kaburunye
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 672
- 74
Wadau. Uchaguzi wa kumpata man and woman of the year hapa jamvini sio wa haki. Kwa nini wagombea binafsi haturuhusiwi??? Haiwezekani majina yetu yalipendekezwa halafu NEC ya JF mkayakata!!!! Ngoja niwasiliane na wanasheria wangu ili tusimamishe hili zoezi mpaka haki itendeke kwa kuwaruhusu wagombea binafsi.
Nataka hoja ya wagombea binafsi iruhusiwe. Kuna watu tunaona tungeweza kugombea na kuibuka washindi lakini majina yetu hayakupitishwa na tume. Superman naomba ufafanuzi kabla sijachukua hatua za kisheria. Nimepokea simu nyingi sana kutoka kwa mashabiki wangu huko nyumbani Pandagisiza Zongwinaminzi wakitishia kususia uchaguzi huu endapo jina langu halitakuwepo kati ya wagombea
Nataka hoja ya wagombea binafsi iruhusiwe. Kuna watu tunaona tungeweza kugombea na kuibuka washindi lakini majina yetu hayakupitishwa na tume. Superman naomba ufafanuzi kabla sijachukua hatua za kisheria. Nimepokea simu nyingi sana kutoka kwa mashabiki wangu huko nyumbani Pandagisiza Zongwinaminzi wakitishia kususia uchaguzi huu endapo jina langu halitakuwepo kati ya wagombea