Uchaguzi wa Marekani umemalizika, tumeona umuhimu wa kujenga taasisi imara sio watu imara

Uchaguzi wa Marekani umemalizika rasmi leo usiku kwa Rais mteule Joe Biden kuthibitishwa na mabunge yote mawili kuwa rais wa nchi hiyo baada ya rais Trump kwa kipindi cha miezi miwili kuhangaika kupinga matokeo ya uchaguzi huo uliofanyika Novemba mwaka jana.

Tulichojifunza zaidi ni jinsi uchaguzi huu ulivyofanyika na mapungufu yake yalivyofanyiwa kazi na vyombo husika chini ya mihimili mitatu ya nchi hiyo na jinsi utawala wa sheria ulivyoheshimiwa na demokrasia kuachwa ichukue mkondo wake.

Baada ya matokeo kutangazwa Trump alipeleka malalamiko yake Mahakamani akipinga matokeo ya baadhi ya majimbo, mahakama ikasema malalamiko yake hayakuwa na msingi wowote kwa vile hayana ushahidi.

A district court in Nevada shot down the Trump’s claims, finding “that there is no credible or reliable evidence that the 2020 General Election was affected by fraud.”

Jumamosi 2/1/2021 simu ya Trump ilidukuliwa akimpigia Afisa Tume ya uchaguzi wa Georgia Brad Raffensperger akitaka atafute kura 11,780 za ushindi akakataliwa.

“I just want to find 11,780 votes, which is one more than we have. Because we won the state," said Trump on call.

“President Trump, we’ve had several lawsuits, and we’ve had to respond in court to the lawsuits and the contentions," Raffensperger told Trump on the call. "We don’t agree that you have won."

Siku chache kabla ya Bunge la Congress kukutana kuthibitisha ushindi wa Biden, Makamu wa rais Mike Pence alikataa shinikizo la boss wake Trump la kumtaka kuingilia kati matokeo ya kura Electral College Votes na kuzuia kuthibitishwa kwa Rais mteule Jo Biden, Pence alimwambia hana uwezo huo.

"Our Founders were deeply skeptical of concentrations of power and created a Republic based on separation of powers and checks and balances under the Constitution.”

"The Presidency belongs to the American people, and to them alone," Pence told Trump.

Huu ni uthibitisho kuwa viongozi wengi walisimamia haki, utawala wa sheria, imagine makamu wa rais wa Tanzania au nchi yeyote ya Afrika angekataa maelekezo ya rais aliye madarakani.

Baada ya Trump kuona ugumu wa kuitumia mihimili ya Mahakama, Ofisi ya rais White House na Bunge, suluhisho la mwisho lilikuwa ni kuwatumia wafuasi wake na baadhi ya wabunge wa chama chake kuvamia bunge na kujaribu kuzuia mjadala wa kumthibitisha Biden kwa nguvu jaribio ambalo nalo halikufanikiwa.

Mitchell McConnell wa chama cha REPUBLICAN chama anachotoka TRUMP ndani ya Congress alisema;

"I will vote to respect the American people’s decision & defend our system of government. My full remarks".

Kwa Tanzania ni mbunge gani wa chama tawala anaweza kumwambia hivyo rais aliye madarakani.

Pamoja na wafuasi wa Trump kuvamia na kuingia hadi kwenye ukumbi wa bunge na ofisi ya Spika hatukuona polisi kutumia nguvu kupita kiasi kuwatawanya, najiuliza ingekuwa Dodoma watu wamevamia bunge kiasi hicho wakati huu tungekuwa na vifo vingapi na gereza la Isanga lisingetosha.

Pamoja na hayo yote leo Trump amekubali kukabidhi madaraka ifikapo 20/1/2021. Bila taasisi imara leo Trump asingekubali kutoka madarakani.

Tujifunze kuheshimu taasisi zetu, katiba na sheria tulizojitungia na tuache uhuru wa wananchi kufikisha hisia zao kwa vyombo vinavyohusika. Tutumie uchaguzi wa Marekani kuwa kama somo kwetu hasa kwa watawala wa nchi zetu za ki Afrika wanaojiona wao kama miungu watu, kuwa hakuna aliye juu ya sheria hata kama ni rais.
Marekani ndio waje wajifunze kwetu maana ni aibu kubwa kwa Taifa kama lile kufanya uchaguzi kwa kelele.
Ni wazi viongozi wa Marekani wamekosa Political torelance.
No democracy in U. S wao ndio waje wajifunze kwetu.
 
