Yadaiwa kuwa kutokana na uchakachuzi, matokeo ya kidato cha nne yatachelewa. Inasemekana kuwa matokeo hayo yanachakachuliwa kutokana na kuwa mabaya kiasi cha kutisha ambavyo ingeweza kuleta aibu kwa taifa na wizara husika; hivyo baraza linajaribu kuyaboresha ili kuondoa aibu ambayo ingelipata taifa hili.