Inasemekana hata biashara anazoendesha nje ya nchi ni uwekezaj wa serikalInawezekana Abramovich is a Russian spy, na alitengenezwa hivyo for a "secret mission", British government washamkosa kosa mara nyingi kumtimua, but still yupo under "surveillance". And it's true Putin anamtumia kwenye "mission" nyingi za serikali yake, the time will tell.
British Government wamtimue kutoka wapiInawezekana Abramovich is a Russian spy, na alitengenezwa hivyo for a "secret mission", British government washamkosa kosa mara nyingi kumtimua, but still yupo under "surveillance". And it's true Putin anamtumia kwenye "mission" nyingi za serikali yake, the time will tell.
Naweza kukubaliInasemekana hata biashara anazoendesha nje ya nchi ni uwekezaj wa serikal
Walianzisha umoja unaoitwa "The family " ambapo mtoto wa Boris na yeye Abramovich na Boris mwenyewe ndo wali run Urusi ya wakati huo ..kuwepo kwa Putin leo ni mchango mkubwa sana wa Roman Abramovich..huyu jamaa ni mtu na nusu ..Tena kwa asilimia 100,japo hana shule.Ni story ya kusisimua sana.Na alikataa madaraka yoyote ya kisiasa akataka apewe umiliki wa kampuni za uchimbaji gesi za Russia.
Yeye alitaka ufalme wa kiuchumi na si kisiasa.
Ni mtu ambaye Putin anamheshimu kuliko.Ni stori ndefu sana jinsi alovyoanza hadi kuwa na urafiki na binti wa rais wa Russia ili aweze kupata access ya kuweza kuwa karib na rais.Na mpaka akawa mshauri wa karibu anayeaminika wa Boris Yelstin,mshauri asiyetajwa popote.
Ni moja ya watu walioinjinia Borris Yelstin kujiuzulu na kabla ya hapo alishampendekeza Putin kuwa PM.Na utajiri wake ni wa jasho na damu.
Elewa tu si mtu wa mchezo mchezo.
Kwahiyo mkuu siku ukipata kuonana na Magu usimwombe UDC au cheo bali mwombe akuwezeshe hata uweze kumiliki kitalu cha Tanzanite au gesi upate ufalme wa pesa.
Uingereza walishamshindwa chanzo cha ugomvi na serikali kama ile ni Kwamba jamaa aliingiza chaka moja ya kampuni kubwa ya uingereza na kuweza kuimiliki kisheria kabisa kitu ambacho waingereza waliona kama jamaa kawazidi akili ivyo wakaanza kumfanyia figisu lakini bado aliwapiga tena bao na kufanikiwa kununua timu ya Chelsea kwa ela ya mboga..Inawezekana Abramovich is a Russian spy, na alitengenezwa hivyo for a "secret mission", British government washamkosa kosa mara nyingi kumtimua, but still yupo under "surveillance". And it's true Putin anamtumia kwenye "mission" nyingi za serikali yake, the time will tell.
Dah jamaJina la kitabu.ABRAMOVICH THE BILLIONAIRE FROM NOWHERE
Mwandishi.DominicMidgley and ChrisHutchins
Mchambuzi.Nanyaro EJ
Utangulizi
Mwandishi anasema kuwa hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 1999 hakuna gazeti lolote lililokuwa na hata picha tu ya Abramovich.Ila hadi wakati huo tayari Abramovich alikuwa tajiri na bilionea wa kutupwa,akiwa miongoni nwa Olgarch kijana zaidi
Pale nchini Urusi ilitokea kundi dogo lililokuwa na maguvu na lililindwa na watawala na hili kundi/genge liliitwa Olgarch hawa ndio waligawana utajiri wa USSR wakati ikianguka,waligawana kama vile mbwa mwitu wanavogawana mnyama akiwa hai,kila mmoja anakata sehemu yake.
