Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Uchaguzi wa mwaka huu ni mgumu sana kuwahi kutokea kwa sababu hizi chache tu;
1. Tundu Lissu ni Mwanasheria mbobevu na makini kiasi kwamba utampa haki yake kiuhalali kabisa.
2. Mpaka sasa CCM pamoja na kutumia wasani wengi na mabango kila kona, bado kampeni zao na ujazaji wa watu uwanjani unafanana na pengine kuzidiwa na CHADEMA.
3. Kwa sababu Wasimamizi wote wa uchaguzi kuanzia Mwenyekiti wake mpaka wasimamizi wasaidizi ni wateule wake woye, bila shaka anafikiria hawawezi kumuangusha. Hapa ndio mwanzo na matatizo yote, tuliona ilivyokua MALAWI tusilichukulie poa hili, Lissu ni mwana siasa mjanja na jeuri siyo sawa na LOWASSA CCM wasijidanganye. Dola haijawahi kushinda umma hilo wafahamu.
4. Miradi mingi aliyoianzisha Magufuli haijamalizika, anafikiri labda atatumia kila njia kuhakikisha anashinda. Hama experience na Umma uliokamilika, asubiri ashinde kwa uhalali maana akishindwa hatarudi tena Ikulu.
1. Tundu Lissu ni Mwanasheria mbobevu na makini kiasi kwamba utampa haki yake kiuhalali kabisa.
2. Mpaka sasa CCM pamoja na kutumia wasani wengi na mabango kila kona, bado kampeni zao na ujazaji wa watu uwanjani unafanana na pengine kuzidiwa na CHADEMA.
3. Kwa sababu Wasimamizi wote wa uchaguzi kuanzia Mwenyekiti wake mpaka wasimamizi wasaidizi ni wateule wake woye, bila shaka anafikiria hawawezi kumuangusha. Hapa ndio mwanzo na matatizo yote, tuliona ilivyokua MALAWI tusilichukulie poa hili, Lissu ni mwana siasa mjanja na jeuri siyo sawa na LOWASSA CCM wasijidanganye. Dola haijawahi kushinda umma hilo wafahamu.
4. Miradi mingi aliyoianzisha Magufuli haijamalizika, anafikiri labda atatumia kila njia kuhakikisha anashinda. Hama experience na Umma uliokamilika, asubiri ashinde kwa uhalali maana akishindwa hatarudi tena Ikulu.