Elections 2015 Uchaguzi wa Marejeo Zanzibar ni Huru na Haki! Tuyasubiri Matokeo, Tuyakubali!

Ha ha ha. Mzee Mohamed Said katika ubora wake.
Chaza,
Wakati wetu hivi ndivyi vitabu tukisomeshwa tukijifunza lugha.
Huyu Alice alimuoma sungura wa ajabu akaamua kumkimbiza.

Sungura akaingia katika shimo na Alice akamfuata kwenye shimo.
Hapo ndipo mikasa ya Alice ilipoanza.

Unaonaje mikasa ya CCM Zanzibar?
Wako kwenye kura peke yao wanasema watashinda kwa kishindo.

Wakifanya uchaguzi na watu saizi yao wanafuta uchaguzi baada ya
kupigwa mwereka.

Huu ni mwanzo.
Hii movie itakuwa na ''sequel.''

We subiri.
 
Kilichofanyika Zanzibar ni kama sensa, Sensa ya wana CCM, ili chama kijue kina washabiki wangapi baasi, lakini ule siyo uchaguzi wa hadhi ya uchaguzi!. Pasco haupo sahihi katika hili hata kama ulichukia CUF kutokufuata ushauri wako wa kwenda mahakamani wakati unajua majaji wa kule Zanzibar wanateuliwa na nani,na wana muelekeo gani katika maamuzi.
Wakati mwingine kwenda mahakamani ni mtego wa wababe kukudhulumu haki yako "kisheria"
 
Pasco,ni.masuala gani ya msingi yaliyotokea 25 Dec.2015 ambayo yalifanya uchaguzi urudiwe kwa upande wa Rais wa Zanzibar tu na si kwa upande wa pili wa Rais wa Muungano?
 
Eti ZEC ni impartial and balanced system! Usiwe una download na kupaste usivyovielewa.
Pasco ni askofu anayepigania kuwa mchawi ili apate hela zaidi ya sadaka!
 
Wanabodi,

Kwa jinsi nilivyoshuhudia igizo la uchaguzi wa marejeo wa Zanzibar, kupitia ITV, igizo la uchaguzi huu, limekidhi vigezo vyote vya uchaguzi huru na wa haki, hivyo ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki, hivyo sasa tuyasubiri matokeo tarajiwa na kuyapokea na kisha kuyakubali kwa moyo mmoja!.

Vigezo vya kimataifa vya free and fair elections ni hivi

  • Free and fair elections require:
° Universal suffrage for all eligible men and women to vote — democracies do not restrict this right from minorities, the disabled, or give it only to those who are literate or who own property.
° Freedom to register as a voter or run for public office.
° Freedom of speech for candidates and political parties — democracies do not restrict candidates or political parties from criticizing the performance of the incumbent.
° Numerous opportunities for the electorate to receive objective information from a free press.
° Freedom to assemble for political rallies and campaigns.
° Rules that require party representatives to maintain a distance from polling places on election day — election officials, volunteer poll workers, and international monitors may assist voters with the voting process but not the voting choice.
° An impartial or balanced system of conducting elections and verifying election results — trained election officials must either be politically independent or those overseeing elections should be representative of the parties in the election.
° Accessible polling places, private voting space, secure ballot boxes, and transparent ballot counting.
° Secret ballots — voting by secret ballot ensures that an individual's choice of party or candidate cannot be used against him or her.
° Legal prohibitions against election fraud — enforceable laws must exist to prevent vote tampering (e.g. double counting, ghost voting).
° Recount and contestation procedures — legal mechanisms and processes to review election processes must be established to ensure that elections were conducted properly.

  • Voting methods — varying by country and even within countries — include:
° Paper ballots — votes are marked on or punched through paper.
° Ballots with pictures of candidates or party symbols so that illiterate citizens may cast the correct vote. Uchaguzi halisi ulikuwa ni October, ambao ulikidhi vigezo vyote hivi!.

Kwa bahati mbaya sana, kususia uchaguzi, au kutokujitokeza kupiga kura, hakupelekei kubatilisha uchahuzi kugeuka sio free and fair na kwa mujibu wa sheria yetu ya uchaguzi, kote bara na visiwani, kujiandikisha kupiga kura ni kwa hiyari, pia kutokujiandikisha pia ni hiyari, vivyo hivyo kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi pia ni hiyari, na kutokujitokeza kuoiga kura ni huyari na hata kususia uchaguzi pia ni hiyari hivyo wote waliojiandikisha lakini hawakujitokeza, wameamua kuitumia demokrasia yao kwa kutokujitokeza kupiga kura.

Kijitokeza kwao, au kutokujitokeza kwao, hakubadilishi au kubatilisha matokeo ya uchaguzi kwa sababu uchaguzi ni process, na sisi tunafuata mfumo wa simple majority kumpata mshindi. Hata kama jimbo lina wapiga kura laki moja, lakini waliojitokeza kupiga kura ni watu 3 tuu, hizo kura tatu zitahesabiwa ndizo kura halali, aliyepata kura mbili ndiye mshindi halali, na uchaguzi huo utaelezwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Ingekuwa ili mtu uwe mshindi ni lazima angalau upate asilimia fulani ya kura, lets say theluthi moja ya kura zote halali, then hao waliosusa, wangesababisha hiyo theluthi isipatikane hivyo kuathiri zoezi zima la uchaguzi, lakini huku kususa kusiko na impact yoyote, ni wastage of time, money and resources, na kitu kikubwa zaidi kuwanyima mamia kwa maelfu the right of choice, to choose their leaders, ndio maana nikauliza hao CUF waliosusa, wameendelea kususa ili iweje?!.

Uchaguzi wa Zanzibar sasa umemalizika, tusubiri matokeo, tuwapongeze washindi na kuwapa pole washindwa!, tusubiri kuapishwa kwa rais mpya wa Zanzibar na maisha yaendelee, maana kiukweli kelele zilizidi mno!. Tena afadhali uishe ili na wale MCA wailete ile hulua waliyoizuia ili tuitumie kusonga mbele ambapo Zanzibar nayo inao mgao wake asilimia 4.5%!.

Kwa wale ambao ni wageni na mimi, nimeandika sana humu kuhusu uchaguzi wa Zanzibar,
Imethibitishwa pasi na shaka Maalim Seif Alishinda, Zanzibar!
Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu bila kuchukua
Kuna haja ya kuhofia kurudiwa Uchaguzi Zanzibar? |
CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari,
Hatimaye CUF 'Wameridhia' Rasmi, Kushiriki Uchaguzi Wa Marejeo

Pasco


Nani kaupinga sio wa haki?
 
Ndio maana nilianzisha uzi nikashauri waandishi wa habari wasipewa nafasi za uteuzi.
kwa sababu wanaitumia taaluma yao vibaya kumpamba mtu fulani au chama fulani na kumponda mtu fulani wa chama fulani ili wakumbukwe ktk teuzi za raisi. mf. mzuri ni e. buhohela wa itv now anakula shavu ikulu, same as pasco, kakengeuka sana huyu jamaa wa ppr!
 
Aliye na macho hambiwi ona. Wengi hawajaelewa post nadhani lugha shida. Kimsingi mwandishi anasema viegezo vya chaguzi huru na wa haki havijatimizwa / havikutimia.
 
Pasco unasubiri matokeo kwani Shein alikuwa anagombea uraisi na nani? mnapenda kujitoa ufahamu nyie watu wenye mawazo mgando.
IMG-20160320-WA0138.jpg
 
Wanabodi,

Kwa jinsi nilivyoshuhudia igizo la uchaguzi wa marejeo wa Zanzibar, kupitia ITV, igizo la uchaguzi huu, limekidhi vigezo vyote vya uchaguzi huru na wa haki, hivyo ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki, hivyo sasa tuyasubiri matokeo tarajiwa na kuyapokea na kisha kuyakubali kwa moyo mmoja!.

Vigezo vya kimataifa vya free and fair elections ni hivi

  • Free and fair elections require:
° Universal suffrage for all eligible men and women to vote — democracies do not restrict this right from minorities, the disabled, or give it only to those who are literate or who own property.
° Freedom to register as a voter or run for public office.
° Freedom of speech for candidates and political parties — democracies do not restrict candidates or political parties from criticizing the performance of the incumbent.
° Numerous opportunities for the electorate to receive objective information from a free press.
° Freedom to assemble for political rallies and campaigns.
° Rules that require party representatives to maintain a distance from polling places on election day — election officials, volunteer poll workers, and international monitors may assist voters with the voting process but not the voting choice.
° An impartial or balanced system of conducting elections and verifying election results — trained election officials must either be politically independent or those overseeing elections should be representative of the parties in the election.
° Accessible polling places, private voting space, secure ballot boxes, and transparent ballot counting.
° Secret ballots — voting by secret ballot ensures that an individual's choice of party or candidate cannot be used against him or her.
° Legal prohibitions against election fraud — enforceable laws must exist to prevent vote tampering (e.g. double counting, ghost voting).
° Recount and contestation procedures — legal mechanisms and processes to review election processes must be established to ensure that elections were conducted properly.

  • Voting methods — varying by country and even within countries — include:
° Paper ballots — votes are marked on or punched through paper.
° Ballots with pictures of candidates or party symbols so that illiterate citizens may cast the correct vote. Uchaguzi halisi ulikuwa ni October, ambao ulikidhi vigezo vyote hivi!.

Kwa bahati mbaya sana, kususia uchaguzi, au kutokujitokeza kupiga kura, hakupelekei kubatilisha uchahuzi kugeuka sio free and fair na kwa mujibu wa sheria yetu ya uchaguzi, kote bara na visiwani, kujiandikisha kupiga kura ni kwa hiyari, pia kutokujiandikisha pia ni hiyari, vivyo hivyo kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi pia ni hiyari, na kutokujitokeza kuoiga kura ni huyari na hata kususia uchaguzi pia ni hiyari hivyo wote waliojiandikisha lakini hawakujitokeza, wameamua kuitumia demokrasia yao kwa kutokujitokeza kupiga kura.

Kijitokeza kwao, au kutokujitokeza kwao, hakubadilishi au kubatilisha matokeo ya uchaguzi kwa sababu uchaguzi ni process, na sisi tunafuata mfumo wa simple majority kumpata mshindi. Hata kama jimbo lina wapiga kura laki moja, lakini waliojitokeza kupiga kura ni watu 3 tuu, hizo kura tatu zitahesabiwa ndizo kura halali, aliyepata kura mbili ndiye mshindi halali, na uchaguzi huo utaelezwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Ingekuwa ili mtu uwe mshindi ni lazima angalau upate asilimia fulani ya kura, lets say theluthi moja ya kura zote halali, then hao waliosusa, wangesababisha hiyo theluthi isipatikane hivyo kuathiri zoezi zima la uchaguzi, lakini huku kususa kusiko na impact yoyote, ni wastage of time, money and resources, na kitu kikubwa zaidi kuwanyima mamia kwa maelfu the right of choice, to choose their leaders, ndio maana nikauliza hao CUF waliosusa, wameendelea kususa ili iweje?!.

Uchaguzi wa Zanzibar sasa umemalizika, tusubiri matokeo, tuwapongeze washindi na kuwapa pole washindwa!, tusubiri kuapishwa kwa rais mpya wa Zanzibar na maisha yaendelee, maana kiukweli kelele zilizidi mno!. Tena afadhali uishe ili na wale MCA wailete ile hulua waliyoizuia ili tuitumie kusonga mbele ambapo Zanzibar nayo inao mgao wake asilimia 4.5%!.

Kwa wale ambao ni wageni na mimi, nimeandika sana humu kuhusu uchaguzi wa Zanzibar,
Imethibitishwa pasi na shaka Maalim Seif Alishinda, Zanzibar!
Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu bila kuchukua
Kuna haja ya kuhofia kurudiwa Uchaguzi Zanzibar? |
CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari,
Hatimaye CUF 'Wameridhia' Rasmi, Kushiriki Uchaguzi Wa Marejeo

Pasco
a87035f2a6dc8efae271a93776cf1350.jpg
 

Attachments

  • Zanzibar.jpg
    Zanzibar.jpg
    9.4 KB · Views: 54
  • Zanzibar.jpg
    Zanzibar.jpg
    9.4 KB · Views: 55
  • Zanzibar1.jpg
    Zanzibar1.jpg
    34.9 KB · Views: 57
kwa sababu wanaitumia taaluma yao vibaya kumpamba mtu fulani au chama fulani na kumponda mtu fulani wa chama fulani ili wakumbukwe ktk teuzi za raisi. mf. mzuri ni e. buhohela wa itv now anakula shavu ikulu, same as pasco, kakengeuka sana huyu jamaa wa ppr!
buhohela ni nani ikulu kwani
 
Kilichofanyika Zanzibar ni kama sensa, Sensa ya wana CCM, ili chama kijue kina washabiki wangapi baasi, lakini ule siyo uchaguzi wa hadhi ya uchaguzi!. Pasco haupo sahihi katika hili hata kama ulichukia CUF kutokufuata ushauri wako wa kwenda mahakamani wakati unajua majaji wa kule Zanzibar wanateuliwa na nani,na wana muelekeo gani katika maamuzi.
Wakati mwingine kwenda mahakamani ni mtego wa wababe kukudhulumu haki yako "kisheria"
Mkuu Gamba la Nyoka, mtu ukifungua shauri mahakamani, kitu cha kwanza kinachoangaliwa ni vifungu vya sheria vinasemaje!.
1. Kwanza kabisa, Jee Jecha yeye kama Jecha, anayomamlaka ya kujigeuza ZEC na kutoa maamuzi kwa niaba ya ZEC?!- Hapa mahakama ingemtwanga Jecha kuwa hakuna kipengele chochote cha sheria kinachompa mamlaka Mwenyekiti wa ZEC kujigeuza yeye ndio ZEC!. Kama uamuzi ule ungekuwa ni uamuzi wa ZEC kama ZEC, then angalau ungekuwa na nguvu kidogo ya kisheria.

2. Jee kuna kipengele chochote cha sheria kinachoiuhusu ZEC kufuta matokeo yote ya uchaguzi mzima kwa sababu tuu ya kasoro kidogo mahali. Hapa mahakama kuu ingekuta hakuna kipengele chochote cha sheria kinachoruhusu hili kufanyika!.

3. Mahakama ingetoa kitu kinachoitwa "executive orders" ambazo kwa hapa ziko tatu, "prohibition, certiorari na mandamus" lakini kwa wenzetu ziko 6, hizi ni amri ambazo mahakama inazo kuiamuru serikali kufanya jambo fulani kwa lazima, serikali itake au isitake. Kinachotakiwa ni lazima kuwatumia manguli kwelikweli wa sheria, ambao manguli wa level hiyo CUF inao, yuko Prof. Safari, kule Zenj yuko Aboubakar Khamis Bakari, sijui walishikwa na kigugumizi gani!.

4. Tume ya Uchaguzi Zanzibar, ingeamuliwa kwanza kutangaza matokeo yote halali ya uchaguzi wa Zanzibar, kisa kuthibitisha maeneo yenye kasoro, kasoro hizo kama ni kubwa sana za kuathiri matokeo, then ni majimbo tuu yenye kasoro ndipo uchaguzi ungerudiwa!.

Amri hizo ni hizi
  • certiorari an order by a higher court directing a lower court to send the record in a given case for review;
  • habeas corpus demands that a prisoner be taken before the court to determine whether there is lawful authority to detain the person;
  • mandamus an order issued by higher court to compel or to direct a lower court or a government officer to perform mandatory duties correctly;
  • prohibition directing a subordinate to stop doing something the law prohibits;
  • procedendo sends a case from an appellate court to a lower court with an order to proceed to judgment;
  • quo warranto requiring a person to show by what authority they exercise a power;
Prof. Issa Gullamhusein Shivji akishirikiana na Prof. Gamalieli Mgongo Fimbo mara kibao wameitumia mahakama kuilazimisha serikali kufanya jambo fulani au kuizuia kufanya jambo fulani.

Huu uamuzi wa CUF kukwepa kutumia njia rasmi za kutafutia haki, ndio unaoniogopesha, kuwa kuna kitu CUF wanachokitegemea. Hawawezi kususa tuu ili kususa for nothing!, there is something!, yaani the motive behind kususa kwao inajulikana, ni kupinga huo ubakaji, lakini jee wamesusa ili iweje?!, what are they trying to achieve!, sio nothing!. Uchaguzi umefanyika, CUF got nothing!, jee mambo sasa ndio yameishia hapa?!.

Pasco


 
kwa sababu wanaitumia taaluma yao vibaya kumpamba mtu fulani au chama fulani na kumponda mtu fulani wa chama fulani ili wakumbukwe ktk teuzi za raisi. mf. mzuri ni e. buhohela wa itv now anakula shavu ikulu, same as pasco, kakengeuka sana huyu jamaa wa ppr!
Mkuu UngaUnga, Pasco ni yule yule juzi, jana na leo, tatizo ni viwango tuu vya uelewa!.

Pasco sio miongoni mwa wale waandishi wa kujikombakomba kwa yeyote kwa lolote, wala hategemei kukumbukwa na yeyote kwa sababu aliishaachana na kutumwa siku nyingi, hivyo hawezi kuejea tena utumwani, kwa kutumwa na rais au na yeyote!, yeye ni mtu wa kujituma tuu!.

