Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,283
- 33,887
Hivi watanzania wameshaandaa ni nini wanataka wanasiasa wawatendee wakichaguliwa kuwa viongozi wao? Ajenda kwenye mambo haya ziwe zipi?
- Kilimo
- Ajira
- sayansi na teknolojia
- Elimu
- Mahusiano ya Kimataifa
- Uchumi na biashara
- Ulinzi na usalama
- Usawa wa kijinsia
- Maendeleo ya jamii
- Miundombinu na usafirishaji
- Haki za raia
- Nishati na madini