Elections 2015 Uchaguzi wa Marejeo Zanzibar ni Huru na Haki! Tuyasubiri Matokeo, Tuyakubali!

Wanabodi,

Kwa jinsi nilivyoshuhudia uchaguzi wa marejeo wa Zanzibar, kwa mujibu wa ITV, uchaguzi huu ulikuwa ni huru na wa haki, hivyo tuyasubiri matokeo na kuyapokea na kuyakubali kwa moyo mmoja!.

Kwa mujibu wa sheria yetu ya uchaguzi, kote bara na visiwani, kujiandikisha kupiga kura ni kwa hiyari, pia kutokujiandikisha pia ni hiyari, vivyo hivyo kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi pia ni hiyari, na kutokujitokeza pia ni hiyari hivyo wote waliojiandikisha lakini hawakujitokeza, wameamua kuitumia demokrasia yao kwa kutokujitokeza kupiga kura.

Kijitokeza kwao, au kutokujitokeza kwao, hakubadilishi matokeo ya uchaguzi kwa sababu sisi tunafuata mfumo wa simple majority kumpata mshindi. Hata kama jimbo lina wapiga kura laki moja, lakini waliojitokeza kupiga kura ni watu 3, hizo kura tatu zitahesabiwa, aliyepata kua mbili ndiye mshindi halali, na uchaguzi huo utaelezwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Ingekuwa ili mtu uwe mshindi ni lazima angalau upate lets say theluthi moja ya kura zote halali, then hao waliosusa, wangesababisha hiyo theluthi isipatikane hivyo kuathiri zoezi zima la uchaguzi, lakini huku kususa kusiko na impact yoyote, ni wastage of time, ndio maana nikauliza hao CUF wanasusa ili iweje?!.

Uchaguzi wa Zanzibar sasa umemalizika, tusubiri matokeo, tuwapongeze washindi na kuwapa pole washindwa!, tusubiri kuapishwa kwa rais mpya wa Zanzibar na maisha yaendelee, maana kiukweli kelele zilizidi mno!. Tena afadhali uishe ili wale wale MCA wailete ile hukua waliyoizuia ili tuitumie kusonga mbele!.

Pasco
Hivi kunapokuwa na wagombea wa chama kimoja, unasubiria matokeo gani?
 
Wanabodi,

Kwa jinsi nilivyoshuhudia uchaguzi wa marejeo wa Zanzibar, kwa mujibu wa ITV, uchaguzi huu ulikuwa ni huru na wa haki, hivyo tuyasubiri matokeo na kuyapokea na kuyakubali kwa moyo mmoja!.

Kwa mujibu wa sheria yetu ya uchaguzi, kote bara na visiwani, kujiandikisha kupiga kura ni kwa hiyari, pia kutokujiandikisha pia ni hiyari, vivyo hivyo kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi pia ni hiyari, na kutokujitokeza pia ni hiyari hivyo wote waliojiandikisha lakini hawakujitokeza, wameamua kuitumia demokrasia yao kwa kutokujitokeza kupiga kura.

Kijitokeza kwao, au kutokujitokeza kwao, hakubadilishi matokeo ya uchaguzi kwa sababu sisi tunafuata mfumo wa simple majority kumpata mshindi. Hata kama jimbo lina wapiga kura laki moja, lakini waliojitokeza kupiga kura ni watu 3, hizo kura tatu zitahesabiwa, aliyepata kua mbili ndiye mshindi halali, na uchaguzi huo utaelezwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Ingekuwa ili mtu uwe mshindi ni lazima angalau upate lets say theluthi moja ya kura zote halali, then hao waliosusa, wangesababisha hiyo theluthi isipatikane hivyo kuathiri zoezi zima la uchaguzi, lakini huku kususa kusiko na impact yoyote, ni wastage of time, ndio maana nikauliza hao CUF wanasusa ili iweje?!.

Uchaguzi wa Zanzibar sasa umemalizika, tusubiri matokeo, tuwapongeze washindi na kuwapa pole washindwa!, tusubiri kuapishwa kwa rais mpya wa Zanzibar na maisha yaendelee, maana kiukweli kelele zilizidi mno!. Tena afadhali uishe ili wale wale MCA wailete ile hukua waliyoizuia ili tuitumie kusonga mbele!.

