kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Umekuja na makelele yako kama mpiga debe wa kariakoo, kwa nini huwa hamna ustaarabu nyinyi?Abdul Nondo maliza kwanza degree yako ya kwanza!! Concentrate on one thing at a time that is a main principle of success kama unataka kufaulu popote kimaisha ,kimasomo kibiashara nk .Mshika mawili moja humpokonyoka..Ushajipa utaalamu wa fedha wakati hata hicho kifigrii hujamaliza!!!!!!!