawi ni mbaya
Ni kweli wapo wanaorogwa na uchawi waharibikiwe ila wanaofanya uchawi wakafanikiwa pia wapo na wengi zaidi ya wanaoharibikiwa