UCHAMBUZI: Tulimsoma vibaya Rais Samia

You know tunataka maendeleo, kama rais atakuwa haleti matokeo mazuri ya ukuaji wa uchumi wa Tz, basi kiuhalisia kazi itakuwa imemshinda na sioni sababu ya kujipanga kuendelea mwaka 2025, yeye awe focus na kuleta maendeleo, sisi wananchi tutamjudge kama anafaa kuendelea au hafai, ila mpaka sasa maneno ni mengi kuliko vitendo na hii inakatisha sana tamaa
Then 2025 tume ya uchaguzi itakuwa yako? Afeli asifeli 2025 anashinda asubuhi saa nne.

CCM hata isipofanya uchaguzi inashinda tu
 
Time will tell,
Ila naona kelele nyingi za kutomkubali hazina mashiko, huyu mama amalizie mema ya JPM then aje na yake angalau mawili matatu makubwa atakuwa ametenda zaidi ya inavotakiwa
 
Time will tell,
Ila naona kelele nyingi za kutomkubali hazina mashiko, huyu mama amalizie mema ya JPM then aje na yake angalau mawili matatu makubwa atakuwa ametenda zaidi ya inavotakiwa
Tatizo ni IQ yake, siyo utu wake.
 
Anaweza akawa amekuzidi mbali sana,
Just analyse her critically achana na majengo ya mtandaoni
Hanifiki hata nusu, siyo bahati mbaya watu wanamdharau toka serikalini, mtaani hadi mtandaoni. By the way hii nchi inaendeshwa na JK .
Na kwa uongozi wake in 2 years ukitoa umaskini tutakuwa na matatizo makubwa ya udini na muungano.
 
Mungu ibariki Tanzania

Sidhani kuna asiyejua nguvu ya kiti cha urais/ufalme/umalkia/amiri jeshi mkuu.
Sidhani kama wanayoyafanya hawajui matokeo yake.
Sidhani kama walikua na ushauri na wakakosa au kushindwa kumshauri nje ya hadhara.

Tuendelee kuliombea taifa letu amani tukijua katika kila nchi kuna muwakilishi wa Mungu ambaye ni mtawala mkuu/ Mfalme/Rais wa nchi hiyo.

Kwakuwa taratibu za kumpata zilikua sahihi, na kwakuwa tumeamriwa na Mungu kuwa watii. Hatuna budi kuwa watii huku tukimuomba Mungu usiku na mchana kwaajili ya ustawi, amani na mafanikio ya Rais na taifa letu; huku tukipeleka haja zetu nyingine zisizokuwa na hila kwa Mungu tukiwa safi.

Kwa tunaamini chochote Rais anachokifanya kipo anachokijua na kukiamini; basi na sisi tuendelee kuomba ili Mungu amuongoze kwa maono na ndoto atufikishe pale tunapohitaji

Katika hili sakata wapo wanaotoa ushauri mzuri au pongezi nyingi kwa Rais lakini ni wenye hila ndani yao na muda utasema. Maadui unaowajua ni bora zaidi ya marafiki usiowajua na ukadhani ni marafiki kumbe wana jambo lao.

Wapo wanaoongea lugha mbovu/dharau/chuki/dhihaka dhidi ya Rais sababu wanaumia kwa yeye kuwa kwenye hicho kiti na wanaona hastahili. Hawana mpango kabisa wa kumsaidia Rais wanatamani watumie nguvu zao binafsi kuonyesha misimamo yao kwamba wako bora zaidi. Ila tuu wanajisahau kwamba hawana hiyo mamlaka.

Wapo wanaoongea na kukosoa kwa nguvu bila mipaka sababu wanaamini kwamba mambo yanayofanyika sio sahihi na hayawapendezi ila wanahisi hawana nafasi ya kusikilizwa. Lakini wanasahau SSH ndio Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania. Busara ni bora kuliko nguvu, wangeangalia njia bora yenye maslahi ya taifa ingekua bora zaidi.

Watanzania tumuombee Rais. Tumuombee apate watu sahihi wa kutafsiri kile anachotaka kufanya, na apate wasaidizi wa kukifanya kwa usahihi uleule uliotafsiriwa. Mungu ni mwema sana kwetu na ataendelea kututendea mema kadri tunavyomuomba kadri ya nia zetu njema ukamilifu wetu mbele zake.

