Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,272
- 105,471
Vitabu vya wanasiasa wa Tanzania ni aibu tupu.Tatizo kubwa la uandishi wa vitabu vya wana siasa ni ku edit sana content ili ipendeze kwa Serikali iliopo madarakani, uongo ni mwingi......na ukweli una achwa makusudi, sidhani kama Mwinyi kagusia lile jamba la kushauliwa kumfunga Nyerere, baada ya Nyerere kujutia kumpa madaraka ya uraisi.