Uchambuzi wa Baraza Jipya la Mawaziri

kinetiq01

Member
Aug 25, 2006
49
0
Kuna nafasi tatu za kujaza, kama asipofanya recycle kuwarudisha mafisadi kwa kisingizio kwamba walijiuzulu wenyewe lakini bado 'taifa linawahitaji'.

Kwa kuzingatia kwamba kamati nyingine mbili zaidi zinatarajiwa kuwasilisha ripoti zao hivi karibuni, Madini na BOT, ni wazi kwamba baraza jipya litakalotangazwa Jumatatu litaacha nje sura kongwe kadhaa.

Kabla sijataja wale watakaotupwa nje, kwa upande wa mawaziri wapya tutarajie sura ngeni kabisa ikiwa ni pamoja na Martha Mlata mbuge kutoka Singida na shujaa Harrison Mwakyembe[anapewa meno].

Sababu kubwa zaidi ya kuchukua hatua hiyo ni kwamba idara ya usalama itamshauri rais asiwateue wahusika kuepusha adha ya kurudia kazi endapo majina yao yataibuka kwenye hizo ripoti mpya.

Lakini sababu nyingine, baadhi ya hawa mawaziri utendaji wao unalalamikiwa hata na wananchi wa kawaida.Nadhani tunakumbuka ripoti ya REDET iivyosema.

Kwa maana hiyo basi, naomba niwasilishe baadhi ya majina ya mawaziri wa zamani ambao wako hatarini kupigwa panga - kama wasipopigwa panga basi watahamishwa wizara zao kutokana na udhaifu kwa njia moja au nyingine.

Minister for Home Affairs - Joseph James Mungai[Close business associate of shamed former PM and co.]

Minister for Finance - Zakia Hamdani Meghji [BOT]

Minister for Industry, Trade and Marketing - Basil Pesambili Mramba [BOT] and Madini [remember the Alex Stewart thing?]

Minister for Infrastructure Development - Andrew John Chenge [BOT and Madini - this arrogant beast used to be Attorney General providing legal advice with mindset of a standard five pupil, he should go]

Minister for Health and Social Welfare - Prof. David Homeli Mwakyusa [Complaints about poor health services and corruption].

Minister for Higher Education, Science and Technology - Prof. Peter Mahmoud Msolla [Poor performance].

Minister for Defence and National Service - Prof. Juma Athumani Kapuya [Highly educated but not quite a practical minister]

Minister for Public Safety and Security - Harith Bakari Mwapachu [Failure to root out widespread corruption and crime]

Minister for Community Development, Gender and Children - Sofia Mnyambi Simba [Failed to deliver]

Minister for Livestock Development - Anthony Mwandu Diallo [Too busy with his projects - Community Airline, and his media conglomerate comprising Star TV, Kiss FM, RFA just to name a few; but he can escape on the goodwill of providing support to the ruling party, i would be really sad if he was dropped - he's so industrious].


Tutarajie hollistic changes, sura mpya nyingi na pia baraza litakalokuwa streamlined kupunguza ukubwa na kuongeza efficiency.Ni kama rais anaanza upya kazi yake, manaake itabidi kubadilisha mwanasheria mkuu, mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU na idara nyingine nyeti zilizokuwa contaminated na greed ya EDWARD LOWASSA, after all the guy was shaping up his 2015 governement.
 
Kuna nafasi tatu za kujaza, kama asipofanya recycle kuwarudisha mafisadi kwa kisingizio kwamba walijiuzulu wenyewe lakini bado 'taifa linawahitaji'.

Kwa kuzingatia kwamba kamati nyingine mbili zaidi zinatarajiwa kuwasilisha ripoti zao hivi karibuni, Madini na BOT, ni wazi kwamba baraza jipya litakalotangazwa Jumatatu litaacha nje sura kongwe kadhaa.

Kabla sijataja wale watakaotupwa nje, kwa upande wa mawaziri wapya tutarajie sura ngeni kabisa ikiwa ni pamoja na Martha Mlata mbuge kutoka Singida na shujaa Harrison Mwakyembe[anapewa meno].

Sababu kubwa zaidi ya kuchukua hatua hiyo ni kwamba idara ya usalama itamshauri rais asiwateue wahusika kuepusha adha ya kurudia kazi endapo majina yao yataibuka kwenye hizo ripoti mpya.

Lakini sababu nyingine, baadhi ya hawa mawaziri utendaji wao unalalamikiwa hata na wananchi wa kawaida.Nadhani tunakumbuka ripoti ya REDET iivyosema.

Kwa maana hiyo basi, naomba niwasilishe baadhi ya majina ya mawaziri wa zamani ambao wako hatarini kupigwa panga - kama wasipopigwa panga basi watahamishwa wizara zao kutokana na udhaifu kwa njia moja au nyingine.

Minister for Home Affairs - Joseph James Mungai[Close business associate of shamed former PM and co.]

Minister for Finance - Zakia Hamdani Meghji [BOT]

Minister for Industry, Trade and Marketing - Basil Pesambili Mramba [BOT] and Madini [remember the Alex Stewart thing?]

Minister for Infrastructure Development - Andrew John Chenge [BOT and Madini - this arrogant beast used to be Attorney General providing legal advice with mindset of a standard five pupil, he should go]

Minister for Health and Social Welfare - Prof. David Homeli Mwakyusa [Complaints about poor health services and corruption].

Minister for Higher Education, Science and Technology - Prof. Peter Mahmoud Msolla [Poor performance].

Minister for Defence and National Service - Prof. Juma Athumani Kapuya [Highly educated but not quite a practical minister]

Minister for Public Safety and Security - Harith Bakari Mwapachu [Failure to root out widespread corruption and crime]

Minister for Community Development, Gender and Children - Sofia Mnyambi Simba [Failed to deliver]

Minister for Livestock Development - Anthony Mwandu Diallo [Too busy with his projects - Community Airline, and his media conglomerate comprising Star TV, Kiss FM, RFA just to name a few; but he can escape on the goodwill of providing support to the ruling party, i would be really sad if he was dropped - he's so industrious].


