Uchambuzi wa kitabu cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa "MY LIFE, MY PURPOSE"

Ualimu nikazi duni sana hapa nchini huwezi amino kama inasomewa (professional)...kwa wenzetu inaheshma lkn kwetu tabu tupu. Mbaya zaidi viongozi wanawapuuza na wanapelekeshwa hata na mabalozi was nyumba kumi!! Skuiz hats wanafunzi washawaona walimu ni chokambaya
kuna kazi za wito ambazo mtu anazifanya akiwa tayari kwa yote.

kama unafanya aina hiyo ya kazi huku ukitegemea utajiri,heshima,kuogopwa,au umaarufu umejichagulia sononeko milele.

kazi hizo zinataka ujitoe kwa moyo wote,halafu mengine yatakukuta mbele.

kama unakumbuka vizuri yupo mwalimu kenya,mwezi wa sita,amejishindia bilioni mbili za tz baada ya kushinda tuzo ya mwalimu mtumishi aliye bora na mwenye bidiii,baada ya kuwa akitumia mshahaara wake kuwasaidia wanafunzi wenye hali duni shuleni kwake.leo hii dunia inamjua na inamuheshimu sana kuliko hata rais wa nchi yake.

tujifunze kujitoa.
 
Nikiri kuwa sijakisoma kitabu cha BWM cha My Life: MY purpose zaidi ya kumsikia yeye mwenyewe na wengine wakikiongelea.

Ni wazi kuwa wote tunajua 2001 yalitokea mauwaji ya watanzania 22 na yeye ndiye alikuwa Rais na Amiri Jeshi wa majeshi ya ulinzi na Usalama.

Shida yangu ni kutaka kujua je anahujuta au anafadhaishwa na tukio hilo?
 
Nikiriri kuwa sijakisoma kitabu cha BWM cha My Life: MY purpose zaidi ya kumsikia yeye mwenyewe na wengine wakikiongelea. Ni wazi kuwa wote tunajua 2001 yalitokea mauwaji ya watanzania 22 na yeye ndiye alikuwa rais na Amiri Jeshi wa majeshi ya ulinzi na Usalama. Shida yangu ni kutaka kujua je anahujuta au anafadhaishwa na tukio hilo?

Huoni Ungekisoma ndio hata ulichouliza ungepata JIBU, nachofahamu kipindi mauwaji yanatokea, Mkapa alikuwa NJE ya NCHI na DR> OMARI ALI JUMA, ndio alikuwa anakaimu uraisi...Unalijua HILO??????????
 
Huoni Ungekisoma ndio hata ulichouliza ungepata JIBU, nachofahamu kipindi mauwaji yanatokea, Mkapa alikuwa NJE ya NCHI na DR> OMARI ALI JUMA, ndio alikuwa anakaimu uraisi...Unalijua HILO??????????
hilo nalifahamu fika mkuu- kilichonifanya niulize naona kama baadhi ya watu wanataka kuonyesha kuwa anajuta
 
Nikiriri kuwa sijakisoma kitabu cha BWM cha My Life: MY purpose zaidi ya kumsikia yeye mwenyewe na wengine wakikiongelea. Ni wazi kuwa wote tunajua 2001 yalitokea mauwaji ya watanzania 22 na yeye ndiye alikuwa rais na Amiri Jeshi wa majeshi ya ulinzi na Usalama. Shida yangu ni kutaka kujua je anahujuta au anafadhaishwa na tukio hilo?
Mimi huyo siwezi kumuelewa na kumheshimu sana. Nitaendelea kumchukulia easy. Huyu ndiye aliyeruhusu mikataba ya kifisadi ya 99 migodini. Mikataba ambayo haiwezi kuvunjwa hata kama tunaona tunaibiwa Lakini leo tunadhani wapinzani wa ccm ndiyo adui ktk mikataba hiyo !!.

