Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 5,971
- 3,827
Pale mnapojiandaa kisaikolojia na kuwaandaa watu wenu.
Poleni sana kwa maana dalili nyingi zinaonyesha mnaenda kupoteza jimbo lenu. Na hiyo ni dalili kuwa "MJIREKEBISHE"
Uchaguzi wa kata 43 ulistaajabisha wengi sasa ni uchaguzi wa majimbo mawili.
Kwa wale wengine (ccm) ambao walipoteza majimbo awali kwa ujinga wao, nadhani kuna kitu wamejifunza.
Poleni sana kwa maana dalili nyingi zinaonyesha mnaenda kupoteza jimbo lenu. Na hiyo ni dalili kuwa "MJIREKEBISHE"
Uchaguzi wa kata 43 ulistaajabisha wengi sasa ni uchaguzi wa majimbo mawili.
Kwa wale wengine (ccm) ambao walipoteza majimbo awali kwa ujinga wao, nadhani kuna kitu wamejifunza.