Tutarajie hollistic changes, sura mpya nyingi na pia baraza litakalokuwa streamlined kupunguza ukubwa na kuongeza efficiency.Ni kama rais anaanza upya kazi yake, manaake itabidi kubadilisha mwanasheria mkuu, mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU na idara nyingine nyeti zilizokuwa contaminated na greed ya EDWARD LOWASSA, after all the guy was shaping up his 2015 governement.

Si vema kuwarudisha Mafisadi katika Baraza jipya la mawaziri

MH Joseph Mungai Mbunge wa Mufindi ni Fisadi Mkubwa aliye anza ufisadi Tangu miaka ya 70. Mzee huyu aliye ukwa ubunge kwa mara ya kwanza mwaka 1970 akiwa na umri wa miaka 28 na elimu ya kidato cha 6 ni moja ya wabunge wakongwe Tanzania lakini wenye kuleta maendeleo duni jimboni kwao na kwa Watanzania wote kwa ujumla.

Ni Mungai akiwa Wizara ya Elimu ndiye aliye pangua pangua mitaala na kufuta baadhi ya masomo kwa sababu za wivu. Wivu kwamba Watanzania wasipate elimu iliyo sahihi. Wakati yeye watoto wake amepeleka nje( Marekani) ya nchi na wengine wameipa kisogo shule na kubakia kutishia watu na bunduki kwenye mabaa.

Ni Mungai huyu huyu ndiye aliye zuia Elimu ya ukimwi isifundishwe mashuleni waliko watoto na vijana, akidai kwamba elimu hiyo ni kinyume na utamaduni wa Kitanzania.
Sijui ni utamaduni gani huo unao zuia watu kuambiwa ukweli hasa ikizingatiwa kwamba ni ukweli wa kuwanusuru na mauti?
Sifa yake nyingine ni muuaji wa kimya kimya.

MH Mungai hafai tena kuwa waziri kwa sababu malolosa aliyoyafanya katika miaka 38 ya ubunge wake yanatosha.


MH huyu aliwahi kutimuliwa kibarua cha Uwaziri wa Kilimo na Mrehemu MWalimu Nyerere miaka ya 1978 kutokana na Kashfa ya Wizi wa Sukari ya Mamilioni .

Yeye akiwa waziri wa Kilimo alihusika moja kwa moja na wizi huo wa sukari chini ya Shirika la sukari wakati huo SUDECO.

Waliiba sukari yote wakuza na kutia mshiko ndani wakaacha magunia kadhaa na kisha kutoboa mapaa ya magodauni nakadai eti mvua imenyeshea sukari, na sukari yote yote imeyeyuka.
Nyerere alipo pewa ripoti hiyo ambayo haikumwingia akilini hata chembe aliamua kumnywa MH Mungai pale pale.

Baada ya kibarua cha uwaziri kunywa Mungai alikwenda Marekani kusoma. Katika kipindi cha miaka 2 1978 na 1979 MH Mungai aliweza kusoma kupata Digirii 2 Bachelor/ Associate degree na Masters jambo ambalo binafsi naona linaleta maswali mengi pamoja na hisia kwamba inawezekana Digirii za kufoji zimeanza kuingizwa nchini Tanzania siku nyingi tu.

**Kuhusu hili la kusoma 1st digirii na 2nd digirii kwa muda wa miaka 2 tu naomba wale wenye upeo wanisaidia kunielewesha Mzee huyu aliwezaje kuhitimu***.

Japo Mungai aliendelea kuwa mbunge wa wilaya ya Mufindi Kaskazini miaka yote baada ya kufukuzwa kazi ya uwaziri wa kilimo hakuweza kuwa waziri wa wizara yeyote mpaka pale mwalimu alipofariki ndipo Fisadi mwenzie na swahiba wake MH Mkapa, kwa kukosa Fadhira kwa mwalimu aliye mtetea kwa nguvu zote wakati wa kampeni za urais mwaka 1995, akaamua kumfanya waziri tena.

Kibaya zaidi kuna wakati alimuweka kuwa waziri wa kilimo wizara ambayo aliwahi kuboronga na kukoroga hadi kufukuzwa kazi.

Mungai ni Fisadi wa siku zote si vema kumrudisha katika baraza jipya la mawaziri.

MH JMK najua unaipa hii kitu, tafadhari usimrudishe huyu mzee japo najua kwamba ni shoga yako mkubwa.
 
Minister for Health and Social Welfare - Prof. David Homeli Mwakyusa [Complaints about poor health services and corruption].
Safi sana kwa wote wale isipokuwa sababu za kumuondoa huyu. When were these services better? show me Where there is no corruption in this country.

Huyu Mwakyusa tutafute sababu nyingine.
 
Kuna nafasi tatu za kujaza, kama asipofanya recycle kuwarudisha mafisadi kwa kisingizio kwamba walijiuzulu wenyewe lakini bado 'taifa linawahitaji'.

Kwa kuzingatia kwamba kamati nyingine mbili zaidi zinatarajiwa kuwasilisha ripoti zao hivi karibuni, Madini na BOT, ni wazi kwamba baraza jipya litakalotangazwa Jumatatu litaacha nje sura kongwe kadhaa.

Kabla sijataja wale watakaotupwa nje, kwa upande wa mawaziri wapya tutarajie sura ngeni kabisa ikiwa ni pamoja na Martha Mlata mbuge kutoka Singida na shujaa Harrison Mwakyembe[anapewa meno].

Sababu kubwa zaidi ya kuchukua hatua hiyo ni kwamba idara ya usalama itamshauri rais asiwateue wahusika kuepusha adha ya kurudia kazi endapo majina yao yataibuka kwenye hizo ripoti mpya.

Lakini sababu nyingine, baadhi ya hawa mawaziri utendaji wao unalalamikiwa hata na wananchi wa kawaida.Nadhani tunakumbuka ripoti ya REDET iivyosema.

