Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Uchaguzi unaoendelea wa kuchagua viongozi wa CCM mikoani umeonyesha taswiraa nzuri kwani kwa zaidi ya miaka 25 kwa mara ya kwanza kuona kuna wagombea vijana na wenye elimu sio utajiri wakigombea nafasi mbali mbali.
Natoa pongezi nyingi kwa sektretarite ya CCM ikiongozwa na Mwenyekiti wake kwa kurudisha imani kwa wanachama wa CCM. Baada ya uchaguzi huu nategemea CCM yenye sura mpya itapatikana.
Kidumu chama cha CCM
Natoa pongezi nyingi kwa sektretarite ya CCM ikiongozwa na Mwenyekiti wake kwa kurudisha imani kwa wanachama wa CCM. Baada ya uchaguzi huu nategemea CCM yenye sura mpya itapatikana.
Kidumu chama cha CCM