Kitabu chake mimi sijakisoma . Na kuhusu mauaji yale ya 2001 , naamini haki ya WaTz kuchagua na kuchaguliwa haipo. Bali kuna kikundi kinatuamulia
 
Title umeandika kikanjanja, tujifunze kuandika vitu vya kueleweka, kweli umeshindwa kuanza na "JE" ukamalizia na "?'' kama ni swali ulikusudia kuuliza.
 
Title umeandika kikanjanja, tujifunze kuandika vitu vya kueleweka, kweli umeshindwa kuanza na "JE" ukamalizia na "?'' kama ni swali ulikusudia kuuliza.
"h120, asante kwa maelimisho; Je anajuta au anafadhaishwa?
 
Huoni Ungekisoma ndio hata ulichouliza ungepata JIBU, nachofahamu kipindi mauwaji yanatokea, Mkapa alikuwa NJE ya NCHI na DR> OMARI ALI JUMA, ndio alikuwa anakaimu uraisi...Unalijua HILO??????????
Bora usifukuwe Makaburi.

Kuna muandishi wa Marehemu Dr Omar Ali Juma Marehemu Ali Nabwa alikuwa anaandika series ya Mauaji yale. Kwa Ufupi Mkapa alimuachia Order Makamu wake kuihakikisha Maandamano yanazimwa. Dr omar alikufa na kinyongo kikubwa kupewa MSALA ule na bosi wake kuondoka.

Unaambiwa wawili hao walikuwa hawaivi tena baada ya tukio lile ambalo Dr Omar alilichukulia kama kuadabishwa na kugombanishwa na Wapemba wenzake. Dr omar alikufa na kinyongo na kama Utafuatilia vizuri Kifo cha Dr Omar kinahusishwa na Hujuma. Hili mh Mkapa nalo angelitolea ufafanuzi.
 
Bora usifukuwe Makaburi.

Kuna muandishi wa Marehemu Dr Omar Ali Juma Marehemu Ali Nabwa alikuwa anaandika series ya Mauaji yale. Kwa Ufupi Mkapa alimuachia Order Makamu wake kuihakikisha Maandamano yanazimwa. Dr omar alikufa na kinyongo kikubwa kupewa MSALA ule na bosi wake kuondoka.

Unaambiwa wawili hao walikuwa hawaivi tena baada ya tukio lile ambalo Dr Omar alilichukulia kama kuadabishwa na kugombanishwa na Wapemba wenzake. Dr omar alikufa na kinyongo na kama Utafuatilia vizuri Kifo cha Dr Omar kinahusishwa na Hujuma. Hili mh Mkapa nalo angelitolea ufafanuzi.
KISHADA, hili jipya sasa; kwani wakati BWM anaenda Davos ilikuwa imeshajulikana maandamano yatafanyika? isije kuwa waandamanaji walitumia mwanya wa kutokuwepo kwakwe kujaribu kuleta machafuko?
 
Mkapa aliendeleza kutii AGIZO la kulinda Muungano kwa Gharama zote. Zanzibar hakutakiwi mabadiliko kwa maweazo kwamba mabadiliko yatavunja Muungano. Nyerere alizuiya mabadiliko kwa mbinu zake, Mkapa alizuiya kwa mauaji na kukosa busara, Kikwete alituma Jeshi kuzingira na kulazimishwa Jecha kufuta uchaguzin wote wakati mshindi alishapatikana ambacho kingetokea Mungu ndio anajuwa kama si Busara za Akina Maalim Seif na wazee wa Maridhiano. Huyu Aliyepo ndio anapewa angalizo na wenzake lkn kuna Mauwaji mengi yanaweza kutokea bila busara kutumika.

Mauaji ya Zanzibar ni lazima yatokee mpaka watawala watakapokubali kuwa ile ni nchi imeungana na sio kulazimisha vibaraka na ukoloni kule.

Nia njema ya kuweka Muungano wa kuheshimiana ndio suluhu na Tanganyika kuacha ukoloni kwa jina la SMT.

Rais yoyote ataua Zanzibar vyenginevyo Viongozi wa Upinzani Zanzibar waendelee kutumia busara tu au hadi hapo Watawala watakapoona umuhimu wa kuweka mambo sawa ambapo kwa sasa hakuna mwenye uthubutu huo.
 
