Uchambuzi Kitabu cha Mwinyi: Sitawasahau Maalim Seif, Mrema na Mtikila katika utawala wangu

Kighoma Malima alikuwa mdini sana. Alipokuwa Waziri wa Elimu alifanya purge ya mabosi wa misheni. Na wakati huo huo zikaenea rumours kuwa maksi za waislamu wanapewa wamisheni ili kuwanyima nafasi waislamu! Cha ajabu ni kuwa wakati huo zilikuwa zinatumika namba ambazo zilifanya utambuzi wa dini ya mwenye maksi kuwa mgumu. Hata chama cha NRA alichojiunga baada ya kutoka CCM kilikuwa kina harufu kali ya udini.

Mtikila nae kweli alikuwa mdini. Yeye alijiona kama yuko katika mapambano kutetea ukristu na wakristu. Kwa mfano alipigia sana kelele zuio la matumizi ya shule za serikali kwa mambo ya ibada. Alikuwa pia mbaguzi wa rangi.

Amandla....
Utaratibu wa Namba kwenye mitihani ulianza wakati wa Malima kabla ya hapo haukuwepo hivyo umepotosha
 
Utaratibu wa Namba kwenye mitihani ulianza wakati wa Malima kabla ya hapo haukuwepo hivyo umepotosha
Nakumbuka vizuri sana kuwa tulipewa namba kwenye mtihani wa sekondari. Na nilisoma kabla ya Malima kuwa waziri wa elimu.

Amandla...
 
Nani aliekwambia Hapo kamhukumu,hiyo ni historia ya safari yake na hayo mambo yalitokea na wala mpaka Maalim anafariki walikuwa hawana ugomvi na mwingi
Sijasema kama yeyé kamhukumu, ila JAMII itasema Maalim ni msaliti (je si hukumu huyó?), Je atajiteteaje wakati keshatangulia safari ya kila mmoja na ya lazima ?
 
Back
Top Bottom