Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,032
- 3,478
Hakuna kosa yule aliyedhani kwamba kilichosemwa sivyo alitakiwa kutoa ushaidi wa kuthibisha hapo nguvu sawa (aliyetuhumu hakutoa 'substantial evidence' ambayo ni 'reliable and credible' halikadhalika aliyetuhumiwa hakuonesha uthibitisho wenye ushahidi kwamba kilichotuhumiwa ni uongo; kwa hiyo kwa dhana hiyo hakuna mwenye mamlaka hapo kumchukulia hatua za aina yoyote mwingine ila labda ubabe wa madaraka na kanuni kandamiziGwajima amekosea kuropoka kuwa mama Samia kapokea hongo kutoka kwa mabeberu kuingiza chanjo feki nchini ili kuwaua watanzania. Na pia kakosea kusema kwamba mama Samia aliigiza kuchanja kumbe hakuchanja. Wewe kwa uelewa wako haya sio makosa?