Asango
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 234
- 24
Uchaguzi wa mwenyekiti wa ccm mkoa wa mwanza ni jukumu la wana ccm makini wenye kujua wanatoka wapi wanaelekea wapi.! Ccm inahitaji kijana mzalendo mwenye kujua kiloleli b inahitaji ofisi ya ccm na sehemu nyinginezo . Wito wangu kwa viongozi wote na wajumbe msije mkachagua kiongozi mwenyekushindwa kusimamia ipasavyo ilani ya chama cha mapinduzi. Je, majimbo yote matatu kuchukuliwa na upinzani kuna mabadiliko yoyote? Viongozi madikteta na mafisadi hawatakiwi tena katika chama cha mapinduzi.!! Ccm madhubuti itajengwa na wanaccm wenyewe