kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,807
Wakuu habarini humu,
Kiukweli uchawi ni sayansi kubwa sana tena ina mengi ya kustaajabisha, maajabu yake ni makubwa na yanashangaza.. fikiria kuchoma kisu kwenye kioo ukiwa dodoma na sekunde hiyo hiyo madhara kwa uliyemkusudia yanatokea hata akiwa Mtwara, haya ni maajabu sana, tena hebu fikiria jinsi unavyofunga milango ya nyumba yako lakin wachawi wanapita bila kusumbua hata mende. Kuna matajiri wengi wanatumia hii sayansi na mambo yao yanaenda vizuri
Alafu ni kama kuna faida nyingi tutapata endapo uchawi ukifanya kazi katika upande chanya, sasa kwanini umefichwa?? Uchawi umewekwa siri kwa faida ya nani?? Ikafika mahali nikahisi labda ni propaganda za wazungu ili tusiwazidi kwa upande wa sayansi lakin nikaja kugundua pia hata huko ulaya uchawi upo na still sio wazi pia.
Wanajamvi kwanini mambo ya kichawi yanafichwa na kuwa siri??
Kiukweli uchawi ni sayansi kubwa sana tena ina mengi ya kustaajabisha, maajabu yake ni makubwa na yanashangaza.. fikiria kuchoma kisu kwenye kioo ukiwa dodoma na sekunde hiyo hiyo madhara kwa uliyemkusudia yanatokea hata akiwa Mtwara, haya ni maajabu sana, tena hebu fikiria jinsi unavyofunga milango ya nyumba yako lakin wachawi wanapita bila kusumbua hata mende. Kuna matajiri wengi wanatumia hii sayansi na mambo yao yanaenda vizuri
Alafu ni kama kuna faida nyingi tutapata endapo uchawi ukifanya kazi katika upande chanya, sasa kwanini umefichwa?? Uchawi umewekwa siri kwa faida ya nani?? Ikafika mahali nikahisi labda ni propaganda za wazungu ili tusiwazidi kwa upande wa sayansi lakin nikaja kugundua pia hata huko ulaya uchawi upo na still sio wazi pia.
Wanajamvi kwanini mambo ya kichawi yanafichwa na kuwa siri??