Taasisi zetu ni imara lakini zilijengwa kwa ajili ya kukilinda na kukiimarisha chama tawala kiendelee kukaa madarakani. Hi ni tofauti na nchi za magharibi kama Marekani ambazo taasisi na katiba zao ni kuongeza udhaifu wa serikali (limit government power) kwa kutumia checks and balances. Hata Nyerere alivyopendekeza mfumo wa vyama vingi nia yake ilikuwa ni kuimarisha CCM maana alionea wanaenda vibaya. Siyo kwamba alitegemea kuna siku upinzani utashinda na kutawala nchi.
 
Uchaguzi wa Marekani umemalizika rasmi leo usiku kwa Rais mteule Joe Biden kuthibitishwa na mabunge yote mawili kuwa rais wa nchi hiyo baada ya rais Trump kwa kipindi cha miezi miwili kuhangaika kupinga matokeo ya uchaguzi huo uliofanyika Novemba mwaka jana.

Tulichojifunza zaidi ni jinsi uchaguzi huu ulivyofanyika na mapungufu yake yalivyofanyiwa kazi na vyombo husika chini ya mihimili mitatu ya nchi hiyo na jinsi utawala wa sheria ulivyoheshimiwa na demokrasia kuachwa ichukue mkondo wake.

Baada ya matokeo kutangazwa Trump alipeleka malalamiko yake Mahakamani akipinga matokeo ya baadhi ya majimbo, mahakama ikasema malalamiko yake hayakuwa na msingi wowote kwa vile hayana ushahidi.

A district court in Nevada shot down the Trump’s claims, finding “that there is no credible or reliable evidence that the 2020 General Election was affected by fraud.”

Jumamosi 2/1/2021 simu ya Trump ilidukuliwa akimpigia Afisa Tume ya uchaguzi wa Georgia Brad Raffensperger akitaka atafute kura 11,780 za ushindi akakataliwa.

“I just want to find 11,780 votes, which is one more than we have. Because we won the state," said Trump on call.

“President Trump, we’ve had several lawsuits, and we’ve had to respond in court to the lawsuits and the contentions," Raffensperger told Trump on the call. "We don’t agree that you have won."

Siku chache kabla ya Bunge la Congress kukutana kuthibitisha ushindi wa Biden, Makamu wa rais Mike Pence alikataa shinikizo la boss wake Trump la kumtaka kuingilia kati matokeo ya kura Electral College Votes na kuzuia kuthibitishwa kwa Rais mteule Jo Biden, Pence alimwambia hana uwezo huo.

"Our Founders were deeply skeptical of concentrations of power and created a Republic based on separation of powers and checks and balances under the Constitution.”

"The Presidency belongs to the American people, and to them alone," Pence told Trump.

Huu ni uthibitisho kuwa viongozi wengi walisimamia haki, utawala wa sheria, imagine makamu wa rais wa Tanzania au nchi yeyote ya Afrika angekataa maelekezo ya rais aliye madarakani.

Baada ya Trump kuona ugumu wa kuitumia mihimili ya Mahakama, Ofisi ya rais White House na Bunge, suluhisho la mwisho lilikuwa ni kuwatumia wafuasi wake na baadhi ya wabunge wa chama chake kuvamia bunge na kujaribu kuzuia mjadala wa kumthibitisha Biden kwa nguvu jaribio ambalo nalo halikufanikiwa.

Mitchell McConnell wa chama cha REPUBLICAN chama anachotoka TRUMP ndani ya Congress alisema;

"I will vote to respect the American people’s decision & defend our system of government. My full remarks".

Kwa Tanzania ni mbunge gani wa chama tawala anaweza kumwambia hivyo rais aliye madarakani.

Pamoja na wafuasi wa Trump kuvamia na kuingia hadi kwenye ukumbi wa bunge na ofisi ya Spika hatukuona polisi kutumia nguvu kupita kiasi kuwatawanya, najiuliza ingekuwa Dodoma watu wamevamia bunge kiasi hicho wakati huu tungekuwa na vifo vingapi na gereza la Isanga lisingetosha.