Kwa maana hiyo basi, naomba niwasilishe baadhi ya majina ya mawaziri wa zamani ambao wako hatarini kupigwa panga - kama wasipopigwa panga basi watahamishwa wizara zao kutokana na udhaifu kwa njia moja au nyingine.

Minister for Home Affairs - Joseph James Mungai[Close business associate of shamed former PM and co.]

Minister for Finance - Zakia Hamdani Meghji [BOT]

Minister for Industry, Trade and Marketing - Basil Pesambili Mramba [BOT] and Madini [remember the Alex Stewart thing?]

Minister for Infrastructure Development - Andrew John Chenge [BOT and Madini - this arrogant beast used to be Attorney General providing legal advice with mindset of a standard five pupil, he should go]

Minister for Health and Social Welfare - Prof. David Homeli Mwakyusa [Complaints about poor health services and corruption].

Minister for Higher Education, Science and Technology - Prof. Peter Mahmoud Msolla [Poor performance].

Minister for Defence and National Service - Prof. Juma Athumani Kapuya [Highly educated but not quite a practical minister]

Minister for Public Safety and Security - Harith Bakari Mwapachu [Failure to root out widespread corruption and crime]

Minister for Community Development, Gender and Children - Sofia Mnyambi Simba [Failed to deliver]

Minister for Livestock Development - Anthony Mwandu Diallo [Too busy with his projects - Community Airline, and his media conglomerate comprising Star TV, Kiss FM, RFA just to name a few; but he can escape on the goodwill of providing support to the ruling party, i would be really sad if he was dropped - he's so industrious].


Tutarajie hollistic changes, sura mpya nyingi na pia baraza litakalokuwa streamlined kupunguza ukubwa na kuongeza efficiency.Ni kama rais anaanza upya kazi yake, manaake itabidi kubadilisha mwanasheria mkuu, mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU na idara nyingine nyeti zilizokuwa contaminated na greed ya EDWARD LOWASSA, after all the guy was shaping up his 2015 governement.
MARTHA MLATA????
 
Mie sina hiana na waliotajwa hapo juu.

ila ninaomba Mheshimiwa Msolaa ang'olewe na arudi kufundisha huko SUA,tuna upungufu wa walimu na ma prof.

ningependa haya wakina Nchimbi,Mahanga, na wizara zote zilizo na mawaziri wawili waondolewe.

Bodi ya Mikopo na penyewe wakatelekezwa kule ukraine ana Katibu mkuu wa Wizara abaki kama Mwai kibaki

Napendekeza Mhe. Williama Ngeleja amabaye ni Mwanasheria apewe Wizara ya Sheria na Katiba,na wamuamishe hapo.

Tunahitaji wasomi waliobobea kuongoza wizara kama ya Mipango,Uchumi na uwezeshaji.

niliyoyatoa hapo yanaweza kuwa kweli,na sitalaumiwa kwa haya maneno yangu.
 
Martha Mlata????How???
amemaliza kujiendeleza hapo UK na yuko tayari kwa kushika Wizara??
ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Basi Rais ampe Lazaro Nyarandu naye Wizara ili wawe wanasaidiana kaka na dada(just kidding)
 
Mimi ningependa kumshauri Raisi pamoja na Waziri Mkuu Mpya waache mambo ya Uswahiba na Undugu na Ushemeji, wachague mawaziri kutokana na uwezo na discipline, kwamba mtu hana kashfa hasa hasa kubwa kubwa kama hizo za Radar, NSSF, Helicopter za Jeshi, BOT, Ukodishaji wa TRC, ATC etc. Tunataka seriously tuanze ukurasa mpya kinyume cha hapo tunataka, somalia/rwanda/kenya ije hapa.
Kwa Mfano Meghiji hafai, Kapuya, Chenge, Diallo, Mungai, Mramba,
na wengine, Wewe Raisi na na waziri Mkuu Mpya mnawajua.
 
Safi sana kwa wote wale isipokuwa sababu za kumuondoa huyu. When were these services better? show me Where there is no corruption in this country.

Huyu Mwakyusa tutafute sababu nyingine.

Mbalamwezi,

Kama amekuta poor services basi ziendelea kuwa poor? Labda sijui lakini mimi sioni utendaji wowote wa maana wa Prof. Mwakyusa.

In fact hata jimboni kwake hana utendaji wowote wa maana. Kuna wabunge wachache sana ambao wana mawazo mapya ya kuwaletea Watanzania maendeleo. Walio wengi ni ujuzi wa kuongea majukwani na kudanganya Wadanganyika.

Mimi naamini mtu aliyeshindwa kuendeleza jimbo lake pamoja au kufanya jambo lolote la maana jimboni kwake, tusitegemee hata siku moja kwamba atatusaidia kwenye taifa.

Anaweza kuwa daktari mzuri wa wagonjwa lakini uwaziri ni kazi tofauti kabisa.

Ndio maana hata huyu PM mpya mimi sifurahii mpaka nitakapoona anafanya ya maana. Kule Mpanda hakutii matumaini.
 
Hivi hakuna mwenye List kamili ya Baraza lijalo.Nachokifahamu lilishaundwa toka kipindi kile cha tetesi.Nania anweza kulikumbuka hilo baraza.nimehakikishiwa halitabadilika kabisa.

nakumbuka kina mramba na mungai walikuwa hawamo.ole naomba uirudishe ile thread na uunganishe na hii ili tupate mtiririko mzuri,kwa taarifa yako hata baadhi ya mwaziri waliopita hawajui kama JK atawabakiza tena.wanahangaika tu.

il so far..kuna mbunge mmoja toka kanda ya ziwa atapewa madaraka.Jk alimpigia simu kumuomba ridhaa yake.ila Cabinet ya sasa itajaa watu wa usalama wa taifa wengi sana.
 
Mzee JUMA NGASONGWA APUMZIKE KABISA NA WALA ASIPEWE TENA WIZARA.

HAFAI ETI ANATETEA MIKATABA YA MADINI NA KUSEMA the best practice in the world kuhusu mikataba ni kuwa ya siri kati ya tajiri na serikali!

LAKINI DR. MWAKYEMBE AMESEMA HIYO NI THE STUPID PRACTICE IN THE WORLD YENYE HARUFU CHAFU YA RUSHWA!

PIA NGASONGWA ANAONEKANA AMEBAKI KUJIPENDEKEZA NA KUJICHEKESHA CHECHESHA TU ILI APEWE UWAZIRI!

HAFAI KWANZA WIZARA ALIYOPEWA NI ENGINE YA KUKUZA UCHUMI NA KUPAMBANA NA UMASIKINI INHITAJI WAZIRI MWENYE KICHWA SIYO DR ALIYEKARIRI TU VITABU!
 
Hivi hakuna mwenye List kamili ya Baraza lijalo.Nachokifahamu lilishaundwa toka kipindi kile cha tetesi.Nania anweza kulikumbuka hilo baraza.nimehakikishiwa halitabadilika kabisa.

nakumbuka kina mramba na mungai walikuwa hawamo.ole naomba uirudishe ile thread na uunganishe na hii ili tupate mtiririko mzuri,kwa taarifa yako hata baadhi ya mwaziri waliopita hawajui kama JK atawabakiza tena.wanahangaika tu.

il so far..kuna mbunge mmoja toka kanda ya ziwa atapewa madaraka.Jk alimpigia simu kumuomba ridhaa yake.ila Cabinet ya sasa itajaa watu wa usalama wa taifa wengi sana.

Gembe naomba sana asiwe huyu niliyekwisha tahadharisha.
Ndg. Wana wa JF na Wasomaji kutoka Usalama wa Taifa,

"....Mchango wangu namtahadharisha JK asifanye kosa kumteua tapeli wa Kimataifa toka Bukoba mjini kwenye Balaza la Mawaziri.

Mie sisemi sana Wanajamvi wasijesema nalonga. Bofya:"

http://www.boingboing.net/2005/04/16...llion-bri.html

“Investigators said the judge was trying to determine if Mr. Wilson had bribed a senior official at the United Nations agency to win the renovation contract. Edward Kwakwa, the agency's legal counsel, said Khamis Suedi, a top official at the intellectual property agency, acknowledged having received 325,000 Swiss francs, about $270,000, from Mr. Wilson” You can also download the attached doc.

Tunayajua mengi zaidi ya haya ila hii yatosha kwa kutoa tahadhari!


Swiss Investigates Possibility of Bribery in U.N. Contract
Judith Miller

Swiss judge is investigating possible bribery charges involving a $50 million contract to renovate the headquarters of a Geneva-based United Nations agency, according to government documents and Swiss and American officials.

Jean-Bernard Schmid, the Geneva-based judge who has led the criminal inquiry, said in a telephone interview on Friday that his investigation was focusing on Michael Wilson, who was a consultant to the company that won the renovation contract at the World Intellectual Property Organization.

Mr. Wilson, a Ghanaian businessman, has been identified by investigators as a business associate of Kojo Annan, the son of Kofi Annan, the United Nations secretary general. The judge said Kojo Annan was not a target of the investigation.

Investigators said the judge was trying to determine if Mr. Wilson had bribed a senior official at the United Nations agency to win the renovation contract. Edward Kwakwa, the agency's legal counsel, said Khamis Suedi KAGASHEKI, a top official at the intellectual property agency, acknowledged having received 325,000 Swiss francs, about $270,000, from Mr. Wilson, but said the money was from a private business venture that had no connection to the agency's construction contract. In an interview, Mr. Suedi said he had had nothing to do with the awarding of the contract.

Mr. Kwakwa said the agency's internal regulations, which are under review, permitted agency employees to have outside business interests as long as they were reported to the agency, approved by the agency's director and did not involve intellectual property. Mr. Suedi recently informed the agency that he was leaving in late April to pursue other activities, Mr. Kwakwa said, adding that he was not aware that Mr. Suedi had violated any rules of the agency, which registers and protects intellectual property.

Mr. Wilson did not return repeated phone messages seeking comment.
The criminal investigation was first reported Friday by Le Temps, a Geneva-based newspaper. Judge Schmid confirmed information published in the article, but declined to elaborate on details of his inquiry.

Mr. Wilson's relationship with Kojo Annan was cited in a recent report issued by the United Nations commission investigating its oil-for-food program in Iraq . According to the commission, Mr. Wilson was a vice president at Cotecna Inspection S.A., a company that worked for the oil-for-food program, and Mr. Wilson helped get Mr. Annan a job at the company.

After both men left Cotecna, they became partners in a consulting business in Africa, according to investigators in the United States and Europe . Kojo Annan's lawyer, Clarissa Amato, declined comment for publication.

The Swiss investigation concerns Mr. Wilson's activities in Geneva . Mr. Kwakwa said Mr. Wilson had been an intern at the intellectual property agency "decades ago" when his father was posted in Geneva as an ambassador from Ghana . Mr. Kwakwa said that more recently Mr. Suedi told officials there that he and Mr. Wilson had been doing work that involved "benevolent, nongovernmental organizations." Mr. Kwakwa said the outside work had been approved by the agency.

In a March interview, Mr. Suedi said that he and Mr. Wilson had done some consulting work in connection with the prospective purchase and management of hotels in Tanzania , but that it "hadn't worked out."

Officials said that after opening the investigation last year, Judge Schmid ordered Mr. Wilson jailed for nine days, during which investigators reviewed his computer files and bank records. Investigators said he was released after he agreed to cooperate with the inquiry and acknowledged having received a large consulting fee from the BPS construction consortium - comprising Béric S.A., Perret and Seydoux-DMB, - that renovated the headquarters. He also acknowledged having made a payment to Mr. Suedi.

