Uchaguzi wa wanafunzi UD wadorora!


Kithuku,

Wote tuna ugonjwa wa kupenda. wewe kama mwalimu unavutia kwa walimu wenzako. Utamkataaje mwanafunzi kwa dhana kuwa ati akichaguliwa atafanya fujo? Kwa nini asichaguliwe kwanza na akifanya fujo baadaye sheria ifutae mkondo? haya ni yale yale ya wakina Bush kudai demokrasia Palestina na kukataa uamuzi wa wapalestina kuchagua Hamas! Ukikubali demokrasia hauwezi kuingilia unapoona inaelekea usikokutaka.

Migomo, maandamano yote ni ishara ya kukata tamaa na mfumo uliopo. Kama mfumo huo unaoutetea ungekuwa unafanya kazi haya yote yasinge tokea. Na vyombo kama hivi vikitumiwa vizuri vinasaidia sana kuepusha haya matatizo kwa sababu wanakuwa wa kwanza kuufahamisha uongozi yanayowakera wanafunzi na vile vile kuuelezea msimamo wa viongozi kwa wanafunzi. habari mbaya ikiletwa na mtu waliye na imani nae mara nyingi wanachelea kufanya fujo. Ni pale uongozi unapotaka kuwaburuza, kukataa kuwaambia ukweli n.k. ndipo hali inapochafuka. Ufaransa Vyuo Vikuu viliingia mitaani mwaka 1968 kudai heshima uhuru zaidi katika vyuo vyao. Wanafunzi hawa huwa hawasiti kuingia mitaani kwenye suala ambalo wao wanaona linawagusa, kuanzia ada hadi vita vya vietnam!

Mfano wa Kihiyo haukuwa sahihi. Yule aliumbuliwa na wenzake aliodai alisoma nao na baada ya kupitia kumbukumbu ndipo ikaonekana kuwa kweli alifoji. Hapa utawala ulioisha mkubali huyu mwanafunzi wanatoa shutuma baada ya kuona kuwa anaweza kushinda uchaguzi! Hakuna mahali walipoleta mashahidi au ushahidi wa hizo shutuma zao. Kwa nini utawala huo huo usiulizie huko Uganda wenyewe ili kupata uhakika wa shutuma zao kabla ya kuzitoa hadharani. Itakuwaje leo ndio wadai vyeti lukuki ambavyo pengine vimeishapotea. Wanashindwa nini wao kuwasiliana na wizara ya elimu, vyuo, shule za sekondari, msingi hadi chekechea kabla ya kufanya uamuzi huo? Mpaka sasa sijaona mahali walipotoa uthibitisho kuwa huyu bwana amefoji nje ya hizo tuhuma. Wangekuwa na uthibitisho wala wasingempa huo muda wa kwenda kuleta vyeti vingine. Ni summary dismissal. Ni mchezo wa kitoto wanaotaka kufanya walimu wenzako.

Amandla!
 
Kithuku: usije ukaingia kwenye kundi la kutetea yasiyoteteeka. Piga ua mkuu, utaandika mengi sana, lakini hakuna utakayemshawishi akubaliane na wewe kwamba uongozi wa chuo una haki ya kuweka vigezo vya kiongozi wa wanafunzi wanavyovitaka wao. Halafu umefanya utumbo wangu utetemeka kabisa unaposema eti uongozi wa chuo hauwezi kukubali achaguliwe kiongozi anayependa migomo-how do they know kwamba huyu anapenda migomo na huyu hapendi? And more importantly, nani amesema kwamba kuna mwanafunzi anapenda migomo? Migomo inajulikana, popote pale sio chuoni tu, kuwa ni njia ya dharura ya kuwakilisha madai fulani. Sasa nani anakwambia unaweza kupanga dharura?

Kama viongozi wa chuo wangekubaliana na mawazo yako haya, siamini kwamba kuna kiongozi wa chuo pale mlimani anaweza kufikiri kama ulivyosema hapa, basi ingebidi waifute DARUSO na wa-adopt system inayotumika primary school kuchagua hao viongozi wa wanafunzi.

In fact watu wenye mawazo yako haya ndio wanaochochea migomo chuoni maana mawazo haya yanasababisha vijana wetu wawachukie viongozi wa chuo pasipo sababu za msingi. Mawazo ya namna yamejengwa kwenye minanjili ya ubabe na woga na hayawezi kumaliza migomo hata siku moja.

Sasa hivi kweli wewe unaamini kwa chuo kuruhusu kiongozi wa wanafunzi achaguliwe na wanafunzi chini ya 1% kwamba kimefanikiwa kuzima migomo pale mlimani?

In short, I am puzzled and dumbfounded by your views about the ongoing crisis at UDSM. I can't believe it is you who is writing this!

Hapa umeongea, Mkuu! My sentiments, exactly.
 
Kazi ya mwalimu ni kufundisha wanafunzi, na miongoni mwa mambo ambayo mwalimu anapaswa kuyasimamia kwa wanafunzi bila kutetereka ni kuwafundisha nidhamu, heshima, adabu, ustaarabu ambayo ni mambo muhimu sana ya kuwawezesha kutimiza majukumu stahiki katika jamii. Hilo sitabadili msimamo kamwe, asiyetaka kuwa na nidhamu aondoke akatafute chuo chake cha bangi huko akafanyieko anayoyataka. Chuo kikuu si pori la machokoraa, ni mahali penye ustaarabu, pa wastaarabu, wasioweza ustaarabu waondoke. Migomo mingi ninayoona hapo Mlimani inatokana na kuendekeza uhuru wa kijinga. Msimamo unaofaa ni nidhamu kwanza, mengine baadae. Penye nidhamu kila jambo linajadilika, maana pana masikilizano. Asiye na nidhamu, hata kama anafaulu kwa 100% kwenye masomo ya darasani, hafai kwa lolote.
 
Kazi ya mwalimu ni kufundisha wanafunzi, na miongoni mwa mambo ambayo mwalimu anapaswa kuyasimamia kwa wanafunzi bila kutetereka ni kuwafundisha nidhamu, heshima, adabu, ustaarabu ambayo ni mambo muhimu sana ya kuwawezesha kutimiza majukumu stahiki katika jamii. Hilo sitabadili msimamo kamwe, asiyetaka kuwa na nidhamu aondoke akatafute chuo chake cha bangi huko akafanyieko anayoyataka. Chuo kikuu si pori la machokoraa, ni mahali penye ustaarabu, pa wastaarabu, wasioweza ustaarabu waondoke. Migomo mingi ninayoona hapo Mlimani inatokana na kuendekeza uhuru wa kijinga. Msimamo unaofaa ni nidhamu kwanza, mengine baadae. Penye nidhamu kila jambo linajadilika, maana pana masikilizano. Asiye na nidhamu, hata kama anafaulu kwa 100% kwenye masomo ya darasani, hafai kwa lolote.

Haya yanahusiana vipi na viongozi wa serikali ya wanafunzi? Je huna taarifa kuwa migomo inaweza kutokea hata bila ridhaa ya viongozi?
 
Kazi ya mwalimu ni kufundisha wanafunzi, na miongoni mwa mambo ambayo mwalimu anapaswa kuyasimamia kwa wanafunzi bila kutetereka ni kuwafundisha nidhamu, heshima, adabu, ustaarabu ambayo ni mambo muhimu sana ya kuwawezesha kutimiza majukumu stahiki katika jamii. Hilo sitabadili msimamo kamwe, asiyetaka kuwa na nidhamu aondoke akatafute chuo chake cha bangi huko akafanyieko anayoyataka. Chuo kikuu si pori la machokoraa, ni mahali penye ustaarabu, pa wastaarabu, wasioweza ustaarabu waondoke. Migomo mingi ninayoona hapo Mlimani inatokana na kuendekeza uhuru wa kijinga. Msimamo unaofaa ni nidhamu kwanza, mengine baadae. Penye nidhamu kila jambo linajadilika, maana pana masikilizano. Asiye na nidhamu, hata kama anafaulu kwa 100% kwenye masomo ya darasani, hafai kwa lolote.

Hakuna chuo kikuu duniani kinachofundisha nidhamu na heshima. Haya mambo mpaka mtu anafika chuo kikuu anapaswa kuwa ameshajifunza. What you are talking about are simple good manners which are and should be imparted at the family and primary school level. More importantly, ni uzembe wa kufikiri ku-generalise kwamba migomo inasababishwa na wanafunzi kukosa nidhamu na heshima. No wonder migomo haishi mlimani kama walimu wenyewe haya ndio mawazo waliyo nayo. Kuna tafiti kadhaa zimefanyika kubainisha chanzo cha migogoro vyuo vikuu TZ. Hakuna hata moja inayotaja wanafunzi kutokuwa na nidhamu na heshima kuwa ni moja ya chanzo. Sasa sikutegemea mtu anayesema yeye ni mwalimu atoe such a bold conclusion bila kuegemea kwenye scientific evidence yeyote ile. This leaves a lot to be desired about the quality of some of our academics today.

Nitumie nafasi hii pia kulaani sana na kwa nguvu zangu zote, na ninaomba wana JF wengine waniunge mkono katika hili, kitendo chochote cha kutaka kuendeleza nidhamu ya woga miongoni mwa vijana wetu popote walipo iwe ni chuko kikuu na kwingineko. Ni nidhamu ya woga kama hii unayoongelea hapa ndio imetupelekea tuwe na taifa la ndio mzee kiasi kwamba viongozi wetu wanafanya madudu tunawakenulia kwa kuogopa kuonekana hatuna heshima! Vijana popote mlipo kataeni kabisa wito unaotolewa na watu kama Kithuku. Someni kwa bidii na mfuate sheria za nchi na za taasisi mlizopo lakini kamwe msiogope kuhoji mambo ya msingi ya uendeshwaji wa taasisi zenu na nchi kwa kuogopa kuonekana hamna nidhamu au heshima!
 
Kufundisha nidhamu na heshima sikusema ni majukumu ya mwalimu wa chuo kikuu tu, nimesema ni majukumu ya mwalimu (yeyote). Na kufundisha jambo si mpaka mtu atoe lecture na handouts, hata kuweka mazingira ya kuwasababisha watu wajifunze jambo hilo (discovery learning) ni kufundisha pia.

Hakuna chuo kikuu kinachofundisha kusoma na kuandika, lakini mtu asiyeweza kusoma na kuandika hawezi au hafai kuwa mwanafunzi katika chuo kikuu. Watu hawafundishwi kuandika essay katika vyuo vikuu, haya wanapaswa kuyajua tangu huko sekondari wanakofundishiwa, lakini mwalimu wa chuo kikuu bado anaweza kuweka mazingira ya kumfanya mwanafunzi ambaye alibahatika kufika chuo kikuu bila kujua kuandika insha vizuri ajifunze kuandika insha hizo. Unaandika insha ya kwanza nakutajia umekosea kadha kadha kadha, nakupa D. Unaandika ya pili katika zoezi lingine unajirekebisha kutokana na makosa ya mwanzo, hivyohivyo hadi unajikuta unaandika insha nzuri kwa kujifunzia chuo kikuu! Na nidhamu ni hivyo hivyo, ambaye hakufuzu nidhamu nyumbani au shule alikotoka bado kuna nafasi ya kujifunza hata huko chuo kikuu kama anataka, na kama hataki narudia kusema hafai.