Pasco
Pasco wa JF, what went wrong with You? I'm afraid we've to take you to a Rehab, that Political Opium has destroyed the Pasco wa JF I used to know!
 
Wanabodi,

Kwa jinsi nilivyoshuhudia uchaguzi wa marejeo wa Zanzibar, kwa mujibu wa ITV, uchaguzi huu ulikuwa ni huru na wa haki, hivyo tuyasubiri matokeo na kuyapokea na kuyakubali kwa moyo mmoja!.

Kwa mujibu wa sheria yetu ya uchaguzi, kote bara na visiwani, kujiandikisha kupiga kura ni kwa hiyari, pia kutokujiandikisha pia ni hiyari, vivyo hivyo kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi pia ni hiyari, na kutokujitokeza pia ni hiyari hivyo wote waliojiandikisha lakini hawakujitokeza, wameamua kuitumia demokrasia yao kwa kutokujitokeza kupiga kura.

Kijitokeza kwao, au kutokujitokeza kwao, hakubadilishi matokeo ya uchaguzi kwa sababu sisi tunafuata mfumo wa simple majority kumpata mshindi. Hata kama jimbo lina wapiga kura laki moja, lakini waliojitokeza kupiga kura ni watu 3, hizo kura tatu zitahesabiwa, aliyepata kua mbili ndiye mshindi halali, na uchaguzi huo utaelezwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Ingekuwa ili mtu uwe mshindi ni lazima angalau upate lets say theluthi moja ya kura zote halali, then hao waliosusa, wangesababisha hiyo theluthi isipatikane hivyo kuathiri zoezi zima la uchaguzi, lakini huku kususa kusiko na impact yoyote, ni wastage of time, ndio maana nikauliza hao CUF wanasusa ili iweje?!.

Uchaguzi wa Zanzibar sasa umemalizika, tusubiri matokeo, tuwapongeze washindi na kuwapa pole washindwa!, tusubiri kuapishwa kwa rais mpya wa Zanzibar na maisha yaendelee, maana kiukweli kelele zilizidi mno!. Tena afadhali uishe ili wale wale MCA wailete ile hukua waliyoizuia ili tuitumie kusonga mbele!.

Pasco
Pasco,
Hebu soma kitu kinaitwa, ''Sham Election.''
Ukimaliza soma barua hii ya mwajiriwa wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar:
Mohammed Ghassani

Yesterday at 9:51pm ·
Aliyenitumia alitaka niihariri kwanza kisha kama naona inafaa niiweke hapa. Mimi sijaona haja ya kuihariri. Naiweka kavukavu kasoro jina lake tu:

"A.alaykum. Natamani ningeandika kama post yangu ila kwa usalama wangu napitia kwako ukiona inafaa kuiweka au pia kuihariri kabla.

Mimi ni mtumishi wa umma kupitia shirika la serikali.

Kushiriki katika kura ya Jumapili, 20 March 2016 nikuisaliti nafsi yangu. Siwezi kuisaliti nafsi yangu na nafsi za wanyonge walio wengi eti kwa kisingizo cha kulinda ajira yangu. Ajira. Sikuajiriwa kwa sifa ya kupiga kura. Kura imo ndani ya ridhaa ya nafsi yangu. Kura ni uhuru wangu.

Sitaki kwa sababu uchaguzi uliopita sikuona hekaheka za kulazimishwa. Iweje uchaguzi huu nilazimishwe. Uchaguzi uliopita sikuona bakora kuwatesa wanyonge. Uchaguzi huu, wanyonge wanateswa eti kwa kuwa wameyaamua yale wasiyoyaridhia wanga'ng'anizi wa madaraka.

Kama tume haiingiliwi katika maamuzi, basi na tume ya moyo wangu haiingiliwi katika maamuzi ya kwenda au kutokwenda kupiga kura. Kufukuzwa kazi kwa hili kutaacha historia katika uhai wa maisha yangu. Natamani niwe shujaa katika jambo hili. Siendi kupiga kura. Sipigi. Mnatosha na askari wanatosha kupiga kura. Wasipige watu tu, wapige kura. Jumapili ni siku yangu nzuri ya kupumzika.

Mungu ibariki Zanzibar.''