Nikiriri kuwa sijakisoma kitabu cha BWM cha My Life: MY purpose zaidi ya kumsikia yeye mwenyewe na wengine wakikiongelea. Ni wazi kuwa wote tunajua 2001 yalitokea mauwaji ya watanzania 22 na yeye ndiye alikuwa rais na Amiri Jeshi wa majeshi ya ulinzi na Usalama. Shida yangu ni kutaka kujua je anahujuta au anafadhaishwa na tukio hilo?
Mh. Mkapa keshasema hakuwa nchini wakati haya mauaji yalivyotokea na aliyekuwa anakaimu Mungu kesha mpunzisha katika pumziko la amani milele.
 
Mkapa aliendeleza kutii AGIZO la kulinda Muungano kwa Gharama zote. Zanzibar hakutakiwi mabadiliko kwa maweazo kwamba mabadiliko yatavunja Muungano. Nyerere alizuiya mabadiliko kwa mbinu zake, Mkapa alizuiya kwa mauaji na kukosa busara, Kikwete alituma Jeshi kuzingira na kulazimishwa Jecha kufuta uchaguzin wote wakati mshindi alishapatikana ambacho kingetokea Mungu ndio anajuwa kama si Busara za Akina Maalim Seif na wazee wa Maridhiano. Huyu Aliyepo ndio anapewa angalizo na wenzake lkn kuna Mauwaji mengi yanaweza kutokea bila busara kutumika.

Mauaji ya Zanzibar ni lazima yatokee mpaka watawala watakapokubali kuwa ile ni nchi imeungana na sio kulazimisha vibaraka na ukoloni kule.

Nia njema ya kuweka Muungano wa kuheshimiana ndio suluhu na Tanganyika kuacha ukoloni kwa jina la SMT.

Rais yoyote ataua Zanzibar vyenginevyo Viongozi wa Upinzani Zanzibar waendelee kutumia busara tu au hadi hapo Watawala watakapoona umuhimu wa kuweka mambo sawa ambapo kwa sasa hakuna mwenye uthubutu huo.
KISHADA, unatoa maelezo mengi na kuibua hoja nyingi pia amabalo ni jambo zuri; mie haja yangu ni kutaka tujadili je BWM anajuta au anafadhaishwa na tukuio la mauwaji ya 2001?
 
KISHADA, hili jipya sasa; kwani wakati BWM anaenda Davos ilikuwa imeshajulikana maandamano yatafanyika? isije kuwa waandamanaji walitumia mwanya wa kutokuwepo kwakwe kujaribu kuleta machafuko?
Fuatilia vizuri. Viongozi wa CUF wakati huo walitangaza MAANDAMANO ZAIDI YA MWEZI KAMA SIKOSEI. Hali ilikuwa tete. Mpaka anatumika IGP Mahita kutisha watu na kuja na kauli za "ngunguri" wewe ulikuwa wapi? Mkapa alikuwepo na kama kiongozi wa nchi kilichoendelea kilikuwa na Baraka zake hata kama alikuwa USWISWi.

Ali Nabwa alisimulia kupitia Makala yake maarufu " Siku moja itakuwa Kweli"
 
Nahisi anajutia maamuzi yake
Nikiri kuwa sijakisoma kitabu cha BWM cha My Life: MY purpose zaidi ya kumsikia yeye mwenyewe na wengine wakikiongelea.

Ni wazi kuwa wote tunajua 2001 yalitokea mauwaji ya watanzania 22 na yeye ndiye alikuwa Rais na Amiri Jeshi wa majeshi ya ulinzi na Usalama.

Shida yangu ni kutaka kujua je anahujuta au anafadhaishwa na tukio hilo?
 
Watu hawajasoma kitabu ila wanataka kupinga yaliyomo kwenye kitabu bila hata ya kukisoma kwanza na hii ndio inaonesha picha ya mijadala yetu mingi humu ndio huwa hivi.
 
Back
Top Bottom