Uchaguzi wa Rais Tanzania upingwe Mahakamani kama sheria na taratibu zitakiukwa!!

mimi ni mwanaccm lakini ni muumini wa katiba mpya ya mhe.warioba.
swala unaliongelea mtoa mada ni gumu kufanyika bila katiba mpya,katiba mpya ndo kila kitu haya ya kenya yameweza kufanyika kutokana na katiba mpya waliyoipigania.
Thanks lakini Rais wa awamu ya Tano amesema katiba mpya siyo kipaumbele chake...hapo tunafanyaje!?!
 
Kama rafiki wa Ngosha yuko bold enough kuongea haya mbele ya media.....jiulize pia kwann hadi leo hajamteua jaji mkuu

e5aa403ba7033b51473352237bec7e30.jpg
Hawa viongozi Wa Africa wengi bure kabisa anaongea utafikiri nchi ni urithi Wa babake
 
Watanzania wafanye nini Sasa...naona kama watanzania wako mbali sana na kujua au kupigania Haki zao. Wao ni ndiyo Mzee shida iko wapi?
Usingizi wa watanzania ndo raha ya watawala, walo amka wazidi kuamsha wenzao japo watakumbana na vikwazo vya CCM na serikali yake
 
Thanks lakini Rais wa awamu ya Tano amesema katiba mpya siyo kipaumbele chake...hapo tunafanyaje!?!
awamu iliyopita ndio alitakiwa kulimaliza hili kabla awamu mpya haijaingia,lakini kutokana na kuweka maslahi ya chama chetu mbele leo ndomana tumekosa hiyo katiba...cha msingi ni kusubiri
 
awamu iliyopita ndio alitakiwa kulimaliza hili kabla awamu mpya haijaingia,lakini kutokana na kuweka maslahi ya chama chetu mbele leo ndomana tumekosa hiyo katiba...cha msingi ni kusubiri
Tunasubiri mpaka lini?
 
Back
Top Bottom