Uchaguzi wa mwaka huu una mambo kweli kweli, tutupie hapa picha au katuni zinazousiana na uchaguzi huu

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
18,578
20,876
1601181805903.png
 
Tatizo ambalo lipo kwa CCM mpaka kufikia hatua hii ni kwamba shida ipo ndani ya chama ndani ya system ya chama in inner circle na hapa vita ipo hivi wanaokula kwa unono vs ambao wapo wapo lakini mioyoni hawapo ambao they can reach 80%, ugali was the case how they can putty all members together including me
 
Hii nchi ni ya chama kimoja...

Wazee wenzangu mnanielewa.. ukiona kama hunielewi,basi jua we bado mtoto.
 
Back
Top Bottom