Uchaguzi wa Mwenyekiti CHADEMA utafanyika lini?

Gangongine

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
3,854
1,776
Ni muda mrefu sasa Chama kinachojinasibu kuwa cha Demokrasia kimeendelea kuwa na Mwenyekiti asiye na Ukomo.

Matokeo yake Chama kinazidi kuporomoka kwa kasi ya ajabu kwa kuteua Katibu Mkuu asiye na uwezo na kuitupa Sera ya Kupinga Ufisadi na Kutetea Rasilimali za Nchi.

Kwa kukosa mwelekeo sasa Chama hakina Dira wala Mwelekeo zaidi ya kufanya Vurugu ndani ya Bunge na kukosoa hata yale ambayo yana tija kwa Taifa eti kwa kuwa yanafanywa na CCM.

Ndio maana nauliza hivi hakuna ukomo wa Uenyekiti katika Chama hiki ambacho kilikuwa tishio wakati wa Dr Slaa na kabla ya kuwapokea waliokataliwa na CCM?
 
16711977_10206681252908262_8080622556719525945_n.jpg
 
waacheni wenye chama chao ndio walalamike. muda ukifika watachagua mwenyekiti wao,kama ambavyo ccm walivyovunja katiba ya chama chao kwa "kumkabidhi kijiti" uenyekiti wa ccm taifa rais JPM kabla ya wakati (2017) kwa kisingizio cha "huu ndio utamaduni wa chama chetu."
 
Ni muda mrefu sasa Chama kinachojinasibu kuwa cha Demokrasia kimeendelea kuwa na Mwenyekiti asiye na Ukomo.

Matokeo yake Chama kinazidi kuporomoka kwa kasi ya ajabu kwa kuteua Katibu Mkuu asiye na uwezo na kuitupa Sera ya Kupinga Ufisadi na Kutetea Rasilimali za Nchi.

Kwa kukosa mwelekeo sasa Chama hakina Dira wala Mwelekeo zaidi ya kufanya Vurugu ndani ya Bunge na kukosoa hata yale ambayo yana tija kwa Taifa eti kwa kuwa yanafanywa na CCM.

Ndio maana nauliza hivi hakuna ukomo wa Uenyekiti katika Chama hiki ambacho kilikuwa tishio wakati wa Dr Slaa na kabla ya kuwapokea waliokataliwa na CCM?
Mbowe akizeeka
 
Wanadai katiba mpya ya nchi wakati ya kwao hawana hata uelewa nayo.....

Mbowe onyesha ukomo kuhusu uenyekiti wako ndio uhoji uhalali wa katiba ya Jamuhuri.
 
chadema ni chama cha wasanii na wapiga dili,pale hakuna uchaguzi na ole wako uulize uchaguzi wa Taifa ndio utajua nguvu za Mbowe
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom