Capitano
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 1,959
- 1,633
Mkuu usihangaike na watu wa aina hiyo hao ni wale wenzetu ambao bado wako karne ya 19 na msamiati yao kama mabeberu sijui makupe and so on. Hao huwa wanasaidiwa mpaka kufikiriacha uongo hapo yupo na waandishi wa habari