Kwa wafuatiliaji wengi wanamfahamu Abramovich kama tajiri na mmiliki wa kilabu ya mpira ya Chelsea
Baada ya tetesi kuanza kusambaa vyombo vya habari vilianza kufuatilia kumjua huyu Abramovich ni nani.....ilibidi chombo kimoja kitangaze dau kubwa la pesa kwa mtu atakayeweza kupata picha ya Abramovich
Mwandishi anasema Abramovich ni miongoni mwa vijana walioweza kutajirika kupitia biashara mbalimbali anbazo msingi wake ni anguko la utawala wa USSR,ambao waliokuwa karibu na watawala waligawana mali ya umma(Kama hapa Tanzania wakati wa ugenishaji mashirika ya umma).Hata hivo Abramovich anaelezwa kama mtu mpole,mwenye aibu,asiyependa makuu,na asiyependa kuonekana hadharani sana,wala sio Olgarch wa kuvaa nguvu za gharama kama wengine,ni mtu ambaye huonekana akitazama mechi ya timu yake ya chelsea aliyoinunua 2003 akiwa hata hajanyoa vizuri kama matajiri wengine!mara nyingi huwa na mkewe na watoto wake watano,aliojaliwa kwenye miaka 13 ya ndoa(spidi ya 5G)!
Mkewe Irina pia anapendelea zaidi kukaa na familia kuliko mitoko isiyokuwa na ulazima.Kwa ujumla ni familia inayopendana na kujali watoto wao,hupendelea kutumia muda mwingi na watoto kama sehemu muhimu ya malezi bora!
Mwandishi anasema ili kumwelewa Abramovich na ukwasi wake wote kuanzia kampuni yake kubwa ya mafuta ya Sibneft unapaswa kumwangalia kama mwanasiasa zaidi kuliko mfanyabiashara! Au tumwite mfanya-biashara-siasa,hii ni kwa kuwa kwa kipindi hicho mfanyabiashara ambaye hakuwa na ulinzi wa Kremlin(Ikulu ya Urusi) au alifilisiwa au alifungwa au vyote kwa pamoja,hivo kutajirika ukiwa Urusi kulitegemeana na uhusiano wako na watawala hasa Kremlin na sio jitihada zako binafsi...vinginevyo unanyanganywa mali zako,unafungwa jela.....mfano wa waliofilisiwa ni rafiki yake Abramovich aliyeitwa Boris Berezovsky au gwiji lenye vyombo vingi vya habari Olgarch Vladimir Gusinsky walilazimishwa kukimbia nchi na Bwana Putin kwa kuwa tu wakienda kinyume cha Kremlin
Abramovich ana kanuni yake muhimu kuwa Rais ndio anamiliki jela na sheria hivo alikuwa mtu makini ambaye alihakikisha kuwa hakosani na watawala ili asiharibu mambo yake,badala yake akawa mshirika wa karibu na mwandani wa watawala kuanzia Boris Yelstin na Rais wa Sasa Putin
Abramovich ni mwandani wa Putin na ndio aliohakikisha Putin anashinda mara ya kwanza 1999 na ameendelea kuwa mtu anayeaminika zaidi na Putin...wakati ambako Putin alitaka kutisha au kukodisha magenge ya kushughulikia wapinzani wake,jukumu hilo lilifanywa na Abramovich ndie anayeaminika zaidi kufanya misheni hatari kulinda ukwasi wao
Unaambiwa Abramovich ana akili nyingi sana,ana uwezo mkubwa wa kujaribu,uwezo mkubwa wa kuona mbali,anaweza kutazama hatua kumi mbele hata kama hatua ya kwanza hadi ya saba zina changamoto,lakini bado atasonga mbele kwa matumaini makubwa! Sio mtu wa kukata tamaa...tutaona huku mbele kuanzia kuzaliwa kwake hadi leo,ili kujua kwa undani kabisa kuwa huyu Abramovich ni kiumbe wa aina gani?
Jina la kitabu.ABRAMOVICH THE BILLIONAIRE FROM NOWHERE
Mwandishi.DominicMidgley and ChrisHutchins
Mchambuzi.Nanyaro EJ
CHAPTER ONE
BAPTIZED INTO GREATNES
Mwandishi anasema Abramovich alizaliwa mwaka 1966 na mama yake mzazi alifariki mwaka mmoja yaani wakati Abramovich akifikisha mwaka tayari mama yake mzazi alikuwa marehemu.Chanzo cha kifo cha mama yake ni jaribio lake la kutoa mimba kienyeji kufuatia kupata ujauzito kabla mtoto Abramovich hajafikisha hata miezi mitano.Baada ya kifo cha mama yake baba ambaye alikuwa mwajiriwa wa moja ya makapuni ya ujenzi,alimpeleka Abramovich kwa Bibi yake...ndio kusema Abramovich amelelewa na bibi yake.Hata hivo baba yake alikuja kufa baada ya kuumia mguu akiwa kazini,mguu ulivunjika na kusababisha mauti,wakati huo Abramovich alikuwa na miaka miwili na nusu,hivo Abramovich ni yatima tangu akiwa na miaka miwilo ndio kusema hata hawajui wazazi wake!
Abramovich alikuja kulelewa na baba yake mkubwa Leib (Abraham)na Ludmila(kaka wa baba yake mzazi)hii ilikuwa bahati kuwa alikuwa mtoto wa kiume pekee,huyu baba yake mkubwa alikuwa na watoto wa kike wawili,wakubwa kwa Abramovich.Waliishi kwenye apartment chini ya sheria kali za kikomunist,alianza shule akiwa na miaka sita,na inasemwa kuwa alikuwa mtoto makini sana darasani,alipenda mijadala ya kujenga!na alikuwa mdadisi anayependa kujifunza kila kitu!
Baba yake mzazi(alikuwa Mrusi mwenye asili ya Israel
Mwandishi anasema kuwa kuna somo kubwa la kujifunza kuhusu Abramovich mosi alikuwa sio mrusi kwa asili,pili alikuwa yatima na tatu alikulia kwenye mji ambao ulikuwa na baridi kali,kiasi cha kufanya wakazi wake kuwa walevi kupindukia ili kupasha mwili,lakini katika changamoto zote hizo yeye hakuwa hata kunywa Vodka.....na akapenya kuwa miongoni mwa watu hatari zaidi Urusi
Mwaka 1974 Abramovich alihamia Moscow kuishi na bibi yake,kwenye chumba kimoja kufuatia uhaba wa nyumba nchini Urusi enzi za ukomunisti..Akiwa Moscow aliendelea na shule ya msingi kwenye shule 232(Urusi ya Kikomunisti shule zilikuwa zinajulikana kwa namba)akiwa shuleni alikuwa mwanafunzi bora kabisa shuleni,kiasi cha kupendwa na wanafunzi na waalimu wote
Dear Roman Arkadievich,
The pupils and teachers of School 232 thank you for your enormous kindness to us. The good work done by you will always be remembered. When we use the gym we think of you. When we eat in the canteen we think of you. When we use the computer room we think of you ...
The style is reminiscent of the cult of personality promoted under Stalin.In the
Forties and Fifties, newspaper articles lauding the building of a new stadium, for
example, would say, 'Sportsmen are thinking of Comrade Stalin with gratitude'.
In general, he would be paraded as the best friend of everyone from children to
border guards. And so it is with Abramovich within the walls of School No. 232.
There are even plans to create a school museum dedicated to the achievements
of distinguished old boys. It seems likely that Abramovich will find that a
section of the museum has been devoted entirely to him.
Jina la kitabu.ABRAMOVICH THE BILLIONAIRE FROM NOWHERE
Mwandishi.DominicMidgley and ChrisHutchins
Mchambuzi.Nanyaro EJ
CHAPTER TWO
THE MAKING OF THE MAN
Mwandishi anasema hadi mwaka 1983 wakati Abramovich anaanza maisha bado Urusi ilikuwa ya kijamaa,na biashara binafsi ilikuwa kinyume cha sheria! Ilikuwa jinai kuuza kwa faida nchini Urusi! Lakini hali ya mabadiliko Duniani ilikuwa inaenda kwa kasi sana
Wakati huo Warusi wenye asili ya Kiisrael walikuwa asilimia mbilo tu,wengi wakiwa waumini wa madhehebu ya Ki Orthodox na walichukuliwa kama watu wa dini tu wasiokuwa na maana yoyote kwenye jamii! Abramovich alikuwa miongoni mwao ba fursa ya kusoma vyuo vya serikali ilikuwa ndogo sana,hii ilimfanya Abramovich kutafuta chuo kijijini kwao katika mji mdogo wa Ukhuta ambako alisoma Ukhta Industrial Institute,hata hivo miaka miwili baadae aliacha masomo yake chuoni hapo akajiunga na jeshi la kujenga Taifa(Red Army) enzi hizo huko Urusi hakuna mzazi aliyepeleka mtoto wake Jeshini bali walihonga kwa maofisa wa jeshi ili mtoto asiingie jeshini,kwa upande wa Abramovich wazazi wake hawakuwa na fedha za kuhonga hivo akalazimika kujiunga jeshini ambako huitwa salagy(samaki mdogo) na wale wakubwa
Enzi hizo jeshi la Urusi halikuwa na nidhamu kutokana na uhaba wa fedha,hivo walipofika wageni walinyanyaswa na kuporwa hela au chochote cha dhamani na wakubwa!chakula kizuri kililiwa na wakubwa huku Salagy wakilala njaa au kula makombo
Unaambiwa akiwa jeshini Abramovich hakuhangaika na vyeo vya kijeshi badala yake alipambana kutengeneza marafiki na mtandao (network)alikuwa anawapikia wenzake,tena vyakula adimu ikiwepo uyoga ambao alilalizimika kwenda msituni kuuchuma!alikuwa mzuri sana katika kufanya organization ya mambo mbalimbali jeshini,kwa wakubwa na wadogo
Mwaka 1987 Abramovich alirejea kwao kutoka jeshini, na akamchumbia mkewe wa kwanza ambaye alikuwa amemzidi kwa miaka mitatu...yaani mwanamke Olga alikuwa na umri mkubwa kuliko Abramovich! Na alikuwa na mtoto lakini Abramovich alimpenda mama na mtoto wake! Miezi mitatu baadae walioana kwenye sherehe iliyohudhuriwa na watu 15 tu! Hasa ndugu wa karibu! Abramovich alioa akiwa na miaka 21 tu!(wewe hadi leo una miaka 34 hujaoa/hujaolewa unatafuta maisha ambayo hujayapata,huna mke/mume wala maisha)
Baada ya ndoa Abramovich hakurudi kumalizia chuo bali alijiingiza kwenye biashara ya kuchuuza! alichukua bidhaa kutoka Moscow na kwenda kuziuza Ukhuta.Wakati huo ujamaa ulisababisha uhaba wa bidhaa nyingi,ingawa ilikuwa haramu lakini ilikuwa biashara nzuri!alipakia kwenye malori kimagendo na kuzisafirisha miji mbalimbali! Sigara,payfumu,chocolate,na nguo.Hata hivo serikali ilibana zaidi kampuni binafsi na biashara binafsi hasa za bidhaa za kula
Abramovich akalazimika kuanzisha kampuni ya doll(midoli na sanamu)hii kampuni iliitwa Uyut ambayo ilitengeneza na kuuza midoli na sanamu na ikawa inawalipa mara ishirini zaidi ya mshahara wa mtumishi wa umma!.Abramovich aliweka muda mwingi sana kwenye kampuni kiasi cha kukosa muda wa familia na kupelekea kutalakiana miaka miwili tu baada ya ndoa!mke aliona jamaa alipenda kazi kuliko alivompenda yeye na mtoto wake!
Unaambiwa jamaa aliweza kutoka nyumbani alfajiri na kurejea usiku wa manane,yaani maisha yake yalikuwa kazi na kazi ikawa maisha yake
Mwaka 1991 Abramovich alioa tena msichana ambaye alikuwa muhudumu wa moja ya shirika la ndege,na kufanikiwa kupata mtoto wao wa kwanza Anna.
