Uchawi...Maepe

Sizinga

Platinum Member
Oct 30, 2007
9,100
6,022
Huku mtaani kwangu watoto wengi(darasa kati 2-5) sasahivi wanarithishwa mikoba na wazazi/walezi wao, nadhani hawajafundwa vizuri manake wanatapika vibaya(wanatoa siri mwanzo mwisho)...utawasikia tu ...yule pale tunampitia usiku, nyumba ile wapo, pale na pale tunawadaka...yaani hadi inaogopesha, wanadai usiku wanaruka mpaka coco beach na mambo mengine kibao!!

Vp huko mtaani kwenu yapo haya au ni huku tu??
 
Muite Yesu hapo ulipo, wooote watakimbia na mtabakia huru.

Jesus said:
He has sent me to proclaim release to the captives . . . to set free those who are downtrodden (Luke 4:18).
And these signs shall follow them that believe; In my name shall they cast out devils; they shall speak with new tongues; Mark 16:17

Mkuu, ita Yesu hapo, utasikia vurumai litakalo tokea kwa hao wachawi mtaani kwako, and theafter, mtakuwa huru maana Yesu akikuweka huru unakuwa huru kweli na kabisa.
 
Mmmmmhhhhhhhhhhhhh! Kuondoa uchawi kwa mazingaombwe! Huo ni mzaha.
 
mzee, huto tutoto tunasumbuliwa na matatizo ya kuvunja ungo na balehe.
Hebu kasokomeze mkitu katoto kamoja ka kike, kataacha kuweweseka.
 
Wapo hapo, kawe au tandale kwa tumbo?. Tueleze mtaa tutie timu ya wanamaombi.
 
Kuna jina sijaliona hapo, kwani hilo jina nikilitumia siwezi kufukuza mapepo na wachawi?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom