Mdakuzi mkuu
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 212
- 719
Ukifuatilia sana, wote ambao wana viwanda, mabasi, migodi, mabasi, wabiashara makubwa ni wabahili sana. Hawaambiliki.
Unakuta mtu mmiliki wa kiwanda, anakunywa chai na muhogo au kiazi kitamu, na ni kiroho safi tu.
Mwingine unakuta havai nguo ya ndani (chupi, boxer) au akivaa analala amekaa kwenye kiti sebuleni miaka nenda rudi.
Mfano mwingine, magari ya Saibaba yakuwa na kitambaa cheusi kinaning'inia nyuma mkono wa kulia kwenye mabasi yote. Na pale Ubungo kila siku alfajiri, kuna kibabu fulani cha Kihindi ndicho ambacho hutekenya (kuwasha) magari yote ya Saibaba Ubungo Terminal huku kikisema yake.
Abood na mabasi yake alama nyekundu, damu lazima.Maana yake kuna wakati basi huchinja binadamu.
HOOD nae ukifika pale ofisini kwake Morogoro, wale njiwa lazima wapande juu ya basi iwapo mnaendelea na safari wakati gari inafanyiwa service. Kwanini? Utajaza mwenyewe.
Ndo maana mabasi mengi yana alama za hovyo, za kichawi na mizimu.
Ngorika tu ndo imechorwa BIBLIA na yule chui ambae huwa amelala tu.
Unakuta mtu mmiliki wa kiwanda, anakunywa chai na muhogo au kiazi kitamu, na ni kiroho safi tu.
Mwingine unakuta havai nguo ya ndani (chupi, boxer) au akivaa analala amekaa kwenye kiti sebuleni miaka nenda rudi.
Mfano mwingine, magari ya Saibaba yakuwa na kitambaa cheusi kinaning'inia nyuma mkono wa kulia kwenye mabasi yote. Na pale Ubungo kila siku alfajiri, kuna kibabu fulani cha Kihindi ndicho ambacho hutekenya (kuwasha) magari yote ya Saibaba Ubungo Terminal huku kikisema yake.
Abood na mabasi yake alama nyekundu, damu lazima.Maana yake kuna wakati basi huchinja binadamu.
HOOD nae ukifika pale ofisini kwake Morogoro, wale njiwa lazima wapande juu ya basi iwapo mnaendelea na safari wakati gari inafanyiwa service. Kwanini? Utajaza mwenyewe.
Ndo maana mabasi mengi yana alama za hovyo, za kichawi na mizimu.
Ngorika tu ndo imechorwa BIBLIA na yule chui ambae huwa amelala tu.