capacity 0GB
Member
- Jul 6, 2020
- 43
- 52
Kama ni mfuatiliaji wa mambo utajua waziwazi kwamba Pengo na Makonda ndo walikuwa wamemkosea Gwajima. Gwajima alisimama kutetea haki wakati ambapo kila mtu alikuwa kimya.
Sasa kwa sababu ya mtazamo wa wengi, hawaoni kama Pengo na Makonda walikosea. Kwa sababu Gwajima ana hekima sana, ameona tu afanye upatanisho. Sioni kama kuna shida. Ni jambo jema kwa wote; kuyaacha yaliyopita yapite na kuangalia mbele.
Sasa kwa sababu ya mtazamo wa wengi, hawaoni kama Pengo na Makonda walikosea. Kwa sababu Gwajima ana hekima sana, ameona tu afanye upatanisho. Sioni kama kuna shida. Ni jambo jema kwa wote; kuyaacha yaliyopita yapite na kuangalia mbele.