Zitto
Former MP Kigoma Urban
- Mar 2, 2007
- 1,562
- 10,880
Katika hatua ya kushangaza kabisa, Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji ameahirisha uchaguzi wa Meya. Katika Halmashauri hii CHADEMA ina madiwani wengi zaidi ya CCM na nafasi ya Meya na Naibu Meya ni ya chama chetu.
Mkurugenzi wa Manispaa amesema kapigiwa simu na Waziri wa TAMISEMI na kumwagiza aahirishe. Nimewasiliana na Waziri wa nchi TAMISEMI mhe Mkuchika na amesema yupo Newala na hajatoa agizo hilo na kwamba Serikali inaendeshwa kwa maandishi.
CCM wamegoma kuja kikaoni. Mkurugenzi kakimbia kikao na ofisi. CHADEMA imetimiza quoram lakini kikao hakifanyiki.
This is democracy at its best.
Mkurugenzi wa Manispaa amesema kapigiwa simu na Waziri wa TAMISEMI na kumwagiza aahirishe. Nimewasiliana na Waziri wa nchi TAMISEMI mhe Mkuchika na amesema yupo Newala na hajatoa agizo hilo na kwamba Serikali inaendeshwa kwa maandishi.
CCM wamegoma kuja kikaoni. Mkurugenzi kakimbia kikao na ofisi. CHADEMA imetimiza quoram lakini kikao hakifanyiki.
This is democracy at its best.