Sipingi uhuru wa wanafunzi kujieleza, kudai haki mbalimbali, kuweka dialogue na viongozi au mtu yeyote chuoni, lakini ninachosisitiza ni nidhamu ya kuyafanya yote hayo. Hata walimu na menejimenti wanapaswa kuwa na nidhamu na maadili, asiyezingatia haya anachukuliwa hatua, sasa kwa nini mwanafunzi aachwe tu afanye analotaka bila udhibiti? Haifai kuwaachia wanafunzi kufanya mambo deviant kama hayo tunayosikia yakiripotiwa, kwa kisingizio chochote kile. Wanafunzi, watakuwa huru ndani ya mipaka iliyowekwa, nje ya hapo ni lazima udhibiti uimarishwe. Hata mie mwalimu nina uhuru, lakini una mipaka yake. Uhuru wowote duniani una mipaka. Hakuna kitu kama "absolute freedom".
 
Kufundisha nidhamu na heshima sikusema ni majukumu ya mwalimu wa chuo kikuu tu, nimesema ni majukumu ya mwalimu (yeyote). Na kufundisha jambo si mpaka mtu atoe lecture na handouts, hata kuweka mazingira ya kuwasababisha watu wajifunze jambo hilo (discovery learning) ni kufundisha pia.

Hakuna chuo kikuu kinachofundisha kusoma na kuandika, lakini mtu asiyeweza kusoma na kuandika hawezi au hafai kuwa mwanafunzi katika chuo kikuu. Watu hawafundishwi kuandika essay katika vyuo vikuu, haya wanapaswa kuyajua tangu huko sekondari wanakofundishiwa, lakini mwalimu wa chuo kikuu bado anaweza kuweka mazingira ya kumfanya mwanafunzi ambaye alibahatika kufika chuo kikuu bila kujua kuandika insha vizuri ajifunze kuandika insha hizo. Unaandika insha ya kwanza nakutajia umekosea kadha kadha kadha, nakupa D. Unaandika ya pili katika zoezi lingine unajirekebisha kutokana na makosa ya mwanzo, hivyohivyo hadi unajikuta unaandika insha nzuri kwa kujifunzia chuo kikuu! Na nidhamu ni hivyo hivyo, ambaye hakufuzu nidhamu nyumbani au shule alikotoka bado kuna nafasi ya kujifunza hata huko chuo kikuu kama anataka, na kama hataki narudia kusema hafai.

Sipingi uhuru wa wanafunzi kujieleza, kudai haki mbalimbali, kuweka dialogue na viongozi au mtu yeyote chuoni, lakini ninachosisitiza ni nidhamu ya kuyafanya yote hayo. Hata walimu na menejimenti wanapaswa kuwa na nidhamu na maadili, asiyezingatia haya anachukuliwa hatua, sasa kwa nini mwanafunzi aachwe tu afanye analotaka bila udhibiti? Haifai kuwaachia wanafunzi kufanya mambo deviant kama hayo tunayosikia yakiripotiwa, kwa kisingizio chochote kile. Wanafunzi, watakuwa huru ndani ya mipaka iliyowekwa, nje ya hapo ni lazima udhibiti uimarishwe. Hata mie mwalimu nina uhuru, lakini una mipaka yake. Uhuru wowote duniani una mipaka. Hakuna kitu kama "absolute freedom".

Sidhani kama kuna mtu amedai absolute freedom zaidi ya kupinga vitendo vya Mukandala kuondoa kabisa hata chembe kidogo ya freedom iliyokuwepo hapo chuoni for years kabla ya yeye kupewa umakamu wa chuo.

Kama wanataka kubadili miongozo ya chuo ili wawe (utawala) wanateua viongozi wa serikali ya wanafunzi {au viranja kama ulivyowaita wewe), wanaweza kufanya tu hivyo na hao viranja wakajulikana kama wawakilishi wa utawala wa chuo kwa wanafunzi na sio the other way around.
 
......


Alisema anatakiwa kuchanga karata zake vizuri, kwani chuo hicho kina wanafunzi zaidi ya 15,000, lakini waliopiga kura ni 730 tu na rais kushinda kwa kura 395..

...

Asha

Kwa hiyo wanafunzi 700 tu wamepiga kura kati ya wanafunzi maelfu wa chuo kikuu? Ama kweli Mukandala ameamua "kuendeleza" demokrasia Tanzania.

Ilianza Kiteto - wapiga kura chini ya asilimia 50 na sasa imekuja UD - wapiga kura chini ya asilimia 5.
 
Kwa hiyo wanafunzi 700 tu wamepiga kura kati ya wanafunzi maelfu wa chuo kikuu? Ama kweli Mukandala ameamua "kuendeleza" demokrasia Tanzania.

Ilianza Kiteto - wapiga kura chini ya asilimia 50 na sasa imekuja UD - wapiga kura chini ya asilimia 5.

Alaah
Huyu jamaa kumbe aliamua kufanya uchaguzi kwa mabavu, sikua na aksesi na internet siku kadhaa.

Kulaleki walai hawa jamaa ndio wameamua kututawala kwa mabavu ,kututia hofu kila mahala

Hii kitu ni unacceptable Go east west its unacceptable.

Kama wanashindwa kuachia wanafunzi kufanya uchaguzi huru je wataweza kufanya uchaguzi wa haki ktk serikali??? Hii kitu inatakiwa kupigiwa kelele na jamii yote.

Mwenye picha ya mkandala tafadhali irushe hapa nione huyu dikteta anafanana je.
 
Alaah
Huyu jamaa kumbe aliamua kufanya uchaguzi kwa mabavu, sikua na aksesi na internet siku kadhaa.

Kulaleki walai hawa jamaa ndio wameamua kututawala kwa mabavu ,kututia hofu kila mahala

Hii kitu ni unacceptable Go east west its unacceptable.

Kama wanashindwa kuachia wanafunzi kufanya uchaguzi huru je wataweza kufanya uchaguzi wa haki ktk serikali??? Hii kitu inatakiwa kupigiwa kelele na jamii yote.

Mwenye picha ya mkandala tafadhali irushe hapa nione huyu dikteta anafanana je.

Yaani we acha tu.

Dikiteta kalazimisha uchaguzi kwa terms zake na kwa watu anaowataka yeye na matokeo yake only 700 students wamepiga kura.

Picha ya dikiteta ilikuwa kule kwenye KLH news kwenye story ya kufukuza wanafunzi wa chuo kikuu. Ngoja nipitie kuona kama bado ipo.
 
Yaani we acha tu.

Dikiteta kalazimisha uchaguzi kwa terms zake na kwa watu anaowataka yeye na matokeo yake only 700 students wamepiga kura.

Picha ya dikiteta ilikuwa kule kwenye KLH news kwenye story ya kufukuza wanafunzi wa chuo kikuu. Ngoja nipitie kuona kama bado ipo.

Haya nimajaribio ya awali wanatikisa viberiti ili waone je tukawazulumu watanzania wata act vipi?

Kama wasomi wamezulumiwa haki wakiona live nini kitatokea kwa bibi yangu kule kwa wasakilegambulo.

tukishindwa ktk hili tujiandae kuizulumiwa haki wakati wote,na ndio maana wanaona hakuna haja ya kuwapeleka mafisadi kolokoloni.

NB uisisahau hiyo picha ya dikiteta
 
Haya nimajaribio ya awali wanatikisa viberiti ili waone je tukawazulumu watanzania wata act vipi?

Kama wasomi wamezulumiwa haki wakiona live nini kitatokea kwa bibi yangu kule kwa wasakilegambulo.

tukishindwa ktk hili tujiandae kuizulumiwa haki wakati wote,na ndio maana wanaona hakuna haja ya kuwapeleka mafisadi kolokoloni.

NB uisisahau hiyo picha ya dikiteta

Kwi kwi kwi,

hicho kijiji cha wasakilegambulo kiko wapi tena hapo tanzania?

Click hapa kupata picha ya dikiteta Mukandala kwenye hii story kwa hisani ya KLHNEWS
 
Nitumie nafasi hii pia kulaani sana na kwa nguvu zangu zote, na ninaomba wana JF wengine waniunge mkono katika hili, kitendo chochote cha kutaka kuendeleza nidhamu ya woga miongoni mwa vijana wetu popote walipo iwe ni chuko kikuu na kwingineko. Ni nidhamu ya woga kama hii unayoongelea hapa ndio imetupelekea tuwe na taifa la ndio mzee kiasi kwamba viongozi wetu wanafanya madudu tunawakenulia kwa kuogopa kuonekana hatuna heshima! Vijana popote mlipo kataeni kabisa wito unaotolewa na watu kama Kithuku. Someni kwa bidii na mfuate sheria za nchi na za taasisi mlizopo lakini kamwe msiogope kuhoji mambo ya msingi ya uendeshwaji wa taasisi zenu na nchi kwa kuogopa kuonekana hamna nidhamu au heshima!

Mkuu Kitila. Nihesabu katika wanaokuunga mkono. Nidhamu hii ya woga ndiyo iliyotufikisha hapa tulipo! Wataalamu na watendaji wanashindwa kusimamia taaluma zao dhidi ya viongozi wao. Mhasibu anakubali kuandika cheki bila kuhakikisha kuwa kweli ubalozi umenunua jengo. Kisa? Balozi amemuagiza! Mimi nimewahi kuongea na wakufunzi na wanafunzi kutoka nje waliowahi kutembelea vyuo vyetu. Kitu wanachoshangaa wao ni arrogance na ubabe wa walimu na namna wanafunzi wanavyowaogopa! wanasifia uvumilivu wa wanafunzi wetu kwa kuendelea kusoma katika mazingira magumu mno, kuanzia mabweni yaliyosongamana, madarasa yaliyojaa kupita kiasi, uhaba wa vitendea kazi na naam walimu wasiowajibika! Leo hii Kithuku anataka kutuletea discipline ya praimari? Kwa taarifa yake, sehemu nyingine duniani zimeanzisha utaratibu ambapo walimu wanauza masomo yao kwa wanafunzi! Ndiyo, mwanzo wa mwaka kila mwalimu anapewa nafasi ya kuuza kozi yake na wanafunzi wanaamua ipi wachukue. Sasa walimu kama Kithuku si ajabu wakajikuta wanapitisha mwaka bila kuona mwanafunzi na kufanya tenure zao ziingie matatani!

Amandla!
 
na nyie watoto badala ya kumfuata ofisini kwake mchana mkapa kichapo mnasubiri usiku mnaenda kwake sio poa... Anafaakichapo iwe fundisho kwa wengine
 
mambo gani tena haya? disgraced Mukandara kisha kuwa mjinga na kuanza kuchanganya siasa za CCM na uongozi wa chuo,hawa ndio wanaharibu Elimu nchini kwetu,ila kwa upande mwingine na wanafunzi nao hawqana haja ya kuhangaikia sana uppuzi kama huu mpaka kugoma kuingia darasani na kuanza kupiga watu au kuharibu mali,its OK kugomea uchaguzi na kumwambia Mkandala kama anataka kuwa raisi wa wanafunzi achukue tuu bure...yaani drama kama hizi unajiuliza kama Mkandala ana akili au kishakuwa kada tena,upuuzi mtupu ila dawa ni kuignore watu kama mkandara na kujisomea kumaliza shule maana hao wapuuzi wataishia kuwafukuza shule tuu.
 
huu ni udikteta katika kisima cha fikra za jamii ya Tanzania.Kama wasomi wanafanyiwa hivyo? kule kijijini itakuaje? this reflects kile ambacho tanzania imepitia kwamiongo karibia mitano.

Mimi natoa wito kwa bunge la UDSM kutumia njia zote kuhakikisha mnawarudishia heshima wana DARUSO kwa kufanya MAPINDUZI DHIDI YA HIYO SERIKALI HARAMU.

Yes,ni serikali HARAMU Coz it is not there FOR students,Iko pale kwa ajili ya mkandala na maharamia wengine.JUST VOTE FOR,YES VOT OF NO COMFIDENCE.
 
Hakuna chuo kikuu duniani kinachofundisha nidhamu na heshima. Haya mambo mpaka mtu anafika chuo kikuu anapaswa kuwa ameshajifunza. What you are talking about are simple good manners which are and should be imparted at the family and primary school level. More importantly, ni uzembe wa kufikiri ku-generalise kwamba migomo inasababishwa na wanafunzi kukosa nidhamu na heshima. No wonder migomo haishi mlimani kama walimu wenyewe haya ndio mawazo waliyo nayo. Kuna tafiti kadhaa zimefanyika kubainisha chanzo cha migogoro vyuo vikuu TZ. Hakuna hata moja inayotaja wanafunzi kutokuwa na nidhamu na heshima kuwa ni moja ya chanzo. Sasa sikutegemea mtu anayesema yeye ni mwalimu atoe such a bold conclusion bila kuegemea kwenye scientific evidence yeyote ile. This leaves a lot to be desired about the quality of some of our academics today.


Heshima kwako mkuu,


Nitumie nafasi hii pia kulaani sana na kwa nguvu zangu zote, na ninaomba wana JF wengine waniunge mkono katika hili, kitendo chochote cha kutaka kuendeleza nidhamu ya woga miongoni mwa vijana wetu popote walipo iwe ni chuko kikuu na kwingineko. Ni nidhamu ya woga kama hii unayoongelea hapa ndio imetupelekea tuwe na taifa la ndio mzee kiasi kwamba viongozi wetu wanafanya madudu tunawakenulia kwa kuogopa kuonekana hatuna heshima! Vijana popote mlipo kataeni kabisa wito unaotolewa na watu kama Kithuku. Someni kwa bidii na mfuate sheria za nchi na za taasisi mlizopo lakini kamwe msiogope kuhoji mambo ya msingi ya uendeshwaji wa taasisi zenu na nchi kwa kuogopa kuonekana hamna nidhamu au heshima!

Ni kitendo cha kulaaniwa kwa nguvu na lugha zote.No wonder tunapoteza nguvu kulea taifa la ma-coward.Hapa ni kujaribu kujenga fikra mgando tu.Sijui kama akina Mkwawa,Isike na Mirambo na hata akina Nyerere wangekua na fikra hizi sijui tungekua wapi.Umenena sana hapo juu.Ubarikiwe sana mkuu!
 
Wanafunzi wenyewe wame-cease kuwa visima vya fikra-endelevu, kuwa watu wa kuigwa na pia watu wenye upeo wa kuona mbali.

Hatua ya kuwapiga bakora wanafunzi wenzao au uvunjifu wa amani ni hatua zionyeshavyo upeo wa hao watoto!

Kama wana-act kama primary school children, na wao ni lazima wawe treated hivyo hivyo.
 
Wanafunzi wenyewe wame-cease kuwa visima vya fikra-endelevu, kuwa watu wa kuigwa na pia watu wenye upeo wa kuona mbali.

Hatua ya kuwapiga bakora wanafunzi wenzao au uvunjifu wa amani ni hatua zionyeshavyo upeo wa hao watoto!

Kama wana-act kama primary school children, na wao ni lazima wawe treated hivyo hivyo.

Respect kwako mkuu,
Hivi kweli wewe unaamini kuwa kama walifanya kosa basi walistahili kufanyiwa waliyofanyiwa?

Hii nchi tutaifikisha wapi kama vitendo vya kulaaniwa vinasifiwa?


ni uamuzi wako wa kumtetea mkandala,lakini Mimi naunga mkono KULAANI KWA NGUVU ZOTE vitendo vya hujuma kwa wanafunzi wa UDSM
 
Back
Top Bottom