The agency is one of several United Nations agencies and affiliated organizations whose management practices have recently been criticized by internal and outside reviews. A review published in February by United Nations officials in New York recommended substantial changes in the agency's budgeting and personnel policies.
"The inspectors believe a headquarters review and needs assessment should be undertaken urgently," says the review, a copy of which is posted on the agency's Web site.

The New York Times, 16 April 2005:
http://www.nytimes.com/2005/04/16/international/europe/16nations.html?th&emc=th
 
Tabia haifi. Kama mtu ni mwizi ni kama kula nyama ya mtu. Karamagi aliwahi kuiba container la cement miaka ya '96 akiwa mfanyakazi wa Wazo Hill.

Wakati wa Kampeni tulisema tukaambiwa wazushi, ilipokuja Balaza la Mawaziri tukatahadharisha kuwa mwizi haachi asili wakasema tunaona gere. Lakini tuliyosema ndiyo sawa na aliyosema JKN juu ya EL pasipo JK kuzingatia.

Chonde chonde, JK usitake kuwafanya Wahaya waonekane matapeli mbele ya Wadanganika ukiishiwa kabisa mpe hata Mh. Lucy Msafiri. Tunakiri matatizo yalifanyika katika ccm kuwaleta hawa matapeli huko mjengoni, lakini tusifanye makosa zaidi. Si tu Wadanganyika watatucheka bali hata jumuhiya ya kimataifa tayari inachangaa aliyefukuzwa kama mwizi Geneva akapewa kuwatumikia wananchi Danganyika.
 
Gembe naomba sana asiwe huyu niliyekwisha tahadharisha.
Ndg. Wana wa JF na Wasomaji kutoka Usalama wa Taifa,

"....Mchango wangu namtahadharisha JK asifanye kosa kumteua tapeli wa Kimataifa toka Bukoba mjini kwenye Balaza la Mawaziri.

Mie sisemi sana Wanajamvi wasijesema nalonga. Bofya:"

http://www.boingboing.net/2005/04/16...llion-bri.html

“Investigators said the judge was trying to determine if Mr. Wilson had bribed a senior official at the United Nations agency to win the renovation contract. Edward Kwakwa, the agency's legal counsel, said Khamis Suedi, a top official at the intellectual property agency, acknowledged having received 325,000 Swiss francs, about $270,000, from Mr. Wilson” You can also download the attached doc.

Tunayajua mengi zaidi ya haya ila hii yatosha kwa kutoa tahadhari!


Swiss Investigates Possibility of Bribery in U.N. Contract
Judith Miller

Swiss judge is investigating possible bribery charges involving a $50 million contract to renovate the headquarters of a Geneva-based United Nations agency, according to government documents and Swiss and American officials.

Jean-Bernard Schmid, the Geneva-based judge who has led the criminal inquiry, said in a telephone interview on Friday that his investigation was focusing on Michael Wilson, who was a consultant to the company that won the renovation contract at the World Intellectual Property Organization.

Mr. Wilson, a Ghanaian businessman, has been identified by investigators as a business associate of Kojo Annan, the son of Kofi Annan, the United Nations secretary general. The judge said Kojo Annan was not a target of the investigation.

Investigators said the judge was trying to determine if Mr. Wilson had bribed a senior official at the United Nations agency to win the renovation contract. Edward Kwakwa, the agency's legal counsel, said Khamis Suedi KAGASHEKI, a top official at the intellectual property agency, acknowledged having received 325,000 Swiss francs, about $270,000, from Mr. Wilson, but said the money was from a private business venture that had no connection to the agency's construction contract. In an interview, Mr. Suedi said he had had nothing to do with the awarding of the contract.

Mr. Kwakwa said the agency's internal regulations, which are under review, permitted agency employees to have outside business interests as long as they were reported to the agency, approved by the agency's director and did not involve intellectual property. Mr. Suedi recently informed the agency that he was leaving in late April to pursue other activities, Mr. Kwakwa said, adding that he was not aware that Mr. Suedi had violated any rules of the agency, which registers and protects intellectual property.

Mr. Wilson did not return repeated phone messages seeking comment.
The criminal investigation was first reported Friday by Le Temps, a Geneva-based newspaper. Judge Schmid confirmed information published in the article, but declined to elaborate on details of his inquiry.

Mr. Wilson's relationship with Kojo Annan was cited in a recent report issued by the United Nations commission investigating its oil-for-food program in Iraq . According to the commission, Mr. Wilson was a vice president at Cotecna Inspection S.A., a company that worked for the oil-for-food program, and Mr. Wilson helped get Mr. Annan a job at the company.

After both men left Cotecna, they became partners in a consulting business in Africa, according to investigators in the United States and Europe . Kojo Annan's lawyer, Clarissa Amato, declined comment for publication.

The Swiss investigation concerns Mr. Wilson's activities in Geneva . Mr. Kwakwa said Mr. Wilson had been an intern at the intellectual property agency "decades ago" when his father was posted in Geneva as an ambassador from Ghana . Mr. Kwakwa said that more recently Mr. Suedi told officials there that he and Mr. Wilson had been doing work that involved "benevolent, nongovernmental organizations." Mr. Kwakwa said the outside work had been approved by the agency.

In a March interview, Mr. Suedi said that he and Mr. Wilson had done some consulting work in connection with the prospective purchase and management of hotels in Tanzania , but that it "hadn't worked out."

Officials said that after opening the investigation last year, Judge Schmid ordered Mr. Wilson jailed for nine days, during which investigators reviewed his computer files and bank records. Investigators said he was released after he agreed to cooperate with the inquiry and acknowledged having received a large consulting fee from the BPS construction consortium - comprising Béric S.A., Perret and Seydoux-DMB, - that renovated the headquarters. He also acknowledged having made a payment to Mr. Suedi.

