Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Ni muda mrefu sasa Chama kinachojinasibu kuwa cha Demokrasia kimeendelea kuwa na Mwenyekiti asiye na Ukomo.
Matokeo yake Chama kinazidi kuporomoka kwa kasi ya ajabu kwa kuteua Katibu Mkuu asiye na uwezo na kuitupa Sera ya Kupinga Ufisadi na Kutetea Rasilimali za Nchi.
Kwa kukosa mwelekeo sasa Chama hakina Dira wala Mwelekeo zaidi ya kufanya Vurugu ndani ya Bunge na kukosoa hata yale ambayo yana tija kwa Taifa eti kwa kuwa yanafanywa na CCM.
Ndio maana nauliza hivi hakuna ukomo wa Uenyekiti katika Chama hiki ambacho kilikuwa tishio wakati wa Dr Slaa na kabla ya kuwapokea waliokataliwa na CCM?
Matokeo yake Chama kinazidi kuporomoka kwa kasi ya ajabu kwa kuteua Katibu Mkuu asiye na uwezo na kuitupa Sera ya Kupinga Ufisadi na Kutetea Rasilimali za Nchi.
Kwa kukosa mwelekeo sasa Chama hakina Dira wala Mwelekeo zaidi ya kufanya Vurugu ndani ya Bunge na kukosoa hata yale ambayo yana tija kwa Taifa eti kwa kuwa yanafanywa na CCM.
Ndio maana nauliza hivi hakuna ukomo wa Uenyekiti katika Chama hiki ambacho kilikuwa tishio wakati wa Dr Slaa na kabla ya kuwapokea waliokataliwa na CCM?