Brightfame
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,340
- 1,399
Siku wakikutembelea ukaanza kukojoa dagaa wakitoka kinyume nyume na kukwaruza urethra mkojo ukawa unatoka na damu ndio utatambua kuwa wapo !! Sikushangai we bado mtoto,ukikua utayaona.Kuna nadharia za ajabu sana Africa ambazo huwezi ziona dunia ya kwanza.
Uchawi ni nn.. Nani ambaye anaweza kutupa prove uchawi upo? Nani alimuona mchawi? Nani anaujua uchawi? Uchawi una nguvu gani?
Hayo Majini ni nini? Hakuna cha majini wala babu yake na majini?
Hizo ni drama za kufikirika.
Utasikia kuna majini. Ushawahi kuliona! Utasikia majini majini ni viumbe visivyoonekana kama hayaonekani umejuaje km yapo.
Majini na uchawi ni dhana za kufikilika
Lete prove hapa.
Hakuna cha majini wala uchawi