Uchambuzi>>>pesa imekuwa adimu kama bikra kwa changudoa....

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Sep 2, 2011
4,875
1,216
ushindi wangu ni wa
uchafu kwenye vita ya
wasafi
kila nnayemuomba tafu
anataka afanye na ulafi
maisha ni kombolela masikini ndio mlinda kopo
cha msingi ni kuunga tela
mpaka utoke kwenye
msoto
kila jua linapozama
natamani pasikuche hasi inageuka chanya
kapeto anageuka sunche
naona alama za mlango ila
sioni pa kutokea
hii pesa imetoka jando
inataka kuni-babu seya nimegeuka konokono
natembea na mzigo wa
shida
silali, nimekuwa pono
maisha unakwenda na
mida shida zishanipa ustaa,
zaidi ya kanda ya loketo
tumbo umezoea njaa hadi
shibe naiona mseto
vikombe vya uaminifu
nishavivunja mtaani na vijiko vya uhalifu
nishaviweka kwenye
sahani
mi nadhani, haya maisha
yana ramani
na aliyewachorea masikini peni ilimgomea njiani
ah
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom