Ukiangalia mambo critically, kuna watu ndani ya CCM wangependa CCM ishindwe Igunga ili wawashe moto kuwashutumu akina NAPE kwa kukisambaratisha chama kwa hoja yao ya kujivua gamba. natabiri ikiwa CCM ikianguka kesho ndio utakuwa mwisho wa umoja ndani ya chama. Makundi yatajitokeza hadharani na kushutumiana kuhusu kudhoofisha chama kwa hija za kujivua gamba. Mwisho chama kitagawanyika kabla ya uchaguzi wa mwaka kesho. natamani hiyo itokee