Amani ya nchi hii ilikuwa ya thamani mno kiasi kumtaka kila mmoja wetu kufanya yote yawezekanayo kuhakikisha kuwa hatutetereki lilikuwa si jambo la kupuuzwa.
Tume kwa kuendesha uchaguzi wa wazi na wa haki tu kungefanya mamlaka zote (hasa za kutumia mabavu) kubakia likizo.
Walishindwa waziwazi kina Makonda kina Pascal Mayalla, Katambi, Mwakyembe nk kwenye kura za maoni kiroho safi, wala hakukuwa na kelele wala msuguano.
Tume nendeni "the remaining extra mile" kwa mustakabala wa amani yetu. "It is never too late."
Bado mnaweza kukubaliana na vyama hivi namna iliyo bora zaidi tunayoweza kukubaliana na kuaminiana sote.
Sisi sote ni ndugu. Tunaweza fanya uchaguzi kindugu kwa kuhakikisha uwazi na haki tu.
Eeh mola wetu ukatujalie busara kidogo kutuepusha na dhoruba hili la wazi linalotunyemelea.
Tume kwa kuendesha uchaguzi wa wazi na wa haki tu kungefanya mamlaka zote (hasa za kutumia mabavu) kubakia likizo.
Walishindwa waziwazi kina Makonda kina Pascal Mayalla, Katambi, Mwakyembe nk kwenye kura za maoni kiroho safi, wala hakukuwa na kelele wala msuguano.
Tume nendeni "the remaining extra mile" kwa mustakabala wa amani yetu. "It is never too late."
Bado mnaweza kukubaliana na vyama hivi namna iliyo bora zaidi tunayoweza kukubaliana na kuaminiana sote.
Sisi sote ni ndugu. Tunaweza fanya uchaguzi kindugu kwa kuhakikisha uwazi na haki tu.
Eeh mola wetu ukatujalie busara kidogo kutuepusha na dhoruba hili la wazi linalotunyemelea.