nyasatu
Member
- May 15, 2009
- 72
- 1
Katika kukua kwangu nimekua nikisikia sifa tofauti tofauti kuhusu wa tz,baadhi ya sifa izo ni kuwa wapole,wasio penda purukushani,wasiojua kudai haki yao,waungwana,watu wa yes sir etc.
Nikiwa ktk harakati zangu za kuangalia CNN wiki hii nzima kwa kiasi fulani nimefurahishwa na habri za uchaguzi wa ivory cost na mara moja habari hiyo imenifanya nikumbuke uchaguzi wetu wa Nov 31,ingawa kwa upande mwingine sifurahishwi na vitendo vya kuona maaskari(un+locals)wakiwa mitaani na mitutu na habari zinazidi sema kuwa yawezekana kukazuka ugomvi.
Sasa basi baadhi ya matukio(see below) yaliyonifanya nifurahi zaidi na kuanza kufikiria je yawezekana tokea hapa Tz na je mtu/watu wanaogopa nini kufanya ivyo au ndio ktk kudumisha mila ya kua wa tz ni waungwana,ni kama ifuatavyo
1)kuona mtu akimpokonya live muhusika wa uchaguzi makaratasi ya matokeo mbele ya waandish alipokua akitangaza matokeo na kuya destroy kwa kuonyesha kuyapinga.Hapa nliwaza siku wahusika wa NEC walipokua wakitangaza ''cooked data/results''zao lingetokea hili tukio ingekuaje?na hapa nazidi somehow prove that maybe tu wastaarabu mana walioonewa waliishia kutoa tu kauli za kumstopisha mtangazaji matokeao hata hivyo kauli hizo hazikuzaa matunda yeyote,wengine waliishia andika tu kwenye magazeti na hakukua na any sort of strike hata kupinga hayo matokeo.
2)Tukio la kuona despite all odds na vituko vya raisi aliekua madarakani lakini bado upinzani wameshinda,ila kinachonichekesha eti nao wamepinga matokeo.hapa nili assume siku ya siku ikifika na CDM ikashinda am sure CCM watapinga nao matokeo,ss hao CCM sitaki kujiuliza kama ni waungwana wa kuweza kukemea tu kwa maneno(kaa ilivyo ada ya wa tz)au nao wataingia msituni/mtaani?jibu la hili swali nahisi hadi ikifika wakati ndio nitajua kwa ss sina la kusema.....
all in all tuzidi waombea hawa wenzetu wawe na amani,mana vita sio jambo jema hata kidogo.
Nawasilisha
Nikiwa ktk harakati zangu za kuangalia CNN wiki hii nzima kwa kiasi fulani nimefurahishwa na habri za uchaguzi wa ivory cost na mara moja habari hiyo imenifanya nikumbuke uchaguzi wetu wa Nov 31,ingawa kwa upande mwingine sifurahishwi na vitendo vya kuona maaskari(un+locals)wakiwa mitaani na mitutu na habari zinazidi sema kuwa yawezekana kukazuka ugomvi.
Sasa basi baadhi ya matukio(see below) yaliyonifanya nifurahi zaidi na kuanza kufikiria je yawezekana tokea hapa Tz na je mtu/watu wanaogopa nini kufanya ivyo au ndio ktk kudumisha mila ya kua wa tz ni waungwana,ni kama ifuatavyo
1)kuona mtu akimpokonya live muhusika wa uchaguzi makaratasi ya matokeo mbele ya waandish alipokua akitangaza matokeo na kuya destroy kwa kuonyesha kuyapinga.Hapa nliwaza siku wahusika wa NEC walipokua wakitangaza ''cooked data/results''zao lingetokea hili tukio ingekuaje?na hapa nazidi somehow prove that maybe tu wastaarabu mana walioonewa waliishia kutoa tu kauli za kumstopisha mtangazaji matokeao hata hivyo kauli hizo hazikuzaa matunda yeyote,wengine waliishia andika tu kwenye magazeti na hakukua na any sort of strike hata kupinga hayo matokeo.
2)Tukio la kuona despite all odds na vituko vya raisi aliekua madarakani lakini bado upinzani wameshinda,ila kinachonichekesha eti nao wamepinga matokeo.hapa nili assume siku ya siku ikifika na CDM ikashinda am sure CCM watapinga nao matokeo,ss hao CCM sitaki kujiuliza kama ni waungwana wa kuweza kukemea tu kwa maneno(kaa ilivyo ada ya wa tz)au nao wataingia msituni/mtaani?jibu la hili swali nahisi hadi ikifika wakati ndio nitajua kwa ss sina la kusema.....
all in all tuzidi waombea hawa wenzetu wawe na amani,mana vita sio jambo jema hata kidogo.
Nawasilisha