Magufuli akifanya mazuri, tunamsifu kama hapa
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata
Rais Magufuli ni Simple, Genuine & Down To Earth-He is Simp

Lakini akiboronga tunambonda tuu kama tunavyowabonda waborongaji humu!.
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ..
Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki ...
Amri ya Rais Kuifuta Siku ya Uhuru Haijataja Usafi!. Jee Usafi n

Ukizisoma thread hizo, utagundua Pasco sio mtu wa kunjikomba kwa yoyote wala kwa lolote!.

Pasco
 
Mkuu Gamba la Nyoka, mtu ukifungua shauri mahakamani, kitu cha kwanza kinachoangaliwa ni vifungu vya sheria vinasemaje!.
1. Kwanza kabisa, Jee Jecha yeye kama Jecha, anayomamlaka ya kujigeuza ZEC na kutoa maamuzi kwa niaba ya ZEC?!- Hapa mahakama ingemtwanga Jecha kuwa hakuna kipengele chochote cha sheria kinachompa mamlaka Mwenyekiti wa ZEC kujigeuza yeye ndio ZEC!. Kama uamuzi ule ungekuwa ni uamuzi wa ZEC kama ZEC, then angalau ungekuwa na nguvu kidogo ya kisheria.

2. Jee kuna kipengele chochote cha sheria kinachoiuhusu ZEC kufuta matokeo yote ya uchaguzi mzima kwa sababu tuu ya kasoro kidogo mahali. Hapa mahakama kuu ingekuta hakuna kipengele chochote cha sheria kinachoruhusu hili kufanyika!.

3. Mahakama ingetoa kitu kinachoitwa "executive orders" ambazo kwa hapa ziko tatu, "prohibition, certiorari na mandamus" lakini kwa wenzetu ziko 6, hizi ni amri ambazo mahakama inazo kuiamuru serikali kufanya jambo fulani kwa lazima, serikali itake au isitake. Kinachotakiwa ni lazima kuwatumia manguli kwelikweli wa sheria, ambao manguli wa level hiyo CUF inao, yuko Prof. Safari, kule Zenj yuko Aboubakar Khamis Bakari, sijui walishikwa na kigugumizi gani!.

4. Tume ya Uchaguzi Zanzibar, ingeamuliwa kwanza kutangaza matokeo yote halali ya uchaguzi wa Zanzibar, kisa kuthibitisha maeneo yenye kasoro, kasoro hizo kama ni kubwa sana za kuathiri matokeo, then ni majimbo tuu yenye kasoro ndipo uchaguzi ungerudiwa!.

Amri hizo ni hizi
  • certiorari an order by a higher court directing a lower court to send the record in a given case for review;
  • habeas corpus demands that a prisoner be taken before the court to determine whether there is lawful authority to detain the person;
  • mandamus an order issued by higher court to compel or to direct a lower court or a government officer to perform mandatory duties correctly;
  • prohibition directing a subordinate to stop doing something the law prohibits;
  • procedendo sends a case from an appellate court to a lower court with an order to proceed to judgment;
  • quo warranto requiring a person to show by what authority they exercise a power;
Prof. Issa Gullamhusein Shivji akishirikiana na Prof. Gamalieli Mgongo Fimbo mara kibao wameitumia mahakama kuilazimisha serikali kufanya jambo fulani au kuizuia kufanya jambo fulani.

Huu uamuzi wa CUF kukwepa kutumia njia rasmi za kutafutia haki, ndio unaoniogopesha, kuwa kuna kitu CUF wanachokitegemea. Hawawezi kususa tuu ili kususa for nothing!, there is something!, yaani the motive behind kususa kwao inajulikana, ni kupinga huo ubakaji, lakini jee wamesusa ili iweje?!, what are they trying to achieve!, sio nothing!. Uchaguzi umefanyika, CUF got nothing!, jee mambo sasa ndio yameishia hapa?!.

Pasco
Hayo unayoyasema ni kweli na ndivyo inavyopaswa iwe! , lakini Aliyemteua Jecha ndiye aliyeteua hao majaji.
Kama aliamuriwa avunje sheria ya Zec kwa kufuta matokeo unilaterally with impunity, usishangae na hao wengine pamoja na kuujua ukweli wakashinikizwa wa rule otherwise, na kwa gharama yoyote!

Historia iko wazi, kwa matokeo ya kesi ya mgombea binafsi, jinsi ilivyohukumiwa ni somo
 
Back
Top Bottom