Uchaguzi Wazazi Taifa CCM walalamikiwa

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
[h=2]10 SEPTEMBER 2012[/h]Na Mwandishi Wetu

UCHAGUZI wa Mwenyekiti wa Jumiya ya Wazazi Taifa ambao umefanyika jana jijini Dar es Salaam, unadaiwa kuingia dosari kwa madai ya ukiukwaji kanuni ambazo zinazuia wagombea wenye kazi za kudumu kutorohusiwa kugombea nafasi hiyo.


Imeelezwa kuwa, hatua ya Baraza la Utekelezaji kupitisha majina ya mengi ya wabunge, imewahuzunisha na kuwakasirisha wanachama wa jumuiya hiyo ambao wanamtaka Mwenyekiti ambae atakua nao muda wote.

Akizungumza na gazeti hili kwa sharti la kutoandikwa jina, mmoja wa Wajumbe wa Mkutano Mkuu Wazazi Taifa, amehoji hatua ya baraza hilo kuvunja kanuni zake kwa kupitisha majina saba ya wagombea badala ya matatu wengi wao wakiwa wabunge.

Waliopitishwa katika uchaguzi huo ni Bw. Nimrodi Mkono, Bi. Martha Mlata, Bw. Said Bwanamdogo, Dkt. Norman Sigalla, Bw. Abdallah Bulembo na Bw. Daniel Machemba, Bw. Barongo Rweikiza.

“Naiomba Kamati Kuu ya CCM, kutowateua wabunge kugombea Uenyekiti wa jumuiya hii kwa sababu wana kazi ya kudumu pamoja na shughuli nyingine,” alisema.

Alisema kuwateua wabunge hao ni kudhoofisha jumuiya hiyo na kuikosesha kiongozi ambaye atasikiliza matatizo yao muda wote.



 
Daniel Machemba mtoto wa kiongozi Mkubwa wa CCM na Serikali - Yaani CCM ni wale wale ila Damu Mpya...
 
mbowe ni mkwe wa mwasisi wa chadema.

lucy owenya na grece kiwelu = philemon ndesamburo

Oh Ukianza hivyo kwa CCM; tukianza kuwataja hao tu Wanaogombea U-NEC-CCM; tutamaliza kesho asubuhi... Yaani Dr. Kigangwalla

katoa watatu ndani ya...

Familia 1. Dr. Kigangwalla 2. Dr. Mrs. Kigangwalla 3. Kigangwalla (young bro) hapo tu - Ni KIGANGWALLA's]

Nikienda Bukoba Mjini Kashegeki yeye ana 12... Wanagombea U-NEC CCM] hapo Sijagusa UBUNGE, UKUU WA WILAYA...
 
[h=2]10 SEPTEMBER 2012[/h]Na Mwandishi Wetu UCHAGUZI wa Mwenyekiti wa Jumiya ya Wazazi Taifa ambao umefanyika jana jijini Dar es Salaam, unadaiwa kuingia dosari kwa madai ya ukiukwaji kanuni ambazo zinazuia wagombea wenye kazi za kudumu kutorohusiwa kugombea nafasi hiyo. Imeelezwa kuwa, hatua ya Baraza la Utekelezaji kupitisha majina ya mengi ya wabunge, imewahuzunisha na kuwakasirisha wanachama wa jumuiya hiyo ambao wanamtaka Mwenyekiti ambae atakua nao muda wote. Akizungumza na gazeti hili kwa sharti la kutoandikwa jina, mmoja wa Wajumbe wa Mkutano Mkuu Wazazi Taifa, amehoji hatua ya baraza hilo kuvunja kanuni zake kwa kupitisha majina saba ya wagombea badala ya matatu wengi wao wakiwa wabunge. Waliopitishwa katika uchaguzi huo ni Bw. Nimrodi Mkono, Bi. Martha Mlata, Bw. Said Bwanamdogo, Dkt. Norman Sigalla, Bw. Abdallah Bulembo na Bw. Daniel Machemba, Bw. Barongo Rweikiza. “Naiomba Kamati Kuu ya CCM, kutowateua wabunge kugombea Uenyekiti wa jumuiya hii kwa sababu wana kazi ya kudumu pamoja na shughuli nyingine,” alisema. Alisema kuwateua wabunge hao ni kudhoofisha jumuiya hiyo na kuikosesha kiongozi ambaye atasikiliza matatizo yao muda wote.
Kwenye CCM huwa hakuna katazo, ni usanii mtupu usitegeme kamati kuu(CC) itaamua chochote chqa maana , ndio maana Li-Mery Nagu limefanya zengwe jina limerudishwa, CCM siyo kama chademA wanaotoa maamuzi mazito , kenye CCM hakuna kitu ACHA, ndio maana kata akiNA ADEN RAGE wanagombea kwa ticketi hiyo maana wanajua CCM ni Huweeeeeeeee.
 
10 SEPTEMBER 2012

Na Mwandishi Wetu UCHAGUZI wa Mwenyekiti wa Jumiya ya Wazazi Taifa ambao umefanyika jana jijini Dar es Salaam, unadaiwa kuingia dosari kwa madai ya ukiukwaji kanuni ambazo zinazuia wagombea wenye kazi za kudumu kutorohusiwa kugombea nafasi hiyo. Imeelezwa kuwa, hatua ya Baraza la Utekelezaji kupitisha majina ya mengi ya wabunge, imewahuzunisha na kuwakasirisha wanachama wa jumuiya hiyo ambao wanamtaka Mwenyekiti ambae atakua nao muda wote. Akizungumza na gazeti hili kwa sharti la kutoandikwa jina, mmoja wa Wajumbe wa Mkutano Mkuu Wazazi Taifa, amehoji hatua ya baraza hilo kuvunja kanuni zake kwa kupitisha majina saba ya wagombea badala ya matatu wengi wao wakiwa wabunge. Waliopitishwa katika uchaguzi huo ni Bw. Nimrodi Mkono, Bi. Martha Mlata, Bw. Said Bwanamdogo, Dkt. Norman Sigalla, Bw. Abdallah Bulembo na Bw. Daniel Machemba, Bw. Barongo Rweikiza. “Naiomba Kamati Kuu ya CCM, kutowateua wabunge kugombea Uenyekiti wa jumuiya hii kwa sababu wana kazi ya kudumu pamoja na shughuli nyingine,” alisema. Alisema kuwateua wabunge hao ni kudhoofisha jumuiya hiyo na kuikosesha kiongozi ambaye atasikiliza matatizo yao muda wote.
Kwenye CCM huwa hakuna katazo, ni usanii mtupu usitegeme kamati kuu(CC) itaamua chochote chqa maana , ndio maana Li-Mery Nagu limefanya zengwe jina limerudishwa, CCM siyo kama chademA wanaotoa maamuzi mazito , kenye CCM hakuna kitu ACHA, ndio maana kata akiNA ADEN RAGE wanagombea kwa ticketi hiyo maana wanajua CCM ni Huweeeeeeeee.
 
10 SEPTEMBER 2012

Na Mwandishi Wetu UCHAGUZI wa Mwenyekiti wa Jumiya ya Wazazi Taifa ambao umefanyika jana jijini Dar es Salaam, unadaiwa kuingia dosari kwa madai ya ukiukwaji kanuni ambazo zinazuia wagombea wenye kazi za kudumu kutorohusiwa kugombea nafasi hiyo. Imeelezwa kuwa, hatua ya Baraza la Utekelezaji kupitisha majina ya mengi ya wabunge, imewahuzunisha na kuwakasirisha wanachama wa jumuiya hiyo ambao wanamtaka Mwenyekiti ambae atakua nao muda wote. Akizungumza na gazeti hili kwa sharti la kutoandikwa jina, mmoja wa Wajumbe wa Mkutano Mkuu Wazazi Taifa, amehoji hatua ya baraza hilo kuvunja kanuni zake kwa kupitisha majina saba ya wagombea badala ya matatu wengi wao wakiwa wabunge. Waliopitishwa katika uchaguzi huo ni Bw. Nimrodi Mkono, Bi. Martha Mlata, Bw. Said Bwanamdogo, Dkt. Norman Sigalla, Bw. Abdallah Bulembo na Bw. Daniel Machemba, Bw. Barongo Rweikiza. “Naiomba Kamati Kuu ya CCM, kutowateua wabunge kugombea Uenyekiti wa jumuiya hii kwa sababu wana kazi ya kudumu pamoja na shughuli nyingine,” alisema. Alisema kuwateua wabunge hao ni kudhoofisha jumuiya hiyo na kuikosesha kiongozi ambaye atasikiliza matatizo yao muda wote.
Kwenye CCM huwa hakuna katazo, ni usanii mtupu usitegeme kamati kuu(CC) itaamua chochote chqa maana , ndio maana Li-Mery Nagu limefanya zengwe jina limerudishwa, CCM siyo kama chademA wanaotoa maamuzi mazito , kenye CCM hakuna kitu ACHA, ndio maana kata akiNA ADEN RAGE wanagombea kwa ticketi hiyo maana wanajua CCM ni Huweeeeeeeee.
 
CCM bana wananichekesha sana eti jumuiya ya wazazi. Sasa hao wazazi ni wakina nani?
 
Huyu Norman Sigalla si ndio yule aliyekamatwa na TAKUKURU kule Makete akitoa rushwa wakati wa kura za maoni za ubunge?
 
Back
Top Bottom