Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,837
Uhuru Kenyatta akiwa mamlakani 2013-2017 alikosolewa sana,Alithihakiwa sana.Wengine wakamtukana matusi ya nguoni.
Alicheka na kupuuza"Akili yake ilijikita kuijenga kenya kwenda uchumi wa kati.Na amefanikiwa sana.
Leo ametangazwa mshindi wa urais,Hajaapishwa bado.Wapinzani wake wanaandamana kupinga matokeo hayo.Kawaambia,andamaneni ila msivunje sheria.Msiharibu mali za watu.Onyesheni hisia zenu.Kenya ni yetu sote.
Nimetafakariiiii...Nimevuta pichaa....Nikajiuliza.Vipi ingekuwa ni hapa tanzania?
Busara hzi na ukomavu huu wa kiuongozi baba angeuweza?
Nadhani kupitia utawala wa Uhuru kenyatta.Yapo mengi Tanzania tujifunze kama si nchi zote za africa mashariki.
We jiulize.Mshindi katangazwa Uhuru,Hata hajala kiapdinga anaitisha mkutano wa hadhara na kuhutubia kupinga matokeo.Na Uhuru amevumilia bila kumpima mkojo au kumweka mahabusu.Baba angemvulia EL angeyafanya hayo?
Museveni angemvumia kwa Kizza?
Uchaguzi wa Kenya ni somo kwetu.Labda tuwe wavivu wa kulisoma somo lenyewe!
Alicheka na kupuuza"Akili yake ilijikita kuijenga kenya kwenda uchumi wa kati.Na amefanikiwa sana.
Leo ametangazwa mshindi wa urais,Hajaapishwa bado.Wapinzani wake wanaandamana kupinga matokeo hayo.Kawaambia,andamaneni ila msivunje sheria.Msiharibu mali za watu.Onyesheni hisia zenu.Kenya ni yetu sote.
Nimetafakariiiii...Nimevuta pichaa....Nikajiuliza.Vipi ingekuwa ni hapa tanzania?
Busara hzi na ukomavu huu wa kiuongozi baba angeuweza?
Nadhani kupitia utawala wa Uhuru kenyatta.Yapo mengi Tanzania tujifunze kama si nchi zote za africa mashariki.
We jiulize.Mshindi katangazwa Uhuru,Hata hajala kiapdinga anaitisha mkutano wa hadhara na kuhutubia kupinga matokeo.Na Uhuru amevumilia bila kumpima mkojo au kumweka mahabusu.Baba angemvulia EL angeyafanya hayo?
Museveni angemvumia kwa Kizza?
Uchaguzi wa Kenya ni somo kwetu.Labda tuwe wavivu wa kulisoma somo lenyewe!