Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Hakika...... Mungu wa Tundu Lissu ndio Mungu wa Tanzania na WatanzaniaAmini Amini nakwambia, Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025 ni Tundu Antiphas Lissu
Hakika...... Mungu wa Tundu Lissu ndio Mungu wa Tanzania na WatanzaniaAmini Amini nakwambia, Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025 ni Tundu Antiphas Lissu
Kwel mkuu, uchaguzi wa 2025 ndio utakuwa mgumu lkn huu wa 2020 sio mgumu kwa ccm mana ht 2015 watu walsema n uchaguzi mgumu lkn bd upinzani wakafa kifo cha mendeKama kuna Uchaguzi Mkuu ambao nauona kuwa ndiyo utakuja kuwa Mgumu na huenda hata Kuipasua CCM na Tanzania ni ujao wa mwaka 2025.
Rudia darasa la nne ili uhitimu vizuri "KKK".Lissu hapati hata 5% ya kula. Hiyo ndiyo habali.
What type of arsenal can you use to fight peoples' wish? History has proved any usable arsenal useless.CCM haijwahi kushindwa. Nina polisi, nina jeshi, nina usalama wa taifa, nina wakurugenzi, media zote ni za kwangu, coverage ya uchaguzi kwenye TV ni nayo, wasanii ninao, nimejenga miradi mingi kwa mda mfupi, nimeweka watu wangu wote kwenye sehemu nyeti zote sasa wapinzani mna kitu hapo kweli. Upinzani utachukua mda mrefu kutawala nchi hii. Kuangusha huu mti unahitaji Supernatural Power. Lisu kuwa raisi wa nchi hii ni hapo Mungu tu aamuwe mwenyewe kuangusha mti ulioshinda wengi. Kwa maana hiyo lazima kuwe na Supenatiral Power ya kumwezesha Lisu kuwa madarakani.
Haiwezi kutokea na haitatokea kwa mazingira ya sasa.Amini Amini nakwambia, Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025 ni Tundu Antiphas Lissu