The agency is one of several United Nations agencies and affiliated organizations whose management practices have recently been criticized by internal and outside reviews. A review published in February by United Nations officials in New York recommended substantial changes in the agency's budgeting and personnel policies.
"The inspectors believe a headquarters review and needs assessment should be undertaken urgently," says the review, a copy of which is posted on the agency's Web site.

The New York Times, 16 April 2005:
http://www.nytimes.com/2005/04/16/international/europe/16nations.html?th&emc=th
siyo huyo.
 
Tanzania ina mamiliono 30 ya wananchi.Kwa hiyo rais J.kikwete halazimishwi kuwarudisha mafisadi katika baraza la mawaziri.Wamejiuzulu wenyewe kwa vile waliona hawafaitena kulitumikia taifa letu kwa sababu ya dhulma zao nyingi walizozifanya na kujirundikiza fedha za umma.
Ili kurudisha imani ya wananchi katika serikali yao inabidi rais J.Kikwete kuchagua watu wapya kabisa katika nafasi za uwaziri.

Lazima wote wafahamu kwamba CHEO NI DHAMANA.
 
Kuna nafasi tatu za kujaza, kama asipofanya recycle kuwarudisha mafisadi kwa kisingizio kwamba walijiuzulu wenyewe lakini bado 'taifa linawahitaji'.

Kwa kuzingatia kwamba kamati nyingine mbili zaidi zinatarajiwa kuwasilisha ripoti zao hivi karibuni, Madini na BOT, ni wazi kwamba baraza jipya litakalotangazwa Jumatatu litaacha nje sura kongwe kadhaa.

Kabla sijataja wale watakaotupwa nje, kwa upande wa mawaziri wapya tutarajie sura ngeni kabisa ikiwa ni pamoja na Martha Mlata mbuge kutoka Singida na shujaa Harrison Mwakyembe[anapewa meno].

Sababu kubwa zaidi ya kuchukua hatua hiyo ni kwamba idara ya usalama itamshauri rais asiwateue wahusika kuepusha adha ya kurudia kazi endapo majina yao yataibuka kwenye hizo ripoti mpya.

Lakini sababu nyingine, baadhi ya hawa mawaziri utendaji wao unalalamikiwa hata na wananchi wa kawaida.Nadhani tunakumbuka ripoti ya REDET iivyosema.

Kwa maana hiyo basi, naomba niwasilishe baadhi ya majina ya mawaziri wa zamani ambao wako hatarini kupigwa panga - kama wasipopigwa panga basi watahamishwa wizara zao kutokana na udhaifu kwa njia moja au nyingine.

Minister for Home Affairs - Joseph James Mungai[Close business associate of shamed former PM and co.]

Minister for Finance - Zakia Hamdani Meghji [BOT]

Minister for Industry, Trade and Marketing - Basil Pesambili Mramba [BOT] and Madini [remember the Alex Stewart thing?]

Minister for Infrastructure Development - Andrew John Chenge [BOT and Madini - this arrogant beast used to be Attorney General providing legal advice with mindset of a standard five pupil, he should go]

Minister for Health and Social Welfare - Prof. David Homeli Mwakyusa [Complaints about poor health services and corruption].

Minister for Higher Education, Science and Technology - Prof. Peter Mahmoud Msolla [Poor performance].

Minister for Defence and National Service - Prof. Juma Athumani Kapuya [Highly educated but not quite a practical minister]

Minister for Public Safety and Security - Harith Bakari Mwapachu [Failure to root out widespread corruption and crime]

Minister for Community Development, Gender and Children - Sofia Mnyambi Simba [Failed to deliver]

Minister for Livestock Development - Anthony Mwandu Diallo [Too busy with his projects - Community Airline, and his media conglomerate comprising Star TV, Kiss FM, RFA just to name a few; but he can escape on the goodwill of providing support to the ruling party, i would be really sad if he was dropped - he's so industrious].


Tutarajie hollistic changes, sura mpya nyingi na pia baraza litakalokuwa streamlined kupunguza ukubwa na kuongeza efficiency.Ni kama rais anaanza upya kazi yake, manaake itabidi kubadilisha mwanasheria mkuu, mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU na idara nyingine nyeti zilizokuwa contaminated na greed ya EDWARD LOWASSA, after all the guy was shaping up his 2015 governement.

Umemsahau na Maghembe ana miradi kibao hasa ya Uvuvi na aliianzisha juzi juzi tuu baada ya kuingia kwenye Kitengo.
 
Pia kuna hili suala la mikoa wanayotoka. Kuna watu wanasema kuna utaratibu usio rasmi wa kugawa nafasi za uwaziri kimkoa, at least kuhakikisha kila mkoa una wawkilishi kwenye baraza la mawaziri.

Mimi sioni umuhimu kabisa wa hili na badala yake uwezo ndio uwe kigezo.

Kama huo utaratibu upo na rais atapunguza baraza la mawaziri basi huenda watu wengi wakamwagwa pia kwasababu hiyo.

Labda pia tuangalie ni watu gani wanaweza kuwa affected na utaratibu huo?

Tanzania Daima wametolea mfano wa Mbeya ambako kuna mawaziri wawili ambao ni Prof. Mwakyusa na Prof. Mwandosya, wanasema huenda mmoja akapoteza hiyo nafasi. Pia nafikiri Iringa ina prof. Msolla na Mungai, ingawaje watu wengi wanadhani Mungai atapoteza kwahiyo Msolla anaweza kuendelea.

Hivi kwenye baraza la sasa kila mkoa ulikuwa na waziri?

Hivi waziri gani anatoka mkoa wa Ruvuma?
 
Kuna ukweli wowote kwenye hii habari?

Tanzania new Cabinet – Who will be in, who will go out?
*Less than 10 ministers to come back


By Sunday Citizen Team

President Jakaya Kikwete is expected to retain less than 10 ministers from the Cabinet dissolved last Thursday, when he names his new team tomorrow, Sunday Citizen has learnt.

Reliable sources close to the President said yesterday that the new Cabinet would not include politicians known to be involved in running private businesses.

Also to be left out are ministers linked to scandals and those whose performance in the last Cabinet was deemed to have been below par.

“The speech the President delivered during the CCM anniversary celebrations, warning against corruption was an ultimatum from him. He is tired of continued debate touching on scandals involving his ministers,” one source said.

The sources also said that some ministers from the last Cabinet had asked not to be re-appointed due to ill health or old age.
Long-serving minister and CCM stalwart Kingunge Ngombale Mwiru, now in his late 70s, is expected to retire, having played a part in all the administrations since independence in 1961.

Ministers accused of involvement in various scandals and those mentioned in the opposition List of Shame would also be left out. Poor performers would also not make it to new clean government the President has pledged to pick.

The former ministers expected to return, include Bernard Membe, Prof Jumanne Maghembe, Stephen Wassira, Peter Msola, John Magufuli, Mark Mwandosya, Philip Marmo and Zakia Meghji.

There will also be some new faces in the Cabinet. One of those highly tipped to serve in the new administration is Dr Harrison Mwakyembe, chair of the parliamentary select committee, whose report on the Richmond scandal led to the then Prime Minister Edward Lowassa’s downfall.

Dr Mwakyembe hogged the national limelight on Thursday, with his eloquent delivery of the report in Parliament in Dodoma.

Besides Dr Mwakyembe, the other new faces expected are Pindi Chana, Anna Kilango Malecela and Jenister Mhagama.

Dr Mwakyembe, the MP for Kyela, is a lawyer, who served from 2001 to 2005 as an MP in the East East African Legislative Assembly. Mhagama, the MP for Peramiho, is a former schoolteacher.

Same East MP Anne Kilango Malecela, who started out as a teacher, later switched professions to become an accountant. She worked for an airline as its financial controller before joining politics.

Yesterday, the sources said: “The President feels really let down. He appointed ministers when he was elected to office believing fully in his heart that these men and women will help him. When he toured all ministries soon after being elected President, he issued certain directives to them all. Then he took all of them to a seminar in Ngurdoto, which cost taxpayers a lot of money but he thought it was worth it since this way, he could make them understand his mission and goals. But despite all his efforts, they let him down.”

Another source close to State House told Sunday Citizen that the new Cabinet will have not more than 50 ministers.

“It’s the President’s prerogative but I know the Cabinet won’t exceed 50 ministers. People have been lamenting that the Cabinet dissolved this week of 61 ministers was too big and costly for a nation with limited resources like ours,” the source said.

The source explained that when President Kikwete came to power in 2005, the CCM was at that time was too divided so it was only natural that the Cabinet would be big as it had to include the various factions within CCM at the time.

The cut down is largely expected to come at deputy ministers’ level especially where single ministries had two deputies. “This was a wastage since no additional performance was seen by having two deputies,” the source said.

Other former ministers not expected to make a comeback for various different reasons, according to the sources, include Bakari Mwapachu, Joseph Mungai, Mohamed Seif Khatibu, Sophia Simba, Juma Ngasongwa, Basil Mramba, Emanuel Nchimbi and Maua Daftari and former deputy minister Mwantumu Mahiza.
 
Hivi waziri gani anatoka mkoa wa Ruvuma?

Bwana Emmanuel John Nchimbi na Gaudence Kayombo ambaye aliingia kwenye cabinet baada ya mbunge wa Tunduru kufariki.

Mikoa yote ya Tanzania Bara ilipata waziri angalau mmoja. Tatizo ni hawa wabunge wa upendeleo (viti maalum) maana huwezi kujua wanawakilisha mkoa gani. Mfano, Mama Meghji kwa asili ni Mzenji, lakini makazi yake yako Moshi, au Mama Sitta asili yake ni Mbeya lakini ameolewa na Six (Tabora), makazi ya kudumu ni Dar. Hapo ndipo baadhi ya wabunge unaweza kushindwa kuelewa wanawakilisha mkoa gani hasa kwenye hilo kundi la akina mama.
 
Safi sana kwa wote wale isipokuwa sababu za kumuondoa huyu. When were these services better? show me Where there is no corruption in this country.

Huyu Mwakyusa tutafute sababu nyingine.

Pamoja na kuwa huduma za afaya hazijawahi kuwa nzuri lakini Profesa alishindwa kabisa kudeliver katika kipindi chake pia kumekuwa na maswali na tuhuma nyingi zinazohusiana na rushwa nadani ya wizara amabzo hakuwahi kuzijibu wal kutolea ufafanuzi.

matahalani kumekuwa na malalamiko katika media kuwa prof na wizara yake waliamua kumpendeal mfanya biashara rajani ili assuply reagents za kupimia HIV bila kufuata taratibu za Tenda (kam Richmond tu) This Day ya August 25, 2006

"Mr Rajan’s company is also the exclusive supplier of the
controversial Capillus and Determine HIV rapid test kits.
Medical experts have criticized the government’s preference for
the Capillus test kits that require a cold chain storage in a
country where 90 per cent of the people do not have access to
electricity".

Pia kumekuwa na shida jinsi ambavyo waliamua kuchukua mashine za kupimia kinga ambazo ni gharama na zinatumia teknoljia ya juu sana wakaacaha ambazo ni rahisi na bei yake ni cheap.

"TWO independent studies have revealed that government
officials could have deliberately ignored more efficient and cos
effective machines used to measure the immune systems of
HIV/Aids patients before they were put on life-prolonging drug"

na akaendelea kumpasia deal hilo jamaa yake Rajan "Investigations by THISDAY have established that a single
businessman based in Dar es Salaam, Mr Bharat Rajan of Biocare
Health Services Limited has been given a monopoly in selling the
FacsCount CD4 Count machines and its reagents to the ministry".

Magazeti ya This Day na Rai kwa mwaka miwili mfululizo yameandika habari za Bwan huyu nashangaa kuona kuna maswali hapa ya kusema hatuoni sababu kwa nini aachwe.

Baada ya tuhuma katika wizara yake kuzidi aliamua kuunda tume yeye mwenyewe ambayo ilikuwa na wajumbe wafauatao
1. Prof. Philip R.Hiza, Retired Consultant Surgeon/Chief Medical Officer,Ministry of Health and Social Welfare, Dar es Salaam.Tanzania.
2. Prof. Raphael A.Lema, Retired Consultant Pathologist, currently Vice Chancellor of IMTU, Dar es Salaam. Tanzania.
3. Dr. Jumah P. Madati, Retired Chief Government Chemist, Ministry of Health and Social Welfare, Dar es Salaam. Tanzania.

Hata hivyo hii tume iliwakilisha taarifa yake kwake ambayo hakuifanyia kazi (riport hiyo ninayo)

hapa napaste kiasi kidogo cha information kilichoenda katika media.

What Newspapers Said
14/09/2006, THISDAY – “Supplier of HIV Kits Shuts Up on Media”. The supplier
being the famous Mr.Bharat Rajani who also supplied over 40 FACSCount
CD4 cell counting machines of the CyFlow saga.
26/10/2006, THISDAY , headline: “Health Ministry At It Again”, saying the HIV
Tests Capillus and Determine never passed Phase II evaluation and was
thus not registered; and so was not eligible to bid, as the Tender Invitation and Regulations stipulate. This article blamed MoHSW for using the old Algorithm and Tender Invitation which favours Capillus and Determine.
16/11/2006, Rai, headline: “Ministry of Health is playing Dangerous Games with
Tanzanians” by advertising Tenders for Capillus and Determine which have been declared unsuitable by the same MoHSW’s Press Release.
23/11/2006, Rai, headline: “Remove Professor Mwakyusa” before his corrupt
officials tarnish his reputation, according to some senior MoH officials in a
letter they sent to H.E. the President. Their aim is to enrich their benefactor
Mr.B.Rajani by giving him more Tenders to supply unsuitable HIV Kits.
30/11/2006, Rai, “German Scientists Divulge Secrets of MoHSW in the Country”.
MUCHS evaluated CyFlow, a machine used to monitor the treatment of AIDS which they disqualified because they said it was unsuitable. When the Germans took back this machine to Germany and reprinted the MUCHS results from the machine’s “black box (Harddisk)” they discovered that MUCHS had manipulated the machine to read false results. The MUCHS disqualification of this CyFlows the field wide open for the supplier of the rival CD4 counting machine, the FACSCount (Mr.B.Rajani) to continue with his 10 year monopoly, in the same way they let Mr.B.Rajani have the monopoly of supplying the faulty unregistered HIV Test Kits Capillus and Determine instead of a better and registered HIV Test Kit SD Bioline supplied by SD Africa.
07/12/2006, Rai, “The Chaos of the Tender for AIDS Test Kits–MoHSW STOPS
THE TENDER”, and some of their officials suspected of corruption are in
the hands of PCB. The MoHSW said the stopped this Tender after PPRA advised them against floating this Tender, because they used trade names instead of using generic descriptions.
12/12/2006, THISDAY, “HIV Rapid Test Kits – FRESH PROBING IN THE
OFFING”. It said a stop order coming straight from the State House has bungled a spanner into plans of MoHSW to purchase 10,000 more HIV Test Kits of Capillus and Determine valued at 2.08 billion shillings. The Treasury was directed to suspend this procurement forthwith, and form a Probe Team.
14/12/2006, THISDAY, “Report says: HIV Rapid Test Kits are used illegally –
Medical Authorities Probe Team shows”. HIV Test Kits Capillus and Determine should not be purchased directly nor through Tenders, because they had never passed Phase II evaluation nor possess a PHLB Registration Certificate, whereas the HIBV Test Kit SD Bioline passed all Phase and is registered by PHLB, but is not allowed to bid simply because Tender specification mentions the trade names of Capillus and Determine only as being eligible to tender, when the reverse is true. This was said by the Probe Team members Dr.P.J.Madati, Prof.P.Hiza, and Prof. R. Lema.
25/01/2007, THISDAY, “Authority blocks Shoddy Tenders at Health Ministry .” It
says the PPRA (Public Procurement Regulatory Authority) has sto[pped the Tender which was to be opened on 26/01/2007. Donors such as the Global Fund , and President Bush’s Emergency Fund had since threatened to withdraw the funds. Some suppliers have complained that Tender specification are favouring only Mr.Bharat Rajani the supplier of the unregistered unsuitable Kits of Capillus and Determine. Mr.B.Rajani appers to be favoured to supply many other HIV machine like the FACSCounts valued at 20 billion shillings, and other health laboratory suppliesThe PPRA has since formed a Probe Team.
23/02/2007, THISDAY, “HIV Rapid Test Kits: New Scandal in the Air”. It says a
bid by the PPRA and various donors to put a stop to the continuing importation of Capillus and Determine appear to have floundered indefinitely as a result of intervention by higher Government Officials. Despite open disapproval by donor institutes, some politicians (names withheld by the paper) and MoHSW went ahead and and offered a Tender to the famous Mr. Bharat Rajani to supply 10,000 Test Kits of Capillus and Determine valued at 2.08 billion shillings. The MoHSW Probe Team of Dr.P.J.Madati, Prof.P.Hiza, and Prof.R.Lema had already said these particular Test Kits are being used illegally since they have not been registered as required by PHLB Regulations.
17/03/2007, THISDAY, “Anti-AIDS Fund not used to buy Capillus ”. It said that
officials of the Global Fund to fight AIDS, Malaria, and Tuberculosis regularly make follow ups on the procurements of drugs and medical equipment by MoHSW, and that there is no evidence that its grants are used to buy substandard ARVs and medical equipment including Capillus.

NANI ASIYEJUA KUWA UKIMWI SASA HIV NI DEAL? HII NI KWASABABU WAZIRI MHUSIKA AMEFANYA UKIMWI KUWA BIASHARA, AMBAYE NI MWAKYUSA

nawakilisha
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom