Kenyan-Tanzanian
JF-Expert Member
- Nov 7, 2006
- 302
- 2
KIFO CHA SERIKALI FISADI YA RAIS MWAI KIBAKI
Zikiwa zimesalia masaa 80 tuu halafu Muungano wa Chungwa ( au Orange Democratic Movement) na Mgombea Rais wake RAILA AMOLO ODINGA atawazwe kama RAIS WA AWAMU YA NNE KATIKA JAMHURI YA KENYA hizi hapa news na video kibao zakuwapatia hali vile ilivyo on the ground
Waheshimiwa wanaJF sijawahi kuona kitu kama hiki. Duh! Raila is just a Political Tsunami!
1. KWA AKINA MOI: Raila na Wadau waKalenjin wa Mkoa wa Bonde la Ufa (Rift Valley atokako Moi ambaye pia ni Mkalenjin)
2. SOUTH YA NCHI: Raila na wadau wa Umaasaini ambao pia wameamua ni yeye tuu Rais tokea Ijumaa wiki hii
3. WEST YA NCHI: Raila na wadau wa Kisumu mkoa wa Nyanza
4. NORTH YA NCHI: Raila na wadau wa a Turkana kaskazini ma Kenya karibu na Sudan
5. EAST YA NCHI: Raila na wadau wa Pwani ya Kenya
6 CENTRAL YA NCHI: Raila na wadau wa Nairobi
____________________________________________
Zikiwa zimesalia masaa 80 tuu halafu Muungano wa Chungwa ( au Orange Democratic Movement) na Mgombea Rais wake RAILA AMOLO ODINGA atawazwe kama RAIS WA AWAMU YA NNE KATIKA JAMHURI YA KENYA hizi hapa news na video kibao zakuwapatia hali vile ilivyo on the ground
Waheshimiwa wanaJF sijawahi kuona kitu kama hiki. Duh! Raila is just a Political Tsunami!
1. KWA AKINA MOI: Raila na Wadau waKalenjin wa Mkoa wa Bonde la Ufa (Rift Valley atokako Moi ambaye pia ni Mkalenjin)
2. SOUTH YA NCHI: Raila na wadau wa Umaasaini ambao pia wameamua ni yeye tuu Rais tokea Ijumaa wiki hii
3. WEST YA NCHI: Raila na wadau wa Kisumu mkoa wa Nyanza
4. NORTH YA NCHI: Raila na wadau wa a Turkana kaskazini ma Kenya karibu na Sudan
5. EAST YA NCHI: Raila na wadau wa Pwani ya Kenya
6 CENTRAL YA NCHI: Raila na wadau wa Nairobi
____________________________________________