Pamoja na hayo yote leo Trump amekubali kukabidhi madaraka ifikapo 20/1/2021. Bila taasisi imara leo Trump asingekubali kutoka madarakani.

Tujifunze kuheshimu taasisi zetu, katiba na sheria tulizojitungia na tuache uhuru wa wananchi kufikisha hisia zao kwa vyombo vinavyohusika. Tutumie uchaguzi wa Marekani kuwa kama somo kwetu hasa kwa watawala wa nchi zetu za ki Afrika wanaojiona wao kama miungu watu, kuwa hakuna aliye juu ya sheria hata kama ni rais.
Kwani kwenye hizo vurugu za Marekani hakuna waliokufa ? Usipindishe ukweli. Tabia ya kupinga kila kitu bila ushahidi hapa TZ ndio kilichoathiri upinzani hapa kwetu. USA wamethibitisha kwamba Demokrasia mnayoimba usiku na mchana siyo rahisi kivile ni ushabiki maandazi tu.
 
Huna hoja wewe. Unawajua waliouawa wewe ? Popote duniani ukileta ujuaji wa kupinga pinga unakula shaba tu.
Hao wanne waliokula shaba unajua ni wa upende wa Trump? Nchi zetu za Africa hilo linawezekana? Jaribu kuiangalia hoja ya mleta mada kwa upana wake zaidi, kuliko kujikita kwenye hoja ya watu wanne waliouawa na polisi wakati wa kuzuia wafuasi wa Trump wasiingie kwenye ukumbi wa bunge.
 
Nani kapindua matokeo hapa kwetu ? Toka kampeini zilipoanza hapa kwetu mgombea uraisi wa upinzani ni kutoa matusi tu bila hoja za msingi. Unategemea angeshinda uraisi huyo ? Pinga pinga popote duniani mwisho wao ni huwa ni shaba tu kama ilivyotokea kwa hao wanaojiita wanademokrasia ( USA ).
Obama alisema "Afrika haitaji maraisi wazuri bali taasisi bora na imara" sas nakubali alichosema huyo nguli wa siasa na utawala bora duniani. Kilicho mfanya Trump kusema Pooo ni mifumo.

Kila aliyempa maelekezo aliyakaa mpk makamu wake kasema MZEE SIWEZ PINDUA MAAMUZI YA WAMAREKANI. Sisi Wauni wanapindua maamuz yetu na tunacheka. Cku yaja haiko mbali hata kama kwa miaka itafika tutaheshimiana.
 
Ingetokea sawa tu yaliyotokea USA. Ni kula shaba kwa kwenda mbele. Kwa nini ubembelezwe na wewe unaleta fujo ?
Jaribu kufikiri kama hilo lingetokea Dodoma watu wamevamia pale Bungeni kuzuia wakina Mdee wasiapishwe, wanavamia wanaingia hadi kwenye ofisi ya Ndungai, jaribu kupata picha nini kingetokea! nadhani mitaro yote hapo jirani ingejaa maji mekundu nasema hivyo si kwa sababu za kisiasa ila ueredi wa kukabiriana na hali kama hiyo hatuna kabisa,hasa ikijulikana wanaoandamana ni wa upande furani aaa hapo ndio kabisaaa, ungeshuhudia mambo yakusikitisha na kukusononesha maisha yako yote mpaka utakapoingia kaburini.
 
Kwa sababu nni Kiongozi halali.
Huko Tanganyika kura zinahesabiwa kwenye geto la ndugai.

Kazi ya genge la mahera ni kutangaza tu kile kilichopikwa tayari.

Rais ni Mungu mtu. Hagusiki. ALFA AND OMEGA.

Anaweza kuamrisha lolote na likatokea immediately on the spot.

Mahakama inamtetemekea na kumsujudia mfalme. Hakuna mjinga yeyote wa kumuhoji chochote.
 
Wamepigwa sana tu.
Pamoja na "MATAGA" wa marekani kuandamana wakitaka bwana "TRUMP" asalie madarakani pamoja na kushindwa, ila hujasikia IGP wakule akisema watapigwa kipigo cha mbwa koko, makamo wa raisi Mike Pence yani mama Samia Suluhu Wakule kasema "MATAGA" hao wanaiaibisha MAREKANI.
Ccm na vibaraka wenu mna la kujifunza.
 