Pasco,

Sasa ingia hapa uwe na picha kamili ya kukusaidia kufikiri:
Mohamed Said: UCHAGUZI WA MARUDIO ZANZIBAR - ALICE IN WONDERLAND
 
Wanabodi,

Kwa jinsi nilivyoshuhudia uchaguzi wa marejeo wa Zanzibar, kwa mujibu wa ITV, uchaguzi huu ulikuwa ni huru na wa haki, hivyo tuyasubiri matokeo na kuyapokea na kuyakubali kwa moyo mmoja!.

Kwa mujibu wa sheria yetu ya uchaguzi, kote bara na visiwani, kujiandikisha kupiga kura ni kwa hiyari, pia kutokujiandikisha pia ni hiyari, vivyo hivyo kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi pia ni hiyari, na kutokujitokeza pia ni hiyari hivyo wote waliojiandikisha lakini hawakujitokeza, wameamua kuitumia demokrasia yao kwa kutokujitokeza kupiga kura.

Kijitokeza kwao, au kutokujitokeza kwao, hakubadilishi matokeo ya uchaguzi kwa sababu sisi tunafuata mfumo wa simple majority kumpata mshindi. Hata kama jimbo lina wapiga kura laki moja, lakini waliojitokeza kupiga kura ni watu 3, hizo kura tatu zitahesabiwa, aliyepata kua mbili ndiye mshindi halali, na uchaguzi huo utaelezwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Ingekuwa ili mtu uwe mshindi ni lazima angalau upate lets say theluthi moja ya kura zote halali, then hao waliosusa, wangesababisha hiyo theluthi isipatikane hivyo kuathiri zoezi zima la uchaguzi, lakini huku kususa kusiko na impact yoyote, ni wastage of time, ndio maana nikauliza hao CUF wanasusa ili iweje?!.

Uchaguzi wa Zanzibar sasa umemalizika, tusubiri matokeo, tuwapongeze washindi na kuwapa pole washindwa!, tusubiri kuapishwa kwa rais mpya wa Zanzibar na maisha yaendelee, maana kiukweli kelele zilizidi mno!. Tena afadhali uishe ili wale wale MCA wailete ile hukua waliyoizuia ili tuitumie kusonga mbele!.

Pasco[/QUOT

Hebu ngoja tusubiri tuone inakuweje.
 
Pasco unataka tusubiri matokeo ya nini wakati watu wameshajichagua tayari?hapo mshindi ni ccm hizi zingine unazosema sijui uchaguzi huru na wa haki hicho ni kiini macho tu,
Safari hii naona umehamia Lumumba kabisa
Yaani nilipoona picha mintandaoni zikimwonesha Dr Shwain akiwa katika mstari , tuite kupiga kura (maana hatunajapata neno sahihi la maigizo haya) nilibakia kucheka peke yangu. Watu wanaoonekana kuwa wazima lakini wanafanya maigizo ya kisiasa wanatia hasira sana.
 
Pasco,
Hebu soma kitu kinaitwa, ''Sham Election.''
Ukimaliza soma barua hii ya mwajiriwa wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar:
Mohammed Ghassani

Yesterday at 9:51pm ·
Aliyenitumia alitaka niihariri kwanza kisha kama naona inafaa niiweke hapa. Mimi sijaona haja ya kuihariri. Naiweka kavukavu kasoro jina lake tu:

"A.alaykum. Natamani ningeandika kama post yangu ila kwa usalama wangu napitia kwako ukiona inafaa kuiweka au pia kuihariri kabla.

Mimi ni mtumishi wa umma kupitia shirika la serikali.

Kushiriki katika kura ya Jumapili, 20 March 2016 nikuisaliti nafsi yangu. Siwezi kuisaliti nafsi yangu na nafsi za wanyonge walio wengi eti kwa kisingizo cha kulinda ajira yangu. Ajira. Sikuajiriwa kwa sifa ya kupiga kura. Kura imo ndani ya ridhaa ya nafsi yangu. Kura ni uhuru wangu.

Sitaki kwa sababu uchaguzi uliopita sikuona hekaheka za kulazimishwa. Iweje uchaguzi huu nilazimishwe. Uchaguzi uliopita sikuona bakora kuwatesa wanyonge. Uchaguzi huu, wanyonge wanateswa eti kwa kuwa wameyaamua yale wasiyoyaridhia wanga'ng'anizi wa madaraka.