Kwenye hii miaka inaaminika kuwa tayari jamaa alikuwa na zaidi ya biashara 20,ikiwepo ya maduka ya bidhaa,kuuza tairi na ya kampuni ya ulinzi binafsi(Hii ndio ilikuja kumfanya awe karibu na wadosi,tutaona huko mbele)
Kuna tukio lilitokea Urusi mwaka 1991 Agosti ndio lilibadilisha kabisa maisha ya Abramovich kisiasa na kiuchumi.Mwaka huo kuna jamaa ambao walikuwa hawakubalini na sera za Gorbachev ambao waliamua kuweka shinikizo kubwa la kumwondoa madarakani,ndani ya muda mchache Rais alijiuzulu na kuanguka rasmi kwa USSR(ilishaanguka kabla hapa ilikuwa tangazo rasmi).Baada ya anguko la USSR Yelsin alikuwa Rais wa Urusi mpya,kwenye anguko hilo ambalo uchumi ulikuwa hoi ndiko Abramovich aliona fursa ya biashara ya mafuta,alitumia njia anazojua kupata leseni ya usafirishaji wa mafuta! Enzi hizo wengi wakomunist hawakuona mafuta kama bidhaa muhimu.Kwa Abramovich aliiona kuwa leseni ya kusafirisha (kuingiza na kutoa mafuta) ilikuwa sawa na kukabidhia printa ya kuprint hela unazotaka!
Abramovich akawa tayari ana kibali pekee ya cha kusafirisha mafuta!Urusi ilikuwa nchi ya pili kwa uzalishaji mafuta Duniani,ikiwa na uwezo wa kuuza kote Duniani!
.
kuonana na magu tena??? muogope mungu kakaTena kwa asilimia 100,japo hana shule.Ni story ya kusisimua sana.Na alikataa madaraka yoyote ya kisiasa akataka apewe umiliki wa kampuni za uchimbaji gesi za Russia.
Yeye alitaka ufalme wa kiuchumi na si kisiasa.
Ni mtu ambaye Putin anamheshimu kuliko.Ni stori ndefu sana jinsi alovyoanza hadi kuwa na urafiki na binti wa rais wa Russia ili aweze kupata access ya kuweza kuwa karib na rais.Na mpaka akawa mshauri wa karibu anayeaminika wa Boris Yelstin,mshauri asiyetajwa popote.
Ni moja ya watu walioinjinia Borris Yelstin kujiuzulu na kabla ya hapo alishampendekeza Putin kuwa PM.Na utajiri wake ni wa jasho na damu.
Elewa tu si mtu wa mchezo mchezo.
Kwahiyo mkuu siku ukipata kuonana na Magu usimwombe UDC au cheo bali mwombe akuwezeshe hata uweze kumiliki kitalu cha Tanzanite au gesi upate ufalme wa pesa.
Fatilia pale imebakia Chelsea pekeake.yeye ashatimuliwaBritish Government wamtimue kutoka wapi
Fatilia pale imebakia Chelsea pekeake.yeye ashatimuliwa
Na juzi Kati walimpiga ban asikanyage uingereza Kama raia wa Russia .Uingereza walishamshindwa chanzo cha ugomvi na serikali kama ile ni Kwamba jamaa aliingiza chaka moja ya kampuni kubwa ya uingereza na kuweza kuimiliki kisheria kabisa kitu ambacho waingereza waliona kama jamaa kawazidi akili ivyo wakaanza kumfanyia figisu lakini bado aliwapiga tena bao na kufanikiwa kununua timu ya Chelsea kwa ela ya mboga..
Huyu jamaa ni mfano wa kuigwa ni faita balaa
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Na juzi Kati walimpiga ban asikanyage uingereza Kama raia wa Russia .
Walisahau jamaa ana asili ya Israel
Sheria za hazina kikwazo kwa raia yeyote wa Israel kuingia uingereza
Jamaa akaenda chukua uraia wa Israel na Sasa anakanyaga uingereza kwa passport ya Israeli