Uchaguzi wa Tanzania ni mfano wa kuigwa hapa Afrika

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613
Baada ya Tanzania Kufanya vizuri katika kukabiliana na Corona licha ya kelele nyingi za kumpinga Magufuli kwa jinsi alivyopambana na Corona, Tanzania kwa nara nyingine tena imeidhirishia dunia kwamba inao uwezo mkubwa wa kufanya Mambo yake kwa ufanisi wa hali ya juu baada ya kufanya uchaguzi katika mazingira ya amani, usalama na uwazi wa hali ya juu.

Uchafuzi uliofanyika tarehe 28 October ni mfano wa kuigwa katika eneo zima la Africa kutokana na ukweli kwamba, kwa kiasi kikubwa ulifanyika katika mazingira ya wazi na ukweli, licha ya mapungufu machache ambayo hujitokeza katika chaguzi zote hapa Africa.

Matokeo ya uchaguzi huu, hayatofautiani kabisa na yale ya mwaka 2005, ambapo Kikwete alipata kura 80% na zaidi ya viti 254 vya Ubunge.

Ikumbukwe kwamba, katika chaguzi zote za Tanzania zilizofanyika, hakuna hata uchaguzi mmoja ambapo walioshindwa walikubaliana na matokeo ya uchaguzi, kiukweli katika Africa 90% ya wanaoshindwa hawakubali kushindwa panoja na ukweli kwamba kila kitu kipo wazi kabisa

Katika hili la kufanya uchaguzi wa wazi katika mazingira ya utulivu na amani, linaendelea kuiweka Tanzania katika ramani ya nchi zenye kuheshimika sana hapa Afrika, hasa ikizingatia kwamba, gharama za uchaguzi huu, zote zimelipwa na serikali ya Tanzania, hakuna hata senti moja ya msaada toka nje ya nchi, viva Magufuli, viva Tanzania
 
Uchaguzi huu umekuwa bora hata kuliko wa Marekani. Mapungufu ambayo umeyataja yamesababishwa na wanashari wapinzani ambao tangu mwanzo kabisa walikuwa wameapa kuhujumu na kuvuruga uchaguzi huu. "Mwaka huu patachimbika!" "Lazima patawaka moto!" "Tunduma, mpooo? Hawatatuua wote! Hawawezi! Kwani wao wanalo jeshi kubwa kushinda idadi yetu hii?" ~ Mr Mzungu.
 
Yah tatizo ni internet tu. Waambie hao wakubwa hata watalii wenyewe tunaotegemea wataletwa na Dream liners wanakerwa sana na kukosa internet watafute ufumbuzi. Vinginevyo uchaguzi ulikuwa poooooa na TZ ni kama bustani ya Eden. Imejaa amani na utulivu.
 
Hongereni majirani. :cool:
2606611_1604231861579.png
 
Kama familia take haikumpigia kura kuna shida hapo?
Kama yeye mwenyewe hakujipigia kura kama walivyo Fanya wapinzani wengi unataka tufanyeje?
Kura in siri ya mtu binafsi..Ama unataka tufanye kura iso ya siri?
Hizi ndo akili zenu vijana wa Lumumba hamuhitaji ubongo kufikilia
 
Kwa hyo temeke HAKUNA wafuasi wa CUF?.
Mumezoea kura za kule Twittani na Facebook. Kura in siri, Mkitaka kura iso ya siri mseme ndio tuwakamate pabaya kila uchaguzi
Hizi ndo akili zenu vijana wa Lumumba hamuhitaji ubongo kufikilia
Serikali sio kanisa ama msikiti..Wenyewe mliamua kulala kitanda kimoja na beberu had I mkakodi Robert amstandam..Nchi ya nyerere lazima ilindwe
 
Hyo sio sababu ya kuhalalisha UJAMBAZI wenu.
Ya marekani tuwaachie marekani.
Swali kwanini kura ziibwe?View attachment 1619982View attachment 1619992View attachment 1619993
Ninakumbuka kauli hii ya Lipumba hii ni mara ya 3 anaitoa, aliwahi kuitoa 2005 pia, huwa anazungumza bila ushahidi wowote ule, huyu ni mtu wa kumpuuza sio mtu wa kumsikiliza.

Ninakumbuka alishauriwa sana na Profesa Safari wakati wote wakiwa CUF kutoshiriki uchaguzi wowote badala yake wadai kwanza tume huru ya uchaguzi, akamjibu Profesa Safari kwamba, wakiacha kushiriki uchaguzi ni sawa na kumsusia nyani shamba la mahindi, jambo la kushangaza baada ya kuangushwa vibaya sana katika uchaguzi huu, amesema CUF haitoshiriki tena uchaguzi wowote hadi kupatikane tume huru ya uchaguzi, sasa mtu mwenye akili za hovyo kiasi hiki bado unamuami
 
Na hapo una kipi Cha kusema?
Mumezoea kura za kule Twittani na Facebook. Kura in siri, Mkitaka kura iso ya siri mseme ndio tuwakamate pabaya kila uchaguzi

Serikali sio kanisa ama msikiti..Wenyewe mliamua kulala kitanda kimoja na beberu had I mkakodi Robert amstandam..Nchi ya nyerere lazima ilindwe
Screenshot_20201101-095851.jpg
 
Kama familia take haikumpigia kura kuna shida hapo?
Kama yeye mwenyewe hakujipigia kura kama walivyo Fanya wapinzani wengi unataka tufanyeje?
Kura in siri ya mtu binafsi..Ama unataka tufanye kura iso ya siri?
Kura ni siri kwa kweli, hata dikiteta uchwara ukute alimpigia lissu.
 
Na hapo vipi?
Ninakumbuka kauli hii ya Lipumba hii ni mara ya 3 anaitoa, aliwahi kuitoa 2005 pia, huwa anazungumza bila ushahidi wowote ule, huyu ni mtu wa kumpuuza sio mtu wa kumsikiliza.

Ninakumbuka alishauriwa sana na Profesa Safari wakati wote wakiwa CUF kutoshiriki uchaguzi wowote badala yake wadai kwanza tume huru ya uchaguzi, akamjibu Profesa Safari kwamba, wakiacha kushiriki uchaguzi ni sawa na kumsusia nyani shamba la mahindi, jambo la kushangaza baada ya kuangushwa vibaya sana katika uchaguzi huu, amesema CUF haitoshiriki tena uchaguzi wowote hadi kupatikane tume huru ya uchaguzi, sasa mtu mwenye akili za hovyo kiasi hiki bado unamuami
Screenshot_20201101-095851.jpg
 
Back
Top Bottom