Kama tume haiingiliwi katika maamuzi, basi na tume ya moyo wangu haiingiliwi katika maamuzi ya kwenda au kutokwenda kupiga kura. Kufukuzwa kazi kwa hili kutaacha historia katika uhai wa maisha yangu. Natamani niwe shujaa katika jambo hili. Siendi kupiga kura. Sipigi. Mnatosha na askari wanatosha kupiga kura. Wasipige watu tu, wapige kura. Jumapili ni siku yangu nzuri ya kupumzika.

Mungu ibariki Zanzibar.''

Pasco,

Sasa ingia hapa uwe na picha kamili ya kukusaidia kufikiri:
Mohamed Said: UCHAGUZI WA MARUDIO ZANZIBAR - ALICE IN WONDERLAND
Sijui post election period itakuwaje huko Zanzibar....
 
Ninamashaka na elimu yako kuhusu masuala ya democracy and election.Watu wawe wamejiandikisha laki moja wakapiga kura watatu alafu useme uchaguzi huo utaelezwa kuwa ulikua huru na haki!!! Rudi shule mkuu.
Musugaji: pasco kaanzisha uzi wa uchokozi tu. Ningependekeza watu wasichangie chochote tuendelee na mada zingine.
 
Nimecheka sana!

Waafrika unyani na utumwa hautatutoka kamwe!!! Ndio maana with all resources and favorable environment..... Tumebaki na maisha ya laana!!!!
Na hiyo laana haitakaa iishe, itaandama hadi kizazi cha 4. Take it from me. Wazungu walishatamka, mwisho wataheshimu maamuzi ya chama tawala kwani hawana cha kupoteza,ila nafsi zao zinatucheka.
Hakika asili ya mwafrika ni nyani na mzungu ni Adam na Eva.
 
Na hiyo laana haitakaa iishe, itaandama hadi kizazi cha 4. Take it from me. Wazungu walishatamka, mwisho wataheshimu maamuzi ya chama tawala kwani hawana cha kupoteza,ila nafsi zao zinatucheka.
Hakika asili ya mwafrika ni nyani na mzungu ni Adam na Eva.
Ndio maana hata ngozi yetu inaakisi Giza!!

Ni hopeless creatures!!! Ni wanyama ni Nyani!!

Kuna MTU kaniwekea video ya mtikila sikuwahi iona ila naye uzuri kauzungumzia unyani...

Bara la laana hili.
 
CCM itaendelea kuwanyuka bila huruma.
Haha Entim umeona hii?

Huyu anazungumza haya babake kule sitimbi kavimba macho kwa moshi wa koroboi... Huko kwao ili ufike ni mateso tupu... Ndugu zake wanakufa kwa kukosa huduma bora.... Wanateseka hakuna maji na zaidi ya yote ni mafukara kabisa!!

Anafurahia CCM kuchapa watu!!

Laana tupu hii....
 
Haha Entim umeona hii?

Huyu anazungumza haya babake kule sitimbi kavimba macho kwa moshi wa koroboi... Huko kwao ili ufike ni mateso tupu... Ndugu zake wanakufa kwa kukosa huduma bora.... Wanateseka hakuna maji na zaidi ya yote ni mafukara kabisa!!

Anafurahia CCM kuchapa watu!!

Laana tupu hii....
Hadi anatia huruma, yupo zama za mawe, yaani "stone age", wenzetu wapo nyuklia age.
 
Wanabodi,

Kwa jinsi nilivyoshuhudia igizo la uchaguzi wa marejeo wa Zanzibar, kupitia ITV, igizo la uchaguzi huu, limekidhi vigezo vyote vya uchaguzi huru na wa haki, hivyo ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki, hivyo sasa tuyasubiri matokeo tarajiwa na kuyapokea na kisha kuyakubali kwa moyo mmoja!.

Vigezo vya kimataifa vya free and fair elections ni hivi

  • Free and fair elections require:
° Universal suffrage for all eligible men and women to vote — democracies do not restrict this right from minorities, the disabled, or give it only to those who are literate or who own property.
° Freedom to register as a voter or run for public office.
° Freedom of speech for candidates and political parties — democracies do not restrict candidates or political parties from criticizing the performance of the incumbent.
° Numerous opportunities for the electorate to receive objective information from a free press.
° Freedom to assemble for political rallies and campaigns.
° Rules that require party representatives to maintain a distance from polling places on election day — election officials, volunteer poll workers, and international monitors may assist voters with the voting process but not the voting choice.
° An impartial or balanced system of conducting elections and verifying election results — trained election officials must either be politically independent or those overseeing elections should be representative of the parties in the election.
° Accessible polling places, private voting space, secure ballot boxes, and transparent ballot counting.
° Secret ballots — voting by secret ballot ensures that an individual's choice of party or candidate cannot be used against him or her.
° Legal prohibitions against election fraud — enforceable laws must exist to prevent vote tampering (e.g. double counting, ghost voting).
° Recount and contestation procedures — legal mechanisms and processes to review election processes must be established to ensure that elections were conducted properly.

  • Voting methods — varying by country and even within countries — include:
° Paper ballots — votes are marked on or punched through paper.
° Ballots with pictures of candidates or party symbols so that illiterate citizens may cast the correct vote. Uchaguzi halisi ulikuwa ni October, ambao ulikidhi vigezo vyote hivi!.

Kwa bahati mbaya sana, kususia uchaguzi, au kutokujitokeza kupiga kura, hakupelekei kubatilisha uchahuzi kugeuka sio free and fair na kwa mujibu wa sheria yetu ya uchaguzi, kote bara na visiwani, kujiandikisha kupiga kura ni kwa hiyari, pia kutokujiandikisha pia ni hiyari, vivyo hivyo kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi pia ni hiyari, na kutokujitokeza kuoiga kura ni huyari na hata kususia uchaguzi pia ni hiyari hivyo wote waliojiandikisha lakini hawakujitokeza, wameamua kuitumia demokrasia yao kwa kutokujitokeza kupiga kura.

Kijitokeza kwao, au kutokujitokeza kwao, hakubadilishi au kubatilisha matokeo ya uchaguzi kwa sababu uchaguzi ni process, na sisi tunafuata mfumo wa simple majority kumpata mshindi. Hata kama jimbo lina wapiga kura laki moja, lakini waliojitokeza kupiga kura ni watu 3 tuu, hizo kura tatu zitahesabiwa ndizo kura halali, aliyepata kura mbili ndiye mshindi halali, na uchaguzi huo utaelezwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Ingekuwa ili mtu uwe mshindi ni lazima angalau upate asilimia fulani ya kura, lets say theluthi moja ya kura zote halali, then hao waliosusa, wangesababisha hiyo theluthi isipatikane hivyo kuathiri zoezi zima la uchaguzi, lakini huku kususa kusiko na impact yoyote, ni wastage of time, money and resources, na kitu kikubwa zaidi kuwanyima mamia kwa maelfu the right of choice, to choose their leaders, ndio maana nikauliza hao CUF waliosusa, wameendelea kususa ili iweje?!.

Uchaguzi wa Zanzibar sasa umemalizika, tusubiri matokeo, tuwapongeze washindi na kuwapa pole washindwa!, tusubiri kuapishwa kwa rais mpya wa Zanzibar na maisha yaendelee, maana kiukweli kelele zilizidi mno!. Tena afadhali uishe ili na wale MCA wailete ile hulua waliyoizuia ili tuitumie kusonga mbele ambapo Zanzibar nayo inao mgao wake asilimia 4.5%!.

Kwa wale ambao ni wageni na mimi, nimeandika sana humu kuhusu uchaguzi wa Zanzibar,
Imethibitishwa pasi na shaka Maalim Seif Alishinda, Zanzibar!
Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu bila kuchukua
Kuna haja ya kuhofia kurudiwa Uchaguzi Zanzibar? |
CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari,
Hatimaye CUF 'Wameridhia' Rasmi, Kushiriki Uchaguzi Wa Marejeo

Pasco
Kwa wasio kuelewa watatoa povu...ume hit the point
 
Yaani nilipoona picha mintandaoni zikimwonesha Dr Shwain akiwa katika mstari , tuite kupiga kura (maana hatunajapata neno sahihi la maigizo haya) nilibakia kucheka peke yangu. Watu wanaoonekana kuwa wazima lakini wanafanya maigizo ya kisiasa wanatia hasira sana.
Mpiga Zeze,
Hata mie nilipata tabu ya kupata jina la hii, ''movie,'' nikiita ''Alice in Wonderland.''
Angalia hiyo ''movie,'' hapo chini:
Mohamed Said: UCHAGUZI WA MARUDIO ZANZIBAR - ALICE IN WONDERLAND
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom