Elections 2015 Uchaguzi wa Marejeo Zanzibar ni Huru na Haki! Tuyasubiri Matokeo, Tuyakubali!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,437
113,445
Wanabodi,

Kwa jinsi nilivyoshuhudia igizo la uchaguzi wa marejeo wa Zanzibar, kupitia ITV, igizo la uchaguzi huu, limekidhi vigezo vyote vya uchaguzi huru na wa haki, hivyo ulikuwa ni uchaguzi huru na wa haki, hivyo sasa tuyasubiri matokeo tarajiwa na kuyapokea na kisha kuyakubali kwa moyo mmoja!.

Vigezo vya kimataifa vya free and fair elections ni hivi

  • Free and fair elections require:
° Universal suffrage for all eligible men and women to vote — democracies do not restrict this right from minorities, the disabled, or give it only to those who are literate or who own property.
° Freedom to register as a voter or run for public office.
° Freedom of speech for candidates and political parties — democracies do not restrict candidates or political parties from criticizing the performance of the incumbent.
° Numerous opportunities for the electorate to receive objective information from a free press.
° Freedom to assemble for political rallies and campaigns.
° Rules that require party representatives to maintain a distance from polling places on election day — election officials, volunteer poll workers, and international monitors may assist voters with the voting process but not the voting choice.
° An impartial or balanced system of conducting elections and verifying election results — trained election officials must either be politically independent or those overseeing elections should be representative of the parties in the election.
° Accessible polling places, private voting space, secure ballot boxes, and transparent ballot counting.
° Secret ballots — voting by secret ballot ensures that an individual's choice of party or candidate cannot be used against him or her.
° Legal prohibitions against election fraud — enforceable laws must exist to prevent vote tampering (e.g. double counting, ghost voting).
° Recount and contestation procedures — legal mechanisms and processes to review election processes must be established to ensure that elections were conducted properly.

  • Voting methods — varying by country and even within countries — include:
° Paper ballots — votes are marked on or punched through paper.
° Ballots with pictures of candidates or party symbols so that illiterate citizens may cast the correct vote. Uchaguzi halisi ulikuwa ni October, ambao ulikidhi vigezo vyote hivi!.

Kwa bahati mbaya sana, kususia uchaguzi, au kutokujitokeza kupiga kura, hakupelekei kubatilisha uchahuzi kugeuka sio free and fair na kwa mujibu wa sheria yetu ya uchaguzi, kote bara na visiwani, kujiandikisha kupiga kura ni kwa hiyari, pia kutokujiandikisha pia ni hiyari, vivyo hivyo kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi pia ni hiyari, na kutokujitokeza kuoiga kura ni huyari na hata kususia uchaguzi pia ni hiyari hivyo wote waliojiandikisha lakini hawakujitokeza, wameamua kuitumia demokrasia yao kwa kutokujitokeza kupiga kura.

Kijitokeza kwao, au kutokujitokeza kwao, hakubadilishi au kubatilisha matokeo ya uchaguzi kwa sababu uchaguzi ni process, na sisi tunafuata mfumo wa simple majority kumpata mshindi. Hata kama jimbo lina wapiga kura laki moja, lakini waliojitokeza kupiga kura ni watu 3 tuu, hizo kura tatu zitahesabiwa ndizo kura halali, aliyepata kura mbili ndiye mshindi halali, na uchaguzi huo utaelezwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Ingekuwa ili mtu uwe mshindi ni lazima angalau upate asilimia fulani ya kura, lets say theluthi moja ya kura zote halali, then hao waliosusa, wangesababisha hiyo theluthi isipatikane hivyo kuathiri zoezi zima la uchaguzi, lakini huku kususa kusiko na impact yoyote, ni wastage of time, money and resources, na kitu kikubwa zaidi kuwanyima mamia kwa maelfu the right of choice, to choose their leaders, ndio maana nikauliza hao CUF waliosusa, wameendelea kususa ili iweje?!.

Uchaguzi wa Zanzibar sasa umemalizika, tusubiri matokeo, tuwapongeze washindi na kuwapa pole washindwa!, tusubiri kuapishwa kwa rais mpya wa Zanzibar na maisha yaendelee, maana kiukweli kelele zilizidi mno!. Tena afadhali uishe ili na wale MCA wailete ile hulua waliyoizuia ili tuitumie kusonga mbele ambapo Zanzibar nayo inao mgao wake asilimia 4.5%!.
 
mode naomba nisaidie ku edit headline maneno
"Kwa Jinsi Nili" yaondoke, yabaki "Uchaguzi wa Marejeo Zanzibar, Ni Huru na Haki!, Tuyasubiri Matokeo, Tuyakubali!".
ibaki
 
Ndio maana nilianzisha uzi nikashauri waandishi wa habari wasipewa nafasi za uteuzi.
Kuna waandishi wa ajira na waandishi wa wito, wale wa ajira wakiteuliwa hukubali na kufurahi, ila sisi waandishi wa wito, kuandika ndio furaha yetu, hatutaki uteuzi wowote!.

Pasco
 
Wanabodi,

Kwa jinsi nilivyoshuhudia uchaguzi wa marejeo wa Zanzibar, kwa mujibu wa ITV, uchaguzi huu ulikuwa ni huru na wa haki, hivyo tuyasubiri matokeo na kuyapokea na kuyakubali kwa moyo mmoja!.

Kwa mujibu wa sheria yetu ya uchaguzi, kote bara na visiwani, kujiandikisha kupiga kura ni kwa hiyari, pia kutokujiandikisha pia ni hiyari, vivyo hivyo kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi pia ni hiyari, na kutokujitokeza pia ni hiyari hivyo wote waliojiandikisha lakini hawakujitokeza, wameamua kuitumia demokrasia yao kwa kutokujitokeza kupiga kura.

Kijitokeza kwao, au kutokujitokeza kwao, hakubadilishi matokeo ya uchaguzi kwa sababu sisi tunafuata mfumo wa simple majority kumpata mshindi. Hata kama jimbo lina wapiga kura laki moja, lakini waliojitokeza kupiga kura ni watu 3, hizo kura tatu zitahesabiwa, aliyepata kua mbili ndiye mshindi halali, na uchaguzi huo utaelezwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Ingekuwa ili mtu uwe mshindi ni lazima angalau upate lets say theluthi moja ya kura zote halali, then hao waliosusa, wangesababisha hiyo theluthi isipatikane hivyo kuathiri zoezi zima la uchaguzi, lakini huku kususa kusiko na impact yoyote, ni wastage of time, ndio maana nikauliza hao CUF wanasusa ili iweje?!.

Uchaguzi wa Zanzibar sasa umemalizika, tusubiri matokeo, tuwapongeze washindi na kuwapa pole washindwa!, tusubiri kuapishwa kwa rais mpya wa Zanzibar na maisha yaendelee, maana kiukweli kelele zilizidi mno!. Tena afadhali uishe ili wale wale MCA wailete ile hukua waliyoizuia ili tuitumie kusonga mbele!.

Pasco
Ninamashaka na elimu yako kuhusu masuala ya democracy and election.Watu wawe wamejiandikisha laki moja wakapiga kura watatu alafu useme uchaguzi huo utaelezwa kuwa ulikua huru na haki!!! Rudi shule mkuu.
 
Wanabodi,

Kwa jinsi nilivyoshuhudia uchaguzi wa marejeo wa Zanzibar, kwa mujibu wa ITV, uchaguzi huu ulikuwa ni huru na wa haki, hivyo tuyasubiri matokeo na kuyapokea na kuyakubali kwa moyo mmoja!.

Kwa mujibu wa sheria yetu ya uchaguzi, kote bara na visiwani, kujiandikisha kupiga kura ni kwa hiyari, pia kutokujiandikisha pia ni hiyari, vivyo hivyo kujitokeza kupiga kura siku ya uchaguzi pia ni hiyari, na kutokujitokeza pia ni hiyari hivyo wote waliojiandikisha lakini hawakujitokeza, wameamua kuitumia demokrasia yao kwa kutokujitokeza kupiga kura.

Kijitokeza kwao, au kutokujitokeza kwao, hakubadilishi matokeo ya uchaguzi kwa sababu sisi tunafuata mfumo wa simple majority kumpata mshindi. Hata kama jimbo lina wapiga kura laki moja, lakini waliojitokeza kupiga kura ni watu 3, hizo kura tatu zitahesabiwa, aliyepata kua mbili ndiye mshindi halali, na uchaguzi huo utaelezwa ni uchaguzi huru na wa haki!.

Ingekuwa ili mtu uwe mshindi ni lazima angalau upate lets say theluthi moja ya kura zote halali, then hao waliosusa, wangesababisha hiyo theluthi isipatikane hivyo kuathiri zoezi zima la uchaguzi, lakini huku kususa kusiko na impact yoyote, ni wastage of time, ndio maana nikauliza hao CUF wanasusa ili iweje?!.

Uchaguzi wa Zanzibar sasa umemalizika, tusubiri matokeo, tuwapongeze washindi na kuwapa pole washindwa!, tusubiri kuapishwa kwa rais mpya wa Zanzibar na maisha yaendelee, maana kiukweli kelele zilizidi mno!. Tena afadhali uishe ili wale wale MCA wailete ile hukua waliyoizuia ili tuitumie kusonga mbele!.

Pasco
Wewe umekuwa zuzu sababu ya nafasi zile 46,hivi ajira yako haikufai?
 
Back
Top Bottom