Yohana 16:23-24
"Katika siku hiyo hamtaniuliza neno lolote. Amin, amin nawaambia, kama mkimwomba Baba jambo lolote kwa jina langu, yeye atawapa. Mpaka sasa hamjaomba jambo lolote kwa Jina langu. Ombeni nanyi mtapewa, ili furaha yenu ipate kuwa kamili."
We Mama D wewe, huwa unanifurahishaga wakati mwingine.
 
Hanifiki hata nusu, siyo bahati mbaya watu wanamdharau toka serikalini, mtaani hadi mtandaoni. By the way hii nchi inaendeshwa na JK .
Na kwa uongozi wake in 2 years ukitoa umaskini tutakuwa na matatizo makubwa ya udini na muungano.
Ingekuwa Rais wewe kama unamzidi hivo,
It's not by mistake yeye kuwa pale. Anaweza akawa hafanyi vile utakavo,
Ila atakuwa alifanya mengi huko mpaka yeye kufika pale
 
Ingekuwa Rais wewe kama unamzidi hivo,
It's not by mistake yeye kuwa pale. Anaweza akawa hafanyi vile utakavo,
Ila atakuwa alifanya mengi huko mpaka yeye kufika pale
Mimi sina shida na Urais wa hii nchi naongelea ujinga anaofanya aliyeshika hiko kiti. Na hajafanya chochote zaidi ya kupokea kijiti baada ya mwenzake kufa.
 
Mimi sina shida na Urais wa hii nchi naongelea ujinga anaofanya aliyeshika hiko kiti. Na hajafanya chochote zaidi ya kupokea kijiti baada ya mwenzake kufa.
OK,
Nimekuelewa, kila mtu na perceptions zake.
Niko tofauti inapoanziaga, na mtu muelewa huwa anaagree kutoagree kwa sbb anajua anavoona yy sawa sio lazima kila mtu alone hiyo ndo sahihi,
Next time gombea wewe uraisi ili utilize maono yako
 
Mmeenda kufungua account kwa jina la kiislam ili msijulikane sio?

Mama Samia ni rais mpaka 2030...mtake au msitake!
 
Nikupongeze kwa art ya uandishi.Andiko lilikuwa refu lakini halichoshi,nimelipitia hadi mwisho.Suala siyo SSH,suala ni kwamba mtu akishaapishwa kuwa Rais ogopa ana nguvu siyo za kawaida asikwambie mtu...tu.... tuu.
 
OK,
Nimekuelewa, kila mtu na perceptions zake.
Niko tofauti inapoanziaga, na mtu muelewa huwa anaagree kutoagree kwa sbb anajua anavoona yy sawa sio lazima kila mtu alone hiyo ndo sahihi,
Next time gombea wewe uraisi ili utilize maono yako
Nakubaliana na wewe lets agree to disagree lakini ni ujinga kutoa such petty statements "Next time gombea wewe uraisi ili utilize maono yako".
 
Nakubaliana na wewe lets agree to disagree lakini ni ujinga kutoa such petty statements "Next time gombea wewe uraisi ili utilize maono yako".

Ni ujinga zaidi wewe kuendeleza kuongozwa kila siku, na kulia Lia tu kwenye mitandao,
2025 am going for MP and mungu akijaaalia 2030/2035 am running for president.

I will try my luck, you should try yours
 
Hanifiki hata nusu, siyo bahati mbaya watu wanamdharau toka serikalini, mtaani hadi mtandaoni. By the way hii nchi inaendeshwa na JK .
Na kwa uongozi wake in 2 years ukitoa umaskini tutakuwa na matatizo makubwa ya udini na muungano.
Nimeishajipanga kupitia mama mwishoni mwa mwaka huu nanunua fuso yangu ya kwanza.
Mama anarudisha pesa kwa raia sisi.
 
Ni ujinga zaidi wewe kuendeleza kuongozwa kila siku, na kulia Lia tu kwenye mitandao,
2025 am going for MP and mungu akijaaalia 2030/2035 am running for president.

I will try my luck, you should try yours
Siasa siyo calling yangu , lakini sijawahi kukwamishwa na mwanasiasa kwenye jambo langu hata siku moja nikashindwa. Hata hivyo nitakuwa mchoyo kama nisipopiga kelele pale viongozi wakifanya maamuzi mabovu yanayoumiza jamii kwa ujumla. Naomba pia nichukue nafasi hii nikutakie mipango mema na mafanikio kwenye safari yako ya kuchukua kiti cha ubunge.
 
Back
Top Bottom