Emmanuel J. Buyamba
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 1,167
- 651
Ndugu watanzania taarifa nilizozipokea hivi punde na kuthibitishwa na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Msalala mkoani ni Shinyanga ndio hizo.
Inasemekana kuna waraka toka TAMISEMI makao makuu kwenda wilaya zote umetumwa mchana wa leo.
Kiukweli hii Tamisemi haijawatendea haki wananchi hapa.Hii ni kwa sababu jana walisema marudio ni Jumamosi ijayo.
Wito:wafuasi hasa wa UKAWA jiridhisheni na hili na kama ni kweli basi fanyeni kila mbinu kuwafahamisha wapiga kura wetu.CCM na TAMISEMI kuna jambo wanalitaka ndio maana wametukurupusha iwe kesho.
Nawasilisha!!!.
======================
Chanzo:IPP Media
Inasemekana kuna waraka toka TAMISEMI makao makuu kwenda wilaya zote umetumwa mchana wa leo.
Kiukweli hii Tamisemi haijawatendea haki wananchi hapa.Hii ni kwa sababu jana walisema marudio ni Jumamosi ijayo.
Wito:wafuasi hasa wa UKAWA jiridhisheni na hili na kama ni kweli basi fanyeni kila mbinu kuwafahamisha wapiga kura wetu.CCM na TAMISEMI kuna jambo wanalitaka ndio maana wametukurupusha iwe kesho.
Nawasilisha!!!.
======================
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA WAFANIKIWA KWA ASILIMIA 98
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia akiri mapungufu katika Uchaguzi wa Serikali Mitaa uliofanyika jana, asema serikali itawachukulia hatua watendaji wake watakaobainika kufanya uzembe na hata kama ni yeye asema yuko tayari kuwajibika.
Uchaguzi kurudiwa Jumamosi na Jumapili katika baadhi ya maeneo.
Chanzo:IPP Media