Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,302
- 1,337
Ukiwa bize kuchungulia majirani wakiwa bafuni, kuna uwezekano mkubwa wa kusahau kuoga.
Nani umeona anashangilia hilo chama lenu la kigaidi? Sisi tunachofanya ni kuchochea kuni ili muunguzane vizuri. Chadema hakuna popoma kama wewe,wewe utabakia kuwa mataga tu.Heading ipo vizuri haijapinda.
Naona sasa kila kamanda ni kushangilia juu ya mabadiliko yaliyotokea ndani ya Ccm..
CHADEMA hawana ofisi? Really? Walipataje usajili wa kudumu?Heading ipo vizuri haijapinda.
Naona sasa kila kamanda ni kushangilia juu ya mabadiliko yaliyotokea ndani ya Ccm...
Endelea kutukana. Ukishamaliza utagundua kuwa yule mliyekuwa mkimfurahisha kwa matusi dhidi ya wengine alishatangulia mbele za Haki.Mataga mama yako, pumbavu.
Makamanda kwa sasa wanamshambulia Lazaro Nyalandu kwa uamuzi wake wa kurudi CCM akitumia mistari ya mtunga zaburi mbele ya Madame President Samia.Heading ipo vizuri haijapinda.
Naona sasa kila kamanda ni kushangilia juu ya mabadiliko yaliyotokea ndani ya Ccm...
Kuwaelewa chadema ni ngumu sana,maana hawajui kipi wasimamie
Ofisi waliyonayo ufipa ni matusi ni kama hawana ofisi. Aibu na bado wanamdhambulia Hayati angalieni kesho yenu. Wenzenu wanasonga mbele sasaCHADEMA hawana ofisi? Really? Walipataje usajili wa kudumu?
Tumekusikia kamanda la ukwel toka mitaa ya Lumumba 🤣🤣Heading ipo vizuri haijapinda.
Naona sasa kila kamanda ni kushangilia juu ya mabadiliko yaliyotokea ndani ya Ccm..
Ccm linapokuja suala la kuwanyonga chadema huwa hawaangalii tofauti zao.Nani umeona anashangilia hilo chama lenu la kigaidi? Sisi tunachofanya ni kuchochea kuni ili muunguzane vizuri. Chadema hakuna popoma kama wewe,wewe utabakia kuwa mataga tu.
Mbona nyie mfalme alipojijengea Airport kijijini kwa Trillioni 1.5 hakuna MATAGA aliyehoji?
Ukamanda kwisha kabisa, wamekuwa mifugo wa mwenye chama hao. Wamezidiwa akili hata na wale 19,ambao waliona uzoba sio mali yao wakajiongeza mpaka nchi ya unono na kumwachia faru John mapovu tu.Heading ipo vizuri haijapinda.
Naona sasa kila kamanda ni kushangilia juu ya mabadiliko yaliyotokea ndani ya Ccm..
Tulieni hio ni Kazi ya Mungu na ndiye nnayemuaminiWe unamuamini?