Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
YIM, wenzako wako mahakamani wanasimamisha uchaguzi sasa sijui nani anaweka mpira kwapani hapo!
Mpira dk 90 umepata goli dk ya kwanza unaanza ngebe! tusubiri dk 90 au 120 if not penalt shoot out tuone who has the last laugh
Teh teh teh..
inaonekana kimekuuma sana kukosa mgombea kwenye udiwani..
mwaka huu utakula nyembe kwa hasira na wivu...
kwi kwi kwi kwikiiiiii kwi