Natambua kuna uchaguzimdogo madiwani, huko Muleba!Ombi langu naomba Ndugu zetu wajibu zile kejeli na dharau,za watu wa ngono,katerero,na masimango mengine kupitia sanduku la kura!
Uchaguzi lini?ehhee mungu naomba uzima.Natambua kuna uchaguzimdogo madiwani, huko Muleba!Ombi langu naomba Ndugu zetu wajibu zile kejeli na dharau,za watu wa ngono,katerero,na masimango mengine kupitia sanduku la kura!
Wanasheria wa Serikali naona UnawajaribuDaah, unajikumbusha maneno ya mzee kingunge alisema huyu alistahili kuwa mnyampala wa Barabara sasa yametimia
Lazima aisome nambaDaah, unajikumbusha maneno ya mzee kingunge alisema huyu alistahili kuwa mnyampala wa Barabara sasa yametimia
Weweewe Kagera siyo kule wanakokula viwavi jeshi.Huko kagera CCM inashinda bila shida.
Huko kagera CCM inashinda bila shida.
Nimenukuu maneno ya mzee kingunge. Wala siwajaribu.Wanasheria wa Serikali naona Unawajaribu
Huko kagera CCM inashinda bila shida.
Tunakujua wewe buku 7 .Huko kagera CCM inashinda bila shida.
Ngoja tuone kama shule ziliwasaidia wahaya kujielewaWeweewe Kagera siyo kule wanakokula viwavi jeshi.
Natambua kuna uchaguzi mdogo madiwani, huko Muleba!Ombi langu naomba Ndugu zetu wajibu zile kejeli na dharau, za watu wa ngono, katerero, na masimango mengine kupitia sanduku la kura!