Kama zilivyo na nguvu Taasisi zetu. Kuwatia adabu pinga pinga wote wa bila sababu.
Sio kwamba hawajui kuwa taasisi za huko zina nguvu, bali wanajaribu kupotosha ili tusione nguvu ya hizo taasisi.
 
Imetumika kwa nidhamu wakati kuna watu wamelamba shaba, we vipi ?
Ndio, ni sahihi polisi kudhibiti ghasia.

Ulitakaje labda?

Lakini unaweza kuona namna taasisi ya polisi inavyotumika kwa nidhamu.

Ingekuwa Tanganyika, polisi wanapata wapi ujasiri wa kuwadhibiti wafuasi wa rais aliyeko madarakani? Ulikisia wapi?

Ni sawa na polisi wawapige wanachama wa CCM! Thubutu! Huyo mkuu wa kituo atashughulikiwa mpaka maji aite mma.

Na mapolisi waliohusika wangefukuzwa kazi summarily na kuwa disarmed immediately!

Huko kwenye hako kanchi kenu cha kufikirika, polisi ni mali ya chama.

Kwenye nchi zenye nidhamu ya kisiasa, polisi ni taasisi huru inayofanya kazi professionally, sio kufuata matakwa ya mwenyekiti wa UENEZI sijui.

Mimi huwa nasikia tu, mara sijui mwenyekiti wa UENEZI ameamrisha polisi!
 
Marekani wameiga kwetu ukipinga bila sababu na kuleta vurugu ni shaba tu
Ni kweli kabisa watanzani (Tanzania) na vyombo vyake vyote vya dola ikiwemo mahaka na nchi zote za Africa watoe mfano na kuiga utawala wa sheria, democrasia na katiba kama ndugu zetu wa USA (Marekani).
Na vyombo vyetu hivi vya dola kama mahakama, tume ya uchaguzi, jeshi(polisi) visiingiliwe na wanasiasa wala wasijihusishe na wanasiasa (siasa) bila ya kujali ni mwanasiasa wa chama gani anaongoza nchi, vyombo vyote vya dola viwe huru na kufuata sheria.
Kama katiba yetu hairuhusu hayo, basi katiba yetu ibadilishwe mapema mno kwaajili ya maslahi sawa kwa wote na haki sawa kwa wote. Ikiwezekana katiba yetu na za nchi nyingine za Africa iwe kama ya USA(Marekani) kabisa. (Mazuri tuyaige na kuyachukua, mabaya tuwaachie na tuyaache)
Hii itasaidia sana kukomaza democrasia na kupunguza mabavu ya watawala wanaong'ang'ania madaraka na kufanya mambo kama watakavyo katika nchi zetu hizi za Africa. Mfano mzuri tumekwisha jionea USA(Marekani).
 
Kwani wazungu siyo wahamiaji huko USA ? Yaani hata historia hujui ! Pole sana
Kilichooneka marekani sio democrasia, Kwa sababu hizi. 01. Trumpo anadai ameibiwa kura. 2. Black american 90% vote Biden 3.Most asian vote for biden 4.wahamiaji ,vibaka, waharifu vote biden. 5. Biden amewadanyanya wasio na elimu kuwa Trumpo amesababisha watu kufa kwa Covid-19. Ndio maana Trumpo anasema ushindi wa biden ni wa udanyanyifu, kwa sababu amepata kula kwa kudanyanya watu juu covid-19, ubaguzi wamarekani weusi
 
Kwani Tanzania kuna upinzani?
Taasisi zetu ni imara lakini zilijengwa kwa ajili ya kukilinda na kukiimarisha chama tawala kiendelee kukaa madarakani. Hi ni tofauti na nchi za magharibi kama Marekani ambazo taasisi na katiba zao ni kuongeza udhaifu wa serikali (limit government power) kwa kutumia checks and balances. Hata Nyerere alivyopendekeza mfumo wa vyama vingi nia yake ilikuwa ni kuimarisha CCM maana alionea wanaenda vibaya. Siyo kwamba alitegemea kuna siku upinzani utashinda na kutawala nchi.
 
Uchaguzi wa Marekani umemalizika rasmi leo usiku kwa Rais mteule Joe Biden kuthibitishwa na mabunge yote mawili kuwa rais wa nchi hiyo baada ya rais Trump kwa kipindi cha miezi miwili kuhangaika kupinga matokeo ya uchaguzi huo uliofanyika Novemba mwaka jana.

Tulichojifunza zaidi ni jinsi uchaguzi huu ulivyofanyika na mapungufu yake yalivyofanyiwa kazi na vyombo husika chini ya mihimili mitatu ya nchi hiyo na jinsi utawala wa sheria ulivyoheshimiwa na demokrasia kuachwa ichukue mkondo wake.

Baada ya matokeo kutangazwa Trump alipeleka malalamiko yake Mahakamani akipinga matokeo ya baadhi ya majimbo, mahakama ikasema malalamiko yake hayakuwa na msingi wowote kwa vile hayana ushahidi.

A district court in Nevada shot down the Trump’s claims, finding “that there is no credible or reliable evidence that the 2020 General Election was affected by fraud.”

Jumamosi 2/1/2021 simu ya Trump ilidukuliwa akimpigia Afisa Tume ya uchaguzi wa Georgia Brad Raffensperger akitaka atafute kura 11,780 za ushindi akakataliwa.

“I just want to find 11,780 votes, which is one more than we have. Because we won the state," said Trump on call.

“President Trump, we’ve had several lawsuits, and we’ve had to respond in court to the lawsuits and the contentions," Raffensperger told Trump on the call. "We don’t agree that you have won."

Siku chache kabla ya Bunge la Congress kukutana kuthibitisha ushindi wa Biden, Makamu wa rais Mike Pence alikataa shinikizo la boss wake Trump la kumtaka kuingilia kati matokeo ya kura Electral College Votes na kuzuia kuthibitishwa kwa Rais mteule Jo Biden, Pence alimwambia hana uwezo huo.

"Our Founders were deeply skeptical of concentrations of power and created a Republic based on separation of powers and checks and balances under the Constitution.”

"The Presidency belongs to the American people, and to them alone," Pence told Trump.

Huu ni uthibitisho kuwa viongozi wengi walisimamia haki, utawala wa sheria, imagine makamu wa rais wa Tanzania au nchi yeyote ya Afrika angekataa maelekezo ya rais aliye madarakani.

Baada ya Trump kuona ugumu wa kuitumia mihimili ya Mahakama, Ofisi ya rais White House na Bunge, suluhisho la mwisho lilikuwa ni kuwatumia wafuasi wake na baadhi ya wabunge wa chama chake kuvamia bunge na kujaribu kuzuia mjadala wa kumthibitisha Biden kwa nguvu jaribio ambalo nalo halikufanikiwa.

Mitchell McConnell wa chama cha REPUBLICAN chama anachotoka TRUMP ndani ya Congress alisema;

"I will vote to respect the American people’s decision & defend our system of government. My full remarks".

Kwa Tanzania ni mbunge gani wa chama tawala anaweza kumwambia hivyo rais aliye madarakani.

Pamoja na wafuasi wa Trump kuvamia na kuingia hadi kwenye ukumbi wa bunge na ofisi ya Spika hatukuona polisi kutumia nguvu kupita kiasi kuwatawanya, najiuliza ingekuwa Dodoma watu wamevamia bunge kiasi hicho wakati huu tungekuwa na vifo vingapi na gereza la Isanga lisingetosha.

Pamoja na hayo yote leo Trump amekubali kukabidhi madaraka ifikapo 20/1/2021. Bila taasisi imara leo Trump asingekubali kutoka madarakani.

Tujifunze kuheshimu taasisi zetu, katiba na sheria tulizojitungia na tuache uhuru wa wananchi kufikisha hisia zao kwa vyombo vinavyohusika. Tutumie uchaguzi wa Marekani kuwa kama somo kwetu hasa kwa watawala wa nchi zetu za ki Afrika wanaojiona wao kama miungu watu, kuwa hakuna aliye juu ya sheria hata kama ni rais.
Naona umejaribu kutafuta "angle" nzuri ya kupenyeza ajenda yako katika hili.

Inawezekana ni kweli hizo taasisi unazozisema zikawa na nguvu na kutekeleza majukumu yao kulingana na matakwa ya wananchi.

Lakini Marekani wana taasisi nyingi sana zenye majukumu mbalimbali hivyo tukio hili pia limetufunza kwamba katika masuala ya kiusalama ilitakiwa Donald trump apitie vinu vikali kabla ya jina lake kupendekezwa mgombea wa uraisi mwaka 2015.

Hilo ni kosa namba moja, kumwachia mtu kama Donald Trump ambae mpaka sasa anaonekana ana mapungufu kiakili, kushika ofisi kubwa duniani ya uraisi na kukalia vitufe vya makombora ya nyuklia.

Pili, kuhusu ghasia za Capitol ni kwamba hakukuwepo polisi wa kutosha kwenye first barrier of security hivyo kulipotokea breach ikawa ngumu kwa polisi wachache walokuwepo kukabiliana na uwingi wa wafanya vurugu.

Hivyo hakukuwepo mpangilio maalum au planning kwamba Capitol pana mjadala wa kumpitisha Biden hivyo security lazima ingekuwa "beefed up".

Na mwisho ni kushindwa kwa integensia kutambua kuwepo na mpango wa vurugu hizo ambazo zimesababisha vifo vya watu watano akiwepo askari polisi.

Yaani vyombo vya kijasusi vya Marekani NSA, FBI na vingine kushindwa kubaini mipango ya vurugu, hapo pia tuna la kujifunza kwa upande wetu kama kainchi ka Afrika.

Ila vyombo vya usalama vya Tanzania pamoja na kauwezo vilivyo navyo vilijiandaa mapema kabla, wakati na baada ya uchaguzi na moja ya maeneo ya kuyaangalia kwa ukaribu ilikuwa ni mitandao ya kijamii na kuhakikisha Tweeter haitumiwi vibaya kusambaza taharuki.
 
Naona umejaribu kutafuta "angle" nzuri ya kupenyeza ajenda yako katika hili.

Inawezekana ni kweli hizo taasisi unazozisema zikawa na nguvu na kutekeleza majukumu yao kulinagna na matakwa ya wananchi.

Lakini Marekani wana taasisi nyingi sana zenye majukumu mbalimbali hivyo tukio hili pia limetufunza kwamba katika masuala ya kiusalama ilitakiwa Donald trump apitie vinu vikali kabla ya jina lake kupendekezwa mgombea wa uraisi mwaka 2015.

Hilo ni kosa namba moja, kumwachia mtu kama Donald Trump ambae mpaka sasa anaonekana ana mapungufu kiakili, kushika ofisi kubwa duniani ya uraisi na kukalia vitufe vya makombora ya nyuklia.

Pili, kuhusu ghasia za Capitol ni kwamba hakukuwepo polisi wa kutosha kwenye first barrier of security hivyo kulipotokea breach ikawa ngumu kwa polisi wachache walokuwepo kukabiliana na uwingi wa wafanya vurugu.

Hivyo hakukuwepo mpangilio maalum au planning kwamba Capitol pana mjadala wa kumpitisha Biden hivyo security lazima ingekuwa "beefed up".

Na mwisho ni kushindwa kwa integensia kutambua kuwepo na mpango wa vurugu hizo ambazo zimesababisha vifo vya watu wanne.

Yaani vyombo vya kijasusi vya Marekani NSA, FBI na vingine kushindwa kubaini mipango ya vurugu, hapo pia tuna la kujifunza kwa upande wetu kama kainchi ka Afrika.

Ila vyombo vya usalama vya Tanzania pamoja na kauwezo vilivyo navyo vilijiandaa mapema kabla, wakati na baada ya uchaguzi na moja ya maeneo ya kuyaangalia kwa ukaribu ilikuwa ni mitandao ya kijamii na kuhakikisha Tweeter haitumiwi vibaya kusambaza taharuki.
Wewe ni ntu makini na tena mwenye busara sana
 
Taasisi zote muhimu Nchini JWTZ, polisiccm, tume ya uchaguzi, Bunge, mahakama, maadili ya viongozi, TAKUKURU, media huyo anayejiita mwendawazimu kaziweka mfukoni. Hakuna wa KUFURUKUTA.
Huwezi kukabili hisia zako mpk utukane we mbwiga?Utafikiwa ulipo bwege wewe